Ipo siku tutapata misiba watoto wame-suffocateNia ya kuwafwata watoto mida mibovu ni kuficha ubovu wa magari yao ili traffic police wasiyaone na jambo lingine ni kuwa wawe huru kuwabananisha watoto wetu kwenye hizo bus zao kama viazi kwenye gunia kwa kuwa mida hiyo Traffic wanajiandaa kwenda barabarani
Sema nini Mkuu hao Watoto wanaosoma hizo Shule wanakua na akili ya ziada ni wajanja sana, ni wabunifu sana alafu wapo straight kila siku wanapigwa home work ngumu ngumu wakafanye nyumbani kila wanaporudi kuondoka 11 asubuhi kurudi 11 jioni hapo ana home work za kutosha yaan akifika nyumbani sio kwamba anafika anakaa hapana anaanza kujiandaa upya Dada wa kazi ana kazi kwa hio atabrush viatu mtoto mwenyewe ataandaa nguo za shule mwenyewe mpaka saa 2 usiku kamaliza kila kitu akaoge ale akalale kesho tena saa 11 asubuhi yupo macho kwa Mimi sioni shida ni Jambo zuri linamjengea mtoto kua mchapakazi na sio mzeembe mzeembe japokua habebi kidumu mfagioHuyo mtoto hadi akifika darasa la 4 kashachoka akili na mwili maana kuamka saa 10/11 alfajiri kila siku sio mchezo. Mtu mzima tu unachoka sembuse mtoto
Ahh Kumbe! Ni sahihi mtoto kuamka asubuhi na kwenda kulala kwenye basi!?Sema nini Mkuu hao Watoto wanaosoma hizo Shule wanakua na akili ya ziada ni wajanja sana, ni wabunifu sana alafu wapo straight kila siku wanapigwa home work ngumu ngumu wakafanye nyumba kuondoka 11 kurudi 11 hapo ana home work za kutosha yaan akifika nyumbani sio kwamba anafika anakaa hapana anaanza kujiandaa upya Dada wa kazi ana kazi kwa hio atabrush viatu mtoto mwenyewe ataandaa nguo za shule mwenyewe mpaka saa 2 usiku kamaliza kila kitu akaoge ale akalale kesho tena saa 11 asubuhi yupo macho kwa Mimi sioni shida ni Jambo zuri linamjengea mtoto kua mchapakazi na sio mzeembe mzeembe japokua habebi kidumu mfagio
Sio kwenda kulala kwenye bus hujanielewaAhh Kumbe! Ni sahihi mtoto kuamka asubuhi na kwenda kulala kwenye basi!?
Mbona tayari ajari ni nyingi zimeshatokea na pia tunawatesa watoto kwa sababu wapo katika stage ya kukua ubongo na mwili kwa ujumla ndio maana tunazaliwa tukiwa na stress na tunakufa nazo maana tuna mifumo isiyo rafiki na Afya zetu za akili.Ipo siku tutapata misiba watoto wame-suffocate
IPO hivi lengo si kwamba watoto wakalale kwenye Gari mtoto mpaka anaenda kusubiria Gari hana usingizi suala la kulala hata Wewe unaposafiri kutoka Dar kwenda Mwanza huwezi ukasafiri njia nzima Macho wazi kwa hio usikomliketi mamboAhh Kumbe! Ni sahihi mtoto kuamka asubuhi na kwenda kulala kwenye basi!?
Nakubaliana na wewe ila jambo la kwamba mtoto awe kwenye usafiri saa 11 asubuhi, kiafya ni sawa!?IPO hivi lengo si kwamba watoto wakalale kwenye Gari mtoto mpaka anaenda kusubiria Gari hana usingizi suala la kulala hata Wewe unaposafiri kutoka Dar kwenda Mwanza huwezi ukasafiri njia nzima Macho wazi kwa hio usikomliketi mambo
Nikwambie kitu hivyo unajua wale Watoto wana siku km sio 2 basi 1 imetengwa kwa ajili ya mazoezi tu unalijua hilo?Nakubaliana na wewe ila jambo la kwamba mtoto awe kwenye usafiri saa 11 asubuhi, kiafya ni sawa!?
Hapo naona ni mateso tu kwa mtoto, hapati muda wa kupumzikq hata kuangalia cartoon arefresh mind.Sema nini Mkuu hao Watoto wanaosoma hizo Shule wanakua na akili ya ziada ni wajanja sana, ni wabunifu sana alafu wapo straight kila siku wanapigwa home work ngumu ngumu wakafanye nyumbani kila wanaporudi kuondoka 11 asubuhi kurudi 11 jioni hapo ana home work za kutosha yaan akifika nyumbani sio kwamba anafika anakaa hapana anaanza kujiandaa upya Dada wa kazi ana kazi kwa hio atabrush viatu mtoto mwenyewe ataandaa nguo za shule mwenyewe mpaka saa 2 usiku kamaliza kila kitu akaoge ale akalale kesho tena saa 11 asubuhi yupo macho kwa Mimi sioni shida ni Jambo zuri linamjengea mtoto kua mchapakazi na sio mzeembe mzeembe japokua habebi kidumu mfagio
Kwahiyo na watoto wana safiri kutoka dar kuenda mwanza? Mbono mfano wako hauna mantikiIPO hivi lengo si kwamba watoto wakalale kwenye Gari mtoto mpaka anaenda kusubiria Gari hana usingizi suala la kulala hata Wewe unaposafiri kutoka Dar kwenda Mwanza huwezi ukasafiri njia nzima Macho wazi kwa hio usikomliketi mambo
Mtoto kutoka tabata hadi Bunju ni takribani 45km kwa foreni za dar ni masaa 3, kuenda nakurudi 3, jumla masaa 6. Iko kwenye chombo cha usafiri ana tumia atakua amebakiza mda mchache wa kusomo, kula na kulala extra culcrrium activities hana mda, ndo madhara ya watoto wa siku hizi miaka 9 eti ana blood pressure, kisukali, stroke nk, mfumo wetu sio sahihi unamchosha mtoto kabla ya kukua.....sisi wazazi inatubidi tubadilike.Hivi ina make sense mtoto anaingia kwenye school bus saa 11 alfajiri kutoka Tabata kwenda Bunju analala mpaka shule?!
Hio Safari ya Dar-Mwanza nimetoa mfano TU kulala kwenye basi yoyote analala hata Wewe ukitoka Mbagara kwenda Kawe lazima upige usingizi kwenye Gari kabla hujakatisha UhasibuKwahiyo na watoto wana safiri kutoka dar kuenda mwanza? Mbono mfano wako hauna mantiki
Muda wa cartoon anapata akimaliza home work anakua na Muda mwingi tu kuanzia 12 mpaka saa 2 anakua free saa 3 kulalaHapo naona ni mateso tu kwa mtoto, hapati muda wa kupumzikq hata kuangalia cartoon arefresh mind.