Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaaaaa! Hakuna cha simu wala nini unasubiria majibu kwa barua lo!Dah those time when LOVE is real LOVE... barua unaupulizia pafyumu.. hatari sana!! Barua unaandika week mbili kama unatunga nyimbo ya bongo fleva!!
Kweli mkuu ni hyo hyo 2003 Kurd nyuma dah nakumbuka Nikiwa form 1 RFK yngu Micky alinitumia barua kama 8 hvi afu dingi akazikamata jmn, but ckupgwa alijua ni utoto akanionya wakiwa na mom bas ya kakaisha tangu hpo nilikuwa makin mpka nakuja kumkubali nikiwa form 3!!!nammix sana nakikugugumiz chake!!!Are you for real???? 2009 form 3
Na bado ulikua unatumia barua wakati huo extreem zimechanganya au mlikua seminary
Hii zamani inayoongelewa ni 2003 kurudi nyuma hata 2005 sidhani kama haya mambo yalikuwepo
Of course you I am.Are you for real???? 2009 form 3
Na bado ulikua unatumia barua wakati huo extreem zimechanganya au mlikua seminary
Hii zamani inayoongelewa ni 2003 kurudi nyuma hata 2005 sidhani kama haya mambo yalikuwepo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] wewe ni mwanafunzi wangu kabisa...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hii thread nimecheka sana hadi nashindwa nimquote nani maana nyote mmetishaaa.
BTW zamani hiyo mnazungumzia ipi? Mimi mwaka 2009 nikiwa form 3 ndio nilianza kuandika haya mavitu.
Lazima niende stationery nikanunue zile karatasi za mauwa,kichwani nimekariri nyimbo zote za kizungu forever and for always,when you kiss me,my love,Soledad n.k
Nakumbuka barua yangu ya kwanza kujibu ombi niliandika wiki nzima,nilipomaliza kuiandika nikapulizia perfume ya Red Rose [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Dah!
hahaaa....haaaa!!!Are you for real???? 2009 form 3
Na bado ulikua unatumia barua wakati huo extreem zimechanganya au mlikua seminary
Hii zamani inayoongelewa ni 2003 kurudi nyuma hata 2005 sidhani kama haya mambo yalikuwepo
Of course you I am.
Simu nilikuwa nayo lakini namba zangu angezipatia wapi?
Niliandikiwa barua nami nikajibu kwa barua.
Mbona unacheka dada?hahaaa....haaaa!!!
Kweli mkuu ni hyo hyo 2003 Kurd nyuma dah nakumbuka Nikiwa form 1 RFK yngu Micky alinitumia barua kama 8 hvi afu dingi akazikamata jmn, but ckupgwa alijua ni utoto akanionya wakiwa na mom bas ya kakaisha tangu hpo nilikuwa makin mpka nakuja kumkubali nikiwa form 3!!!nammix sana nakikugugumiz chake!!!
wadogo zetu hao tumo nao na wako vzr pia kujenda ktk kujenga hojaMbona unacheka dada?
wadogo zetu hao tumo nao na wako vzr pia kujenda ktk kujenga hoja
Hahaha zimefika mkuu,shukraan.Aiseeeee duuuh. Ninavyowasomaga na yule jamaa yako nilikufikiria umri tofauti na huo uliondika leo.
Ndo maana nimeshtuka. Anyway msalimu mwambie mi shabiki wako wa kimya kimya(namuongelea Avatar kutoa hotuba) kwa hisani ya Genta
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chizi wewe we chako cha kuandika chake cha kuongea u failed bro[emoji41] [emoji41] [emoji41]Mi mi mi ndo ndo ndo Mic cc ky nini mefurara hii kukukupata(kigugumizi)
Njoo PM
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chizi wewe we chako cha kuandika chake cha kuongea u failed bro[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Mimi pia ninashangaa!!!Hivi kumbe tantaw ni ME.
Ulkuwa unatumia dakika ngapi Kumaliza kusoma hizo Karatasi mbiliMim nilikua nikiandikwa barua naenda somea chooni,maana ukikamatwa viboko vyake sio vya nchi hii,,,sasa mchuchu nae alikua akiandika barua anaandika karatasi mbili zile za kufanyia mtihani yaan kazi kweli