Endelea kuwa wife material huku ukichakaa. Wenzako tunakosa mpk nafasi ya kutunzia minoti

zamani sawa kwa Sasa hana urembo wowote kachakaa na hana mafanikio yoyote sanasana kachakaa sehem za siri
hatembei huyo. Urembo gani kwa wema?

Careen Simba
Kidoa Salum, (Tima)
Kibibi je(wa Huba) ? 🏃
 
hatembei huyo. Urembo gani kwa wema?

Careen Simba
Kidoa Salum, (Tima)
Kibibi je(wa Huba) ? 🏃
Hajui maana ya urembo, Wema kwa Sasa hana urembo wowote umeisha kabisa, zamani alikua anazungumziwa na wengi ila Sasa hapana
 
Hapo kuna billionea mkuu😁
 
Utajiri au kuwa na Maisha Makubwa huwezi pata hizo pesa kwa kuuza uchi

Kuna watu wengi na wengine ndugu zangu nawajua wamefanya hii Biashara Muda mrefu with zero profit , niseme hapa TANZANIA Kuna Yale Maisha Mimi nayaitaga sare sare ya kupanga vyumba viwili ,au kimoja kulipa Kodi na bills nyingine na kumiliki vitu vya kawaida ndani Kama Tv bed n.k na Kupata kula ya kila siku hiyo uhakika Tena Sana .

Sasa ili uishi sare sare life sio lazima uwe shoga au Malaya nikitendo Cha kufanya kazi hata ndogo ndogo tu ukapata so in Tanzania unakuta dada anadanga ili eti Apate simu ,Kodi ,kula na kulipa Kodi it shameful to be honest .


Kama unaingia Katika hii Biashara ya ushoga au umalaya hakikisha baada ya Muda tuone unaendesha Magari ya vifua na investimen Katika real estate na sio blah blah Kama za kina wema sepetu na Juma lokole.

Nasema The end always justifies the means
 

Indirect message wajiuze by any possible means ili wasichakae kama bibi zao
 
nimehitimisha Sexless ni dumejike kuna nyuzi anaandika kama mwanaume kuna nyuzi ni mwanamke.
 
Unaelewa maana ya watu waliotajirika? Yani unawataja Wolper na Wema kama watu waliotajirika?

Your top floor must be vacant!
 

Ulio wataja hawajatajirika na si matajiri to date. Kujiuza direct or indirect doesnt endup well always
 
Vipi akitumika na mmoja mwenye Kipato ambaye ndio huyo huyo mumewe?

Uzuri K haichakai na harufu ya kimalaya Hana anapata thawabu kwa Mungu na Mlango wa Pepo u miguuni mwake

N.B Acha Umalaya na kutafuta maneno ya kujifariji, we uza tu ila huwezi kuwa tajiri kwa kukitembeza.
 
Wema Sepetu ana utajiri gani? Asset, Cash in bank au kimbinyiko, wema Hana kitu ni Mganga njaa

Urine Uwoya ana nini Sasa?

Hawa wawili wanakamilusha ule msemo usemao Mwanamke akiwa mzuri yaani Sura nzuri, ngozi nzuri, umbo zuri, Tako lipo , lips nzuri, macho mazuri huwa hawana akili.

Kajala huyu na utu uzima wake mpaka Leo anadanga na kumuuza mwanae Sasa pesa awe nayo?
Au tumilioni Moja au mbili nayo mtu anakuwa anafedhwaaaa
Hapa hakuna kitu labda ni wazee wa kuigiza.

Lulu Michael haka kameolewa hivyo sivema kumzungumzia mke wa mtu ila naamini kaligundua kudanga sio maisha haijalishi aliye muoa ana pesa au lah
 
Ngoja uone ukiwa na miaka 40 kama hao wenye pesa watakuja kukutomba tena
 
Afya zao hao wote zipo salama kwa kuuza? Maana nadhani afya ni ya muhimu sana! Wengine wanawake wanalidhika na maisha yao tu kama wakipata sawa kuku wataliwa wakikosa sawa.!
Pesa ni Muhimu ila sio kiwango ch kuhatarisha utu na afya yako.
 
sio kila mwanamke malaya dada
 
inaonekana kuna eneo linakuwasha ndani ya mwili wako siyo bure.
 
Hivi hao ni matajiri eeh

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Wangekua kama yule mama wa kariokoo TRA walioshika contena zake 10 ningesema hao ni wanawake wa shoka..lakini ni kinyume chake aliowataja ni wauza nyapu maarufu ambazo pesa zao hazifanyi kazi..
Wangekua kama Shilole ningesema wapo vizuri..shilole anajituma sana katika kazi.
 
Si mpaka awe na mvuto wa kuwadatisha wenye hela. Mnafikiri wanaume tunatoa tu hela manzi atushawishi kwanza kwa urembo na mautundu kunako 6×6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…