Eminem ndiye rapper bora kuwahi kutokea, kikwazo ni rangi

Eminem ndiye rapper bora kuwahi kutokea, kikwazo ni rangi

Naungana na mkuu hapo juu alisema Kifo cha 2Pac ni kikubwa kuliko muziki wake
 
Acha kuongea kama umebugia kinyesi, cheki mnyama anavyokamua live na hapa umri ushaenda


Lugha ya kinyesi inakujaje tena Soldier.... mimi pia namkubali sana Eminem, he is one of my favorites. up there in the same league na kina Jay Z..
 
Ukimlinganisha na nani? Kuwa serious kidogo. 2pac anamuaka minfapi tangia amefariki?

Hebu mchukue huyo unaemwamini, chukua nyimbo zake za kipindi bado pac anafanya yake ulinganishe, utaleta mrejesho hapa.
Pac Amekufa lini? Em ameanza mziki lini?
PAC anakufa EM ndio anaanza kuupata ustaaa, ko hawajawahi kuwa wote kwenye peak.....

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
 
Dah...aisee..sorry kwa uandishi mbovu ila ntajitahidi... nimegundua humu wengi hamjasikiliza kwa undani 2pac songs mkajua wat he tried to deliver 2pac....2pac is more than a rapper..he truly a symbol for gangster lifestyle..ni mwanaharakati ,a gangster prophet...kiufupi in pac songs unapata strong and many themes than any rapper...ndio maana Kuna track kibao zimerudiwa na other rapper na zikabang mbaya mf me and my girlfriend wa jay z..hao wanaosema 2pac amebebwa na kifo chake siwaelewi hivi mmeshasikiliza album yake after he died...seven day theory Makaveli..mshasikia track inaitwa against all odds on that album...I guess y'all know what against all odds mean..mshasikiliza album ya all eyes on me...maana humu mmetaja 2 famous song kama vile dear mama,changes,do for love ,California love ...jaribuni kusikiliza other song like catching feelings, ambition as a rider(my favourite song as a rider) ...cause I had to..ningeandika sana but msimkosee heshima mshikaji he was very bright,genius at the age of 20-25...has strong voice, sauti ya mamlaka...Eminem ni soft sana kwa Tupac...other rapper I appreciate wa pili biggie small..Nas..jay z kwangu mm ni bora kuliko Eminem
 
Huyo aliyekalishwa na Cado Kitengo mchana kweupe?
nikki saizi kwa freestyle hana maajabu, kizazi cha kina cado, frege, toxic nk kipewe heshima yake.

Hawa majamaa wanafanya freestyle ambayo hata hao waliokua wakisifiwa kwa freestyle hawagusi hata robo ya uwezo wao

Nikki mbishi kwenye kuandika ni mzuri, hapo nampa credit lakini linapokuja swala la freestyle hakuna cha marehemu ngwair wala godzilla ambao wanaweza kulingana kiuwezo na kina cado
 
Una utani wewe kamuuli marehemu godzila kwenye battle ya back alikutana na nini
Oya hivi ulifatilia ile battle ya nikki na cado pale big sunday?

Kama ulifatilia kuna vitu utagundua kutoka kwa nikki, kwanza zile punch nne za mwanzo inaonekana wazi kabisa alizi buni kabla ya kuingia battle na cado

Kwasababu alipozitoa zile alizitoa kwa haraka lakini baada ya kujibiwa na cado, mchizi ni kama akawa anafikiria cha kujibu yani kama mashairi yame muishia na ndio maana kuna lines zilikosa hadi vina


Nikki: Cado, bado twende adoado.../
Huyu demu tumgombanie ana anado.../
Pesa huna huyu dem mi ta muonga prado.../

Cado: prado? Mi nitamuonga range, ukimpeleka dar namchukua nampeleka zenji.../

Kilichofata hapo nikki mbishi alikua ana freestyle hata bila vina

Niki ni mwandishi kwenye freestyle amechoka na hata yeye anakubali hilo, kwenye post moja IG alipost picha akiwa na cado. Jamaa aka comment kua nikki mbishi uliniangusha sana kushindwa freestyle na cado

Nikki akamjibu kua ni kweli uwezo wake umepungua na kweli alikiri kuzidiwa.
 
Hivi tech9 ni kama mnam underrate au?
 
Labda uwe ni ushamba wangu.....
Ila kifo cha tupac ni kikubwa kuliko mziki wake.
Mziki wake unaweza ukautafsiri kua sio mkubwa kwa ku refer current streaming nikakuelewa, lakini lyrical yule ni jini

Kizazi cha saizi kimetekwa na kina tekashi, ma teenager wengi wanaishi humo, huwezi ukategemea kuona wanasikiliza nyimbo zake lakini yule jamaa hapana aisee
 
nikki saizi kwa freestyle hana maajabu, kizazi cha kina cado, frege, toxic nk kipewe heshima yake.

Hawa majamaa wanafanya freestyle ambayo hata hao waliokua wakisifiwa kwa freestyle hawagusi hata robo ya uwezo wao

Nikki mbishi kwenye kuandika ni mzuri, hapo nampa credit lakini linapokuja swala la freestyle hakuna cha marehemu ngwair wala godzilla ambao wanaweza kulingana kiuwezo na kina cado
Naunga mkono hoja
 
Niliiona hiyo ilikuw kwenye big Sunday live ya wasafi FM

Nikki alitulizwa na hata hivyo cado alifanya kwa heshima sio kwa ule uwezo wake rasmi hiyo yote coz anamuheshimu sana Mbishi.
Jamaa kanibishia hapo juu nimeamua nimuache tu, analeta historia tena kumtaja Marehemu King Zilla.
 
Oya hivi ulifatilia ile battle ya nikki na cado pale big sunday?

Kama ulifatilia kuna vitu utagundua kutoka kwa nikki, kwanza zile punch nne za mwanzo inaonekana wazi kabisa alizi buni kabla ya kuingia battle na cado

Kwasababu alipozitoa zile alizitoa kwa haraka lakini baada ya kujibiwa na cado, mchizi ni kama akawa anafikiria cha kujibu yani kama mashairi yame muishia na ndio maana kuna lines zilikosa hadi vina


Nikki: Cado, bado twende adoado.../
Huyu demu tumgombanie ana anado.../
Pesa huna huyu dem mi ta muonga prado.../

Cado: prado? Mi nitamuonga range, ukimpeleka dar namchukua nampeleka zenji.../

Kilichofata hapo nikki mbishi alikua ana freestyle hata bila vina

Niki ni mwandishi kwenye freestyle amechoka na hata yeye anakubali hilo, kwenye post moja IG alipost picha akiwa na cado. Jamaa aka comment kua nikki mbishi uliniangusha sana kushindwa freestyle na cado

Nikki akamjibu kua ni kweli uwezo wake umepungua na kweli alikiri kuzidiwa.
Umesaidia kunijibia
 
Mkuu unajua Auto tune? Eminem ametoka kizazi feki na ile sio sauti yake ukimuweka live hawezi kurap vile anatumia sauti fake (Auto tune, distortion, overlap etc) ndio maana hawi regarded kama mwana Hiphop bora.

Kina rakim, 2pac, Nas, B.i.g Jay Z etc wanakuwa regarded kama bora zaidi.
1874511_20181013_162444.png
 
Si iliandikwa humu kwamba yule mtu ni cloned sasa tushike hoja ipi jamani
 
Back
Top Bottom