Eng Victor: Namshukuru Mungu kwa Ujasiri alionipa wa kujiokoa na kuokoa wengine kwenye Ndege, naelekea Muhimbili kwa matibabu zaidi

Eng Victor: Namshukuru Mungu kwa Ujasiri alionipa wa kujiokoa na kuokoa wengine kwenye Ndege, naelekea Muhimbili kwa matibabu zaidi

Eng Victor amesema baada ya Ndege ya Precision Air kuanguka alijaribu mara 3 kufungua mlango Bila mafanikio ndipo akaja Muhudumu wa Ndege na kubonyeza mahali mlango ukafunguka


Source: WASAFI TV
Huku kuna "press button" ya mmojawapo wa "air hostess" kutokana na maelezo ya Eng. Victor, kule kuna "pigo la kasia" kutoka kwa dogo Majaliwa, ila jambo moja lenye kukubalika ni kuwa mlango ulifunguliwa na baadhi ya abiria kuweza kuokolewa.
 
Eng Victor amesema baada ya Ndege ya Precision Air kuanguka alijaribu mara 3 kufungua mlango Bila mafanikio ndipo akaja Muhudumu wa Ndege na kubonyeza mahali mlango ukafunguka

Victor anasema muda wote wa Uokoaji alikuwa ameuzuia mlango kwa mkono takribani Dakika 40-60 na baada ya kuhakikisha Watu wote wametoka aliuachia mlango Ukajifunga kwa sababu ni wa hydroulic

Kabla sijauachia mlango nilimtuma mvuvi mmoja " mdogo mdogo hivi" aokoe mabegi yanayoelea ndani ya Ndege na anitafutie na begi langu lakini begi langu hakuliona

Victor anasema anajisikia maumivu ya hapa na pale na amekubaliana na madaktari wa Bukoba aende Muhimbili kwa Uchunguzi zaidi

Victor anasema Wavuvi wote walimfata na kumkumbatia baada ya zoezi la uokoaji kukamilika naye aliwaambia Nguvu walizomuona nazo kule kwenye Maji siyo zake bali ni muujiza wa Mungu.

Victor alihojiwa na Wasafi tv akiwa ndani ya Ndege ya Precision Air alirejea DSM tayari kwenda Muhimbili

Source: WASAFI TV
Yeye ndiye aliyeleta boti ya uokoaji?
 
Kwahio Majaliwa alipiga mlango upi kwa kasia ukafunguka? Au kulikuwa na milango miwili?
Kwenye ndega kumeonekana mlango mmoja kulia nyuma na mwingine nyuma kushoto

1668441125869.png


1668441770357.png
 
Kwahiyo huyo mhudumu baada ya bonyeza mlango afu na yeye aka amua afie ndani ya ndege? Tz ni Taifa la Wajinga hadi Ma Eng wa wasio weza tengeza hata Ufagio wa chooni.
 
Lakini tuwaze tu hivi inawezekana mlango wa ndege ukawa sawa na wa Toyota allex ukipigwa Kasia unasambaratika......!
Tuwaze zaidi ”kama ni hivyo je siku hizo ndege zikikutana na wingu kubwa huko juu si zitawamwaga abiria wote chini?"

Naona na aliyetoa hii report ni engineer hope ni mtu anayezijua ndege,maana kwa kauli kwamba mlango wa ndege ulipigwa kasia ukafunguka sidhani kama angethubutu kupanda tena ndege za hilo shirika kurudi Dar kwa matibabu.
 
Aaah kijana amekua exaggerated ila waliosaidia ni wengi mnoo kuanzia Hostess aliyefungua emergency exit, raia wa china, wavuvi waliokuja na mitumbwi all in all Majaliwa sio kama alikua better ila kitendo Cha yeye manusura kupoteza maisha sababu ya kujaribu kumuokoa Rubani nadhani ndio wanamfutia machozi nacho.

Pia serikali wamemkuza Ili kuondoa maswali ya wananchi kwenye uzembe wa kuchelewa kuokoa Ili Sasa attention iwe kwenye SHUJAA!! but ukisikiliza manusura wote utaona msaada ulitolewa na watu wengi sana na sio mtu mmoja kuokoa watu 24!!
Kwa kuandika story hamjambo utadhani mlikuwepo? Huyo mhudumu mbona ali kufa?
 
Mmesahau kitu kimoja, kwamba Mhudumu alipofungua mlango, Abiria mmoja aliruka kwenye Maji, nakuanza kuogelea kwenda nchi kavu, akakuta Mtumbwi usio na mwenyewe, akaja nao akipiga Kasia kuja kuwaokoa Abiria wenzake!

Kama mlifungua Mlango mara baada ya ajari, basi kina Majaliwa wangewakuta Mmeshajitosa majini na Life jacket zenu.

Mnakosa Shukrani hata kidogo, Kwa hiyo ule Mtumbwi wa kina Majaliwa ulikua wa Shangazi yenu!?
 
Mmesahau kitu kimoja, kwamba Mhudumu alipofungua mlango, Abiria mmoja aliruka kwenye Maji, nakuanza kuogelea kwenda nchi kavu, akakuta Mtumbwi usio na mwenye, akaja nao akipiga Kasia kuja kuwaokoa Abiria wenzake!

Kama mlifungua Mlango mara baada ya ajari, basi kina Mahaliwa wangewakuta Mmeshajitosa majini na Life jacket zenu.

Mnakosa Shukrani hata kidogo, Kwa hiyo ule Mtumbwi wa kina Majaliwa ulikua wa Shangazi yenu!?
Ahsante....

Ndiyo maana Abiria kwenye ajali wanaibiwa maana shukrani hakuna...
 
Eng Victor amesema baada ya Ndege ya Precision Air kuanguka alijaribu mara 3 kufungua mlango Bila mafanikio ndipo akaja Muhudumu wa Ndege na kubonyeza mahali mlango ukafunguka

Victor anasema muda wote wa Uokoaji alikuwa ameuzuia mlango kwa mkono takribani Dakika 40-60 na baada ya kuhakikisha Watu wote wametoka aliuachia mlango Ukajifunga kwa sababu ni wa hydroulic

Kabla sijauachia mlango nilimtuma mvuvi mmoja " mdogo mdogo hivi" aokoe mabegi yanayoelea ndani ya Ndege na anitafutie na begi langu lakini begi langu hakuliona

Victor anasema anajisikia maumivu ya hapa na pale na amekubaliana na madaktari wa Bukoba aende Muhimbili kwa Uchunguzi zaidi

Victor anasema Wavuvi wote walimfata na kumkumbatia baada ya zoezi la uokoaji kukamilika naye aliwaambia Nguvu walizomuona nazo kule kwenye Maji siyo zake bali ni muujiza wa Mungu.

Victor alihojiwa na Wasafi tv akiwa ndani ya Ndege ya Precision Air alirejea DSM tayari kwenda Muhimbili

Source: WASAFI TV
Acha bana Majaliwa ndio keshaupiga mwingi. Bahati ya mwenzio usilalie mlango wazi
 
Mama ukitulia vizuri wanao hoji wana hoja.
Na kama unaifaham hiyo ATR utakubaliana na hoja za wanao hoji.

Mlango wa ndege hii kamwe huwezi kuufungua kwa kwa kuupiga kumbika huwa unafunguka kuja chini na kugeuka kuwa ngazi.
Lazima ufunguliwe kutoka ndani tena kwa kusukumwa
Sawa Eng.[emoji3]

Ila kumbuka mazingira ya ajali lolote linaweza kutokea..
 
Eti msikie huyu abiria alivosema;

Jamani ajali!! ni ajali tu hata Mshedede hausimami lkn sometimes hali huwa tofauti! ni hivi yaani wakati wa ile ajali bana! liji-Mama lili nikumbatia hilo mwee!

basi kwa raha zile zote niipata nguvu za ajabu! sasa nikasisitiza anikumbatie kwa nguvuuu mbele huku! basi weee!!
na kwambiaaa jamani uokoaji ni mzuri sana ukiwa na ke! yaani nilikuwa mwepesiiiii

mie naona yale mafuta mafuta ya wowo! ! ya yule mdada/ mji mama yalisaidia tuelee! naona maajabu sana yaani nikatupiwa boya la wavuvi mara tatu! nikalikataa!...sijui ilikuwaje vile???

hata zile nguvu na utaalamu wa kuelea sijui niliutoa wapi........ila kuna jamaa moja zamiaji... lilinikemea nkadhania mumewe nini???kuuumbe lilikuwa linaona wivu tu! ke sijui wana nini yani wao wanatuambukiza maguvu ushujaaa uuu!
 
Eti msikie huyu abiria alivosema;

Jamani ajali!! ni ajali tu hata Mshedede hausimami lkn sometimes hali huwa tofauti! ni hivi yaani wakati wa ile ajali bana! liji-Mama lili nikumbatia hilo mwee!

basi kwa raha zile zote niipata nguvu za ajabu! sasa nikasisitiza anikumbatie kwa nguvuuu mbele huku! basi weee!!
na kwambiaaa jamani uokoaji ni mzuri sana ukiwa na ke! yaani nilikuwa mwepesiiiii

mie naona yale mafuta mafuta ya wowo! ! ya yule mdada/ mji mama yalisaidia tuelee! naona maajabu sana yaani nikatupiwa boya la wavuvi mara tatu! nikalikataa!...sijui ilikuwaje vile???

hata zile nguvu na utaalamu wa kuelea sijui niliutoa wapi........ila kuna jamaa moja zamiaji... lilinikemea nkadhania mumewe nini???kuuumbe lilikuwa linaona wivu tu! ke sijui wana nini yani wao wanatuambukiza maguvu ushujaaa uuu!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom