Je, Waziri wa fedha anahangaika kutafuta kodi wakati eneo hilo la pembezoni mwa barabara ya Morogoro lililo wazi linaweza kufanyiwa biashara na likazalisha pesa nyingi sana kwa serikali?
Kwani huyu Daktari wa uchumi hawezi kushauriana na Waziri wa Ujenzi wakawatumia wataalamu wa Mipango miji na Wasanifu majengo wa Chuo Kikuu Ardhi wakatengeneza/wakabuni biashara mbali mbali za kufanya kwenye maeneo hayo na serikali ikakusanya kodi?
Ushauri wangu ni kwamba watafutwe wataalamu wabuni namna ya kutumia maeneo hayo kwa kujenga structure ambazo siyo za kudumu kama kutumia makasha ya mizigo (containers), Mbao, mirunda n.k.
Wanaweza kutengeza bustani nzuri za kupumzikia zikiwemo sehemu za burudani mbalimbali. Yawekwe masoko madogo madogo kila kituo kama vile stop-over, suca, temboni n.k Naamini wakipewa wataalamu hii kazi serikali inaweza pata pesa nyingi sana.
Kwani huyu Daktari wa uchumi hawezi kushauriana na Waziri wa Ujenzi wakawatumia wataalamu wa Mipango miji na Wasanifu majengo wa Chuo Kikuu Ardhi wakatengeneza/wakabuni biashara mbali mbali za kufanya kwenye maeneo hayo na serikali ikakusanya kodi?
Ushauri wangu ni kwamba watafutwe wataalamu wabuni namna ya kutumia maeneo hayo kwa kujenga structure ambazo siyo za kudumu kama kutumia makasha ya mizigo (containers), Mbao, mirunda n.k.
Wanaweza kutengeza bustani nzuri za kupumzikia zikiwemo sehemu za burudani mbalimbali. Yawekwe masoko madogo madogo kila kituo kama vile stop-over, suca, temboni n.k Naamini wakipewa wataalamu hii kazi serikali inaweza pata pesa nyingi sana.