Enzi zetu: Mpenzi wangu nikupendaye kwa dhati

Jaman zaman rahaaa mm kuna dem aliniandikia barua ya mahaba sasa na mm nikawa naiandaa mistari ya kumjibu my love dah.. Bahati mbaya barua yangu na ya my wangu nilikua nimeziweka katikati ya counter book j mosi mm cpo home mama kachukua begi kukagua notice c ndo akakutana na barua aiseee hicho kichapo nilicho pewa huwa simsahaau grace maana mama alikua ananipiga huku anacheka haaamin km navesi kali namna ile
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hii thread nimecheka sana hadi nashindwa nimquote nani maana nyote mmetishaaa.

BTW zamani hiyo mnazungumzia ipi? Mimi mwaka 2009 nikiwa form 3 ndio nilianza kuandika haya mavitu.

Lazima niende stationery nikanunue zile karatasi za mauwa,kichwani nimekariri nyimbo zote za kizungu forever and for always,when you kiss me,my love,Soledad n.k

Nakumbuka barua yangu ya kwanza kujibu ombi niliandika wiki nzima,nilipomaliza kuiandika nikapulizia perfume ya Red Rose [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Dah!
 
Halafu kuna zile karatasi zenye maua na harufu nzuri ukutupia hayo maneno na haki kaharufu kakitoka demu anajisikia yuko mbinguni hahahahaha mapenzi hayajawahi kumwacha mtu salama
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Shikamoo mapenz
 

Are you for real???? 2009 form 3

Na bado ulikua unatumia barua wakati huo extreem zimechanganya au mlikua seminary

Hii zamani inayoongelewa ni 2003 kurudi nyuma hata 2005 sidhani kama haya mambo yalikuwepo
 
Jamaa anachora ua la love anaandika mwandiko wa kufa mtu, anadondosha na machozi kwenye barua halafu anaandika ona machozi yamelowanisha barua, pafyum kali hadi maticha wanashtukia, yaani zamani raha sana
 
Umenikumbusha kipindi nimeandikiwa barua na dedication za maana aiseee
 
Jamaa anachora ua la love anaandika mwandiko wa kufa mtu, anadondosha na machozi kwenye barua halafu anaandika ona machozi yamelowanisha barua, pafyum kali hadi maticha wanashtukia, yaani zamani raha sana
Hyo ya mauwa na kadi nilizipata sana aiseeeeeee
 
Ahaaaaaaaaa
 
Duuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!!!!!!!!!!!!!! Umenikumbusha mbali saaaaaaaaana.... Wakati mapenzi yakiwa mahaba....Leo kwa vocha ya 200 umeopoa mupenzi????? What the hell????
 
Me mtoto wa pastor kuna likizo moja nilitumia S.L.P ya kanisa aisee si mzee kaifungua nakumbuka mama aliponisimulia nilianza kukwepa mzee mpaka likizo ikaisha sasa msala ukaja kwenye kumuomba pesa ya shule coz mama alinambia mzee kasema nimwombe mwenyewe wakat so kawaida.
Daaah mapenz ya zamani yalikuwa matamu lakini ukikamatwa msala wake so poa
 
Nakumbuka niliandikiwa barua na demu class ilikuwa barua kweli ile naisoma jamaa mmoja mwenye kiherehere alikuwa anaitwa anord karume akaikwapua akaisambaza kwa watu ikawa kama soo flani nkambadilikia demu nkampa kichapo cha kuzugia ila badae nilijutia maana hata mimi nilikuwa nampenda
 
Daaaaaa ilikuwa raha sana, unasubiri wiki mbili kupata mrejesho wa barua
 
Hahahahhahaha, hatari sana..!! Nilikua na Counter book quire 3 nilikua nimeijaza mistari ya haja, lyrics za nyimbo..Nilikua nalitunza kuliko kitu choochote..!!

Lilinisaidia sana kuwa na mistari ya kuwang'oa warembo..!!
Umenikumbusha mbali sana! nikinywa maji nakuona haaaaaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…