Emmanuel Tutuba ateuliwa na Rais Samia kuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT)

Hata kwenye Harusi keki huwa hamli wote, keki ya taifa ni ndogo sana kijana, kuwa na shukrani.
Nadhani unaweza kubuni nani katoa hii comment😂. Angalia hii '...kijana kuwa na shukurani'
Unadhani nani katoa hii comment🤔.. ukiacha jina lake la jf
 
Kwamba iwe kama FRB?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…