joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
π€£π€£π€£Kazi pekee inayomfaa Manara kwa sasa ni kuwatafutia mademu wachezaji wa Yanga na kuwaozesha siku ya tamasha la wananchi (Yanga day)
Pole sana zunguRoho za watanzania ndio hizi, wanafurahi mtu akiyumba maisha
π πHaji Kwa sasa nalingana nae cheo sote ni wanachama watiifu, tunamiliki kadi za kielectronic hivo atulie tu
Haswa akiyumbishwa na watu aliowaona ndugu zake na kutukana wengne huwa tunafurahi sana na bado haijatosha tunatamani hata hiyo kazi ya kutafutiwa pia ikosekane ili ajue anaishi na watu wa aina ganiRoho za watanzania ndio hizi, wanafurahi mtu akiyumba maisha
Shida kak yako Manara ni chuki zake...Eng. Hersi kajua kunifurahishaβΊοΈ
Nimemsamehe kwa kumtimua Guede akeeπ
Yule sio mzima! Simkubali Haji manara na misifa yakeπShida kak yako Manara ni chuki zake...
Sasa hata haongeia na Ally kamwe ambae ni msemaji halali huyo ni mzima kweli?
Nilicheka sana siku ile zile clipManara ataanza kulia kama alivyolia kwa babra
Au sio...Wewe sasa ivi ni mnyama Acha hicho kichaa
πππππππSubiri bado naendelea kujifikiriaπ
π€na kuta tag mara nyingi una kausha π₯²Au sio...
Nimeipenda hiii
Anyway wanaume wa Dar mnajuana sisi huku mikoani acha twende shambaHaswa akiyumbishwa na watu aliowaona ndugu zake na kutukana wengne huwa tunafurahi sana na bado haijatosha tunatamani hata hiyo kazi ya kutafutiwa pia ikosekane ili ajue anaishi na watu wa aina gani
Wapi sasa jamani mbona sijaona...ππππ€na kuta tag mara nyingi una kausha π₯²
Naam hapa nimeona...
Ndugu yako anataka kunivunjia mahusiano yanguπNaam hapa nimeona...
Mimi nipo na nyie mpka tupande Esther au Tilisho...πππππ