MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Akiwa kwenye mahojiano yanayorushwa kupitia EATV katika kipindi cha Salama na Rais wa Yanga Engineer Hersi, Amesema kuna club ilikuwa imejipa utawala na kujiona wao ni vichwa. Sasa alikuwa kwenye mpango na bado yupo katika mipango ya kuwaonyesha kwamba Yanga ndiyo club kubwa zaidi "Nitawanyoosha" alisema kiongozi huyo wa Yanga ambaye kwa miaka mitatu mfululizo ameirejesha Yanga kwenye utawala wake na kuifikisha katika orodha ya vilabu 10 bora barani Afrika.
Hii inaonyesha Rais wa Yanga amepania na bado yupo kwenye mkakati wa kuifanya Yanga kuwa club ya mfano Afrika Mashariki na Afrika kiujumla.
Huenda miaka kadhaa ijayo tukashuhudia yale ya Al Ahly kumuacha na kumpoteza kabisa katika ramani za soka mpinzani na mtani wake Zamalek fc
Hii inaonyesha Rais wa Yanga amepania na bado yupo kwenye mkakati wa kuifanya Yanga kuwa club ya mfano Afrika Mashariki na Afrika kiujumla.
Huenda miaka kadhaa ijayo tukashuhudia yale ya Al Ahly kumuacha na kumpoteza kabisa katika ramani za soka mpinzani na mtani wake Zamalek fc