Huku kuna "press button" ya mmojawapo wa "air hostess" kutokana na maelezo ya Eng. Victor, kule kuna "pigo la kasia" kutoka kwa dogo Majaliwa, ila jambo moja lenye kukubalika ni kuwa mlango ulifunguliwa na baadhi ya abiria kuweza kuokolewa.Eng Victor amesema baada ya Ndege ya Precision Air kuanguka alijaribu mara 3 kufungua mlango Bila mafanikio ndipo akaja Muhudumu wa Ndege na kubonyeza mahali mlango ukafunguka
Source: WASAFI TV
Yeye ndiye aliyeleta boti ya uokoaji?Eng Victor amesema baada ya Ndege ya Precision Air kuanguka alijaribu mara 3 kufungua mlango Bila mafanikio ndipo akaja Muhudumu wa Ndege na kubonyeza mahali mlango ukafunguka
Victor anasema muda wote wa Uokoaji alikuwa ameuzuia mlango kwa mkono takribani Dakika 40-60 na baada ya kuhakikisha Watu wote wametoka aliuachia mlango Ukajifunga kwa sababu ni wa hydroulic
Kabla sijauachia mlango nilimtuma mvuvi mmoja " mdogo mdogo hivi" aokoe mabegi yanayoelea ndani ya Ndege na anitafutie na begi langu lakini begi langu hakuliona
Victor anasema anajisikia maumivu ya hapa na pale na amekubaliana na madaktari wa Bukoba aende Muhimbili kwa Uchunguzi zaidi
Victor anasema Wavuvi wote walimfata na kumkumbatia baada ya zoezi la uokoaji kukamilika naye aliwaambia Nguvu walizomuona nazo kule kwenye Maji siyo zake bali ni muujiza wa Mungu.
Victor alihojiwa na Wasafi tv akiwa ndani ya Ndege ya Precision Air alirejea DSM tayari kwenda Muhimbili
Source: WASAFI TV
Kwenye ndega kumeonekana mlango mmoja kulia nyuma na mwingine nyuma kushotoKwahio Majaliwa alipiga mlango upi kwa kasia ukafunguka? Au kulikuwa na milango miwili?
Sawa ni Uswahili...Mambo ya "aliyepewa amepewa tu" ni uswahili, Engineer ameelezea kama mtu mmojawapo aliyekuwepo eneo la tukio.
Aisee kuna mahali tunapigwa ndugu zangu,Hivi ndege hazina Cctv?Kuna namna hapa si bure, [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Aisee ni ngumu mno[emoji16]Nchi ngumu sana hii.
Tuwaze zaidi ”kama ni hivyo je siku hizo ndege zikikutana na wingu kubwa huko juu si zitawamwaga abiria wote chini?"Lakini tuwaze tu hivi inawezekana mlango wa ndege ukawa sawa na wa Toyota allex ukipigwa Kasia unasambaratika......!
Kwa kuandika story hamjambo utadhani mlikuwepo? Huyo mhudumu mbona ali kufa?Aaah kijana amekua exaggerated ila waliosaidia ni wengi mnoo kuanzia Hostess aliyefungua emergency exit, raia wa china, wavuvi waliokuja na mitumbwi all in all Majaliwa sio kama alikua better ila kitendo Cha yeye manusura kupoteza maisha sababu ya kujaribu kumuokoa Rubani nadhani ndio wanamfutia machozi nacho.
Pia serikali wamemkuza Ili kuondoa maswali ya wananchi kwenye uzembe wa kuchelewa kuokoa Ili Sasa attention iwe kwenye SHUJAA!! but ukisikiliza manusura wote utaona msaada ulitolewa na watu wengi sana na sio mtu mmoja kuokoa watu 24!!
Ahsante....Mmesahau kitu kimoja, kwamba Mhudumu alipofungua mlango, Abiria mmoja aliruka kwenye Maji, nakuanza kuogelea kwenda nchi kavu, akakuta Mtumbwi usio na mwenye, akaja nao akipiga Kasia kuja kuwaokoa Abiria wenzake!
Kama mlifungua Mlango mara baada ya ajari, basi kina Mahaliwa wangewakuta Mmeshajitosa majini na Life jacket zenu.
Mnakosa Shukrani hata kidogo, Kwa hiyo ule Mtumbwi wa kina Majaliwa ulikua wa Shangazi yenu!?
Acha bana Majaliwa ndio keshaupiga mwingi. Bahati ya mwenzio usilalie mlango waziEng Victor amesema baada ya Ndege ya Precision Air kuanguka alijaribu mara 3 kufungua mlango Bila mafanikio ndipo akaja Muhudumu wa Ndege na kubonyeza mahali mlango ukafunguka
Victor anasema muda wote wa Uokoaji alikuwa ameuzuia mlango kwa mkono takribani Dakika 40-60 na baada ya kuhakikisha Watu wote wametoka aliuachia mlango Ukajifunga kwa sababu ni wa hydroulic
Kabla sijauachia mlango nilimtuma mvuvi mmoja " mdogo mdogo hivi" aokoe mabegi yanayoelea ndani ya Ndege na anitafutie na begi langu lakini begi langu hakuliona
Victor anasema anajisikia maumivu ya hapa na pale na amekubaliana na madaktari wa Bukoba aende Muhimbili kwa Uchunguzi zaidi
Victor anasema Wavuvi wote walimfata na kumkumbatia baada ya zoezi la uokoaji kukamilika naye aliwaambia Nguvu walizomuona nazo kule kwenye Maji siyo zake bali ni muujiza wa Mungu.
Victor alihojiwa na Wasafi tv akiwa ndani ya Ndege ya Precision Air alirejea DSM tayari kwenda Muhimbili
Source: WASAFI TV
Sawa Eng.[emoji3]Mama ukitulia vizuri wanao hoji wana hoja.
Na kama unaifaham hiyo ATR utakubaliana na hoja za wanao hoji.
Mlango wa ndege hii kamwe huwezi kuufungua kwa kwa kuupiga kumbika huwa unafunguka kuja chini na kugeuka kuwa ngazi.
Lazima ufunguliwe kutoka ndani tena kwa kusukumwa
Yes akina majaliwa watajaliwa sio?Sawa Eng.[emoji3]
Ila kumbuka mazingira ya ajali lolote linaweza kutokea..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Eti msikie huyu abiria alivosema;
Jamani ajali!! ni ajali tu hata Mshedede hausimami lkn sometimes hali huwa tofauti! ni hivi yaani wakati wa ile ajali bana! liji-Mama lili nikumbatia hilo mwee!
basi kwa raha zile zote niipata nguvu za ajabu! sasa nikasisitiza anikumbatie kwa nguvuuu mbele huku! basi weee!!
na kwambiaaa jamani uokoaji ni mzuri sana ukiwa na ke! yaani nilikuwa mwepesiiiii
mie naona yale mafuta mafuta ya wowo! ! ya yule mdada/ mji mama yalisaidia tuelee! naona maajabu sana yaani nikatupiwa boya la wavuvi mara tatu! nikalikataa!...sijui ilikuwaje vile???
hata zile nguvu na utaalamu wa kuelea sijui niliutoa wapi........ila kuna jamaa moja zamiaji... lilinikemea nkadhania mumewe nini???kuuumbe lilikuwa linaona wivu tu! ke sijui wana nini yani wao wanatuambukiza maguvu ushujaaa uuu!