hata hizo verse hawezi kurap live vile, yani hili la eminem ku fake mbona linajulikana? ana nyimbo kibao anarap upesi upesi na haingizwi kwenye guiness? kuna screenshot nyingi tu zipo mitandaoni watu tofauti tofauti wa audio wanaonyesha anavyospeed, pia zipo live show anaonesha akivuta pumzi kuna jamaa wake anaitwa porter humsaidia akiishiwa pumzi.
kumaliza huu ubishi nakupa live jamaa ambaye yupo nyuma ya eminem akielezea wanavyofanya, shuka chini hadi utakuta hii sentesi
"The bridge vocals were overdubbed six times. We didn't use Auto‑Tune or anything like that: Em also gets his singing parts down quickly and accurately."
for the sake of discussion tumuamini huyo jamaa hawakutumia Autotune, ila wame dub sauti mara sita, unaimba mara ya kwanza, unarudia mara pili mpaka sita, then kuna namna wanamix ndio inatokea sauti ile nzuri unayoisikia na kuipenda (sauti fake ambayo real life hawezi kui produce)
source hapa
Eminem's Recovery has been one of the biggest hit albums of the year, spawning two number one singles — all recorded and mixed by Eminem's long-term engineer, Mike Strange.
hivyo mkuu asilimia 99 ya wanamuziki wa sasa ni fake, nyimbo nyingi ni studio effect na vile wanavyoimba hawawezi kuviimba live, tofauti na hao ma legend kina RAKIM, 2pac etc