Eng. Hersi: Haji Manara sio Msemaji wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpa

Roho za watanzania ndio hizi, wanafurahi mtu akiyumba maisha
Haswa akiyumbishwa na watu aliowaona ndugu zake na kutukana wengne huwa tunafurahi sana na bado haijatosha tunatamani hata hiyo kazi ya kutafutiwa pia ikosekane ili ajue anaishi na watu wa aina gani
 
Haswa akiyumbishwa na watu aliowaona ndugu zake na kutukana wengne huwa tunafurahi sana na bado haijatosha tunatamani hata hiyo kazi ya kutafutiwa pia ikosekane ili ajue anaishi na watu wa aina gani
Anyway wanaume wa Dar mnajuana sisi huku mikoani acha twende shamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…