Eng Victor: Namshukuru Mungu kwa Ujasiri alionipa wa kujiokoa na kuokoa wengine kwenye Ndege, naelekea Muhimbili kwa matibabu zaidi

Kwahiyo huyo mhudumu baada ya bonyeza mlango afu na yeye aka amua afie ndani ya ndege? Tz ni Taifa la Wajinga hadi Ma Eng wa wasio weza tengeza hata Ufagio wa chooni.
Hakuna mhudumu aliyefia kwenye ndege
Wahudumu wote wawili walipona,isipokuwa rubani mkuu na msaidizi wake ni kati ya watu 19 waliopoteza maisha.
 
Kaingia Bungeni atatokezea IKULU huyoooooo faya brigedi.....
 
K Kwa hiyo huyu Eng. Ndiye aliyewatoa watu 24 ziwani na kuwaleta nchi kavu? #Majaliwa shujaa.🙏🙏🙏
 
huenda huyo 'Air hostess' alifungua mlango baada ya majaliwa kuupiga kasia na ukalainika.lakini mbona hayo maelezo ya kumponda majaliwa yameibuka baada ya majaliwa kupata promo ya kutosha?hiyo day one injinia alikuwa wapi kutoa maelezo yake? kuna dalili ya wvu hapa dhidi ya majaliwa
 
Injinia anatafuta kuganga njaa,lkn uki-connect dots maelezo yake yanaleta mashaka makubwa
 
Nilipofungua nikaushikilia mlango kwa dakika 40-60 akatokea kijana mmoja mdogo mdogo akawa anatafuta mabegi. Kwa maelezo ya Victor Majaliwa alikua busy kwenye mabegi na lake hajaliona, hapo ndo tatizo lilipoanzia. Mi nadhani majaliwa angempa begi lake Victor tusingefika hapa.
 
ni kweli hiyo hutokea, unakuwa na nguvu na ujasiri wa ajabu - hata yeye Victor ukimuuliza nguvu na ujasiri alitoa wapi hawezi kujua.

Mungu huwatumia baadhi ya watu kwa muda ili kufanikisha jambo lake.
 
Bwashe huu uzi una kila dalili ya uchochezi. Wenye Majaliwa wao unataka kuwaambia nini?
Kwenye dots hakuna utata, sababu majaliwa baada ya kufungua mlango kwa nje na Engineer kuendelea kuushikilia usijifunge basi Majaliwa alichumpa kwenda kwa marubani na kuanza kurukushani ya kufungua mlango wao hadi pale alipoambiwa mamlaka zinawasiana nao asivunje, so Majaliwa hakuwa na la kufanya bali kuwapungia mkono wa buriani Marubani hao. (Sasa kama unacheki muvi hapa ndipo lazima utoke machozi)
 
Tungeona wivu kwa Big Majaliwa (waziri mkuu)
 
Wivu ili kiwe nini?
Ndio maana mnatawaliwa kirahisi wagumu kufikiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…