Enzi zile tulimtetemekea sana Lipumba eti ni mchumi

Ni kama chadema tu mnavyotupiga kamba sasa kwamba Dunia nzima hakuna mwenyekiti wa Chama bora kuwahi kutokea kama Mbowe.

Huko mbeleni mtakuja kujiona wajinga sana.
 
Prof. Lipumba ni moja ya vichwa hatari sana kwenye uchumi Tanzania hatokuja kutokea kama yeye
hivi vitoto havijui, vyenyewe vinajua kupinga kila kitu cha CCM ndiyo ujanja na una akili kubwa, vipumbavu sana, LIPUMBA is one the best brain kama nchi tumewahi kuitoa
 
Mi nlisikia jamaa huwa anashauri uchumi katika nchi ya Marekani...

Mwamba alikuwa kichwa Africa nzima hakuna kama Lipumba katika uchumi.
 
Wewe huwezi kujifananisha na Lipumba hata kidogo, vipumbavu kama wewe mnafanya mitandao ionekane ya wahuni


Sikatai, siwezi kujifananisha naye, lakini kuna hata kitabu kimoja cha economics katunga kinachoweza kutumiwa na wanafunzi wa higher learning institutions duniani kama rejea Darasani kwenye field ya economics??---- kwa sifa zisizo za kawaida anazopewa huyo "mwamba" ni lazima awe unique.

Msaada wake kwa dunia achilia mbali nchi ni upi??
 
Ole wako Hamis Mjengwa asme uzi wako. Jamaa anavyomfagilia Lipumba.
 
Niyeye amekataa kuishauri serikali sababu ni mpinzani au CCM ndio imemuona useless
 
Ndugu yangu unaumia sana unapoona wakina kibatala wanapowachachafya maccm ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…