Eng. Hersi ajiuzulu nafasi yake ya urais kwa kututusi sisi wanayanga!

Kama GSM mwenyewe ametulia na anakula mabaga,mapiza,mayonaizi ,makoronya,matambi,ma eggs chop,makababu na machapati chapati na amewekeza Bs ametulia tuli iweje wewe mla mihogo unalalamika?
Tengua kauli yako King Kong III inamaana nikila mihogo siruhusiwi kuchangia hoja yoyote ile juu ya klabu yangu?
 
Mmeshauza timu hamna chenu, Yani mmepewa mihogo mkaachia timu.
 
Naona umekuja kutimiza ibada.😃😃
Cc adriz
Tumedhalilishwa sana sisi mashabiki wa yanga. Mihogo ilivo mizuri na ina afya tele, wanga wakutosha na bado tuonekane hatufai kisa tunashindia mihogo 🥺 inauma sana tena sana.
 
Mantiki kwamba aliyewekeza Bs halalamiki ,iweje wewe haujawekeza hata senti 5 ya nyerere na mla mihogo ulalamike?
Kabla ya gsm yanga ilikuepo na hata akiondoka yanga itakuepo. Yanga mi mashabiki wake ndio maana tunajivunia klabu yetu na ndio fahari ya Tanzania. Hersi kama amekosea lazima ajiuzulu nafasi yake kwa maana watu wanawekeza kwasababu ya mashabiki. Kwanini wasingeenda kuwekeza kmc au toto africans?
 
Hakuna tusi hapo.
 

GSM ndio mwenye uchungu ,mbona enzi za papa zahera tulikuwa tunatembeza bakuli? Eng yupo sahihi kutoa hiyo kauli kwa mashabiki maandazi(feki fans -shabiki wa makolo) wanaojifanya ni yanga....Mimi ni yanga lakini sijaona tatizo kwa kauli ya eng.
 
Ulitaka achaguliwe masikini? mpira ni pesa
 
GSM ndio mwenye uchungu ,mbona enzi za papa zahera tulikuwa tunatembeza bakuli? Eng yupo sahihi kutoa hiyo kauli kwa mashabiki maandazi(feki fans -shabiki wa makolo) wanaojifanya ni yanga....Mimi ni yanga lakini sijaona tatizo kwa kauli ya eng.
Tatizo lipo kwenye kauli kwamba wala mihogo hatupaswi kushauri chochote katika yanga. Na GSM kuwekeza ni kwasababu ya mashabiki wa yanga hivo anajua kuna profits anazozipata hakuna mtu ambaye anawekeza bila kutarajia faida. Hersi ametukosea ajiuzulu nafasi yake waje wengine ambao watatambua umuhimu wa mashabiki katika klabu.
 

Mashabiki ni vinyonga ,deal na wafuasi tu.(Royal fans)....Mashabiki hawataki kuambiwa ukweli ,mashabiki wanataka timu ifunge tu.
 
Huu ni ushabiki Maandazi, kama kweli mngekua mmeguswa mngekemea siku ileile mlipopata matokeo chanya.

Hersi alikosea na alifaa kukemewa mapema lakini siku ile ilionekana utani wa kawaida mpaka mliposhindwa pata matokeo ndio ikaonekana tusi.
 
Tafadhali sana tengua kauli yako na utuombe radhi sisi mashabiki wa yanga. Kwahyo sisi mashabiki wa yanga tunakula chakula cha nguruwe.
Sio mbakula chakula ya nguruwe. Ninyi ni nguruwe kasoro mkia hahahaa
 
Tunakataa hatuli mihogo wakati tupo busy na mihogo nani anakula Pizza au burger kama sio mihogo hii hii tena inapakiwa rangi eti Chips dume...
 
Kwani mihogo ina shida gani, mbona ni chakula kizuri tu! Au angewaita wala chipsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…