Engine oil gani ni nzuri kwa Gari aina ya IST?

Vipi kuhusu 20w50
 
Unagongaje gari kizembe hivyo? Huwa unachati wakati unaendesha gari mzee ama ni vurugu zenu zile tulizowazoea nazo
 
Very true
 
Oil filter huwa n 10k zaid ya hapo fundi anakupiga
 
sasa mi naona unajua kila kitu afu unauliza tena, unajua mpaka recomeended oil ni 10w30 au 530 unatakaje sasa
 
Unagongaje gari kizembe hivyo? Huwa unachati wakati unaendesha gari mzee ama ni vurugu zenu zile tulizowazoea nazo
Haikuwa kizeembe Man. Ni saa 8 usiku kwenye u turn bubu road inayotengenezwa (kilwa road).. upande mmoja upo flat wa pili kukawa na shimo ndani ya shimo kukawa na jiwe afu kuna maji. Ni ajali ambayo humkuta hadi mwenye tahadhari.

Sikuombei mabaya ila natamani ikupate maana wahenga walinena.
"INABIDI UONE VIFO VINGI ILI UJUE THAMANI YA UHAI"
 
Ki
Kizuri ni kwamba sitembelei gari sahizi
 
Mi niwekewa ya 20w50 kwnye ist, matumiz yake ni kwenda ofisini na kurudi nyumbani nipo dar,je ni sawa au ndio wananiulia gari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…