Enrique Iglesias vs Ed Sheeran

Huo wimbo ulinipa mke buashee, maana nilikua nafanya kumuimbia kabisa, demu akaona huyu sio ndio hero mwenyewe, nikaweka ndani mazima mpaka leo ni my wife wangu na tuna watoto wawili

Bado unamwimbia?
 
Waoh!!
 
Naunga mkono
 
Kwamba sisi wadada tuchague nani mwanamuziki mzuri kati ya hawa wawili.

Kuna kitu mnatutafuta.
 

Attachments

  • images (45).jpeg
    24 KB · Views: 6
  • images (44).jpeg
    17.9 KB · Views: 5
Bado unamwimbia?
Hivi majuzi alikasirika, sikua na lugha ya kuomba msamaha mkuu maana kosa nililomfanyia halisameheli kirahisi, nilivorudi kutoka job nikamkuta amelala analia tu, nikaenda kuoga kwanza halafu nikapiga msosi, nikaingia chumbani nikakuta amelala sasa sijui kama alikua amelala au anajifanyisha, nikaanza kuimba ule wimbo wa boyzone "Baby can i hold you tonigh" baada muda nikaona anasmile halafu nikamwambia am sorry, akajisemesha hapo kalalamika na vilio vingi nikambembeleza yakaisha
 
Enrique is something men
 
Kuna mwanaume anaweza akawa amekukosea..ila akikuangalia tu na kuanza kuongea..wallah utajikuta wewe ndiyo waomba msamaha sasa bado hajaanza kukuimbia..uwiii!!..mnyevuko na vichururuuuπŸ˜‹...mwanaume mfano wa Enrique unamkaziaje kwa mfano..!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
 
Hahahahhahahhahaha
Nacheka huku kama fwaaaala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…