Ephraim Kibonde Jahazi Show

Jamaa siku hizi akimuona Mr.2 roho huwa inamuuma sana kiasi kwamba hizi porojo anazozifanya ni katika maandalizi ya kugombea ubunge 2015,hivyo tumchukulie kama mkosaji.
 

Lakini bado anaharibu sana jamii... ni mtu hatari sana na uchizi wake huyu basi atafutiwe mbinu za kupelekwa milembe. Ni mwehu sawa but wangapi wanaelewa kama ni mwehu na anaongea na Nusu ya wa TZ kama si robo tatu kwa kutumia clouds.

Huyu atafutiwe dawa ili apunguze madhara kwa jamii kwa kupotosha ukweli akitumia redio.
 
lakini mara nyingi sana nimebahatika kumsikia Jamaa huyu akiropoka sana,

:confused2::confused2::confused2::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::confused2::confused2::confused2:
 
watu wako kwa masirahi ya Taifa mwenyewe anakenua meno kwa sababu kapewa mgao na MAFISADI
 
Achana nae, amejadiliwa sana hapa na hana lolote la maana la kumjadili!!
 
Jamaa siku hizi akimuona Mr.2 roho huwa inamuuma sana kiasi kwamba hizi porojo anazozifanya ni katika maandalizi ya kugombea ubunge 2015,hivyo tumchukulie kama mkosaji.

Siamini kama kuna wataz wajinga hadi wamchague yeye..kama ccm watamsimisha kokote cdm watachukua hilo jimbo!
 

Aah, nimekuelewa sana Mpwa, but sikuona vibaya kuliweka tena hadharani hili jitu, je ni vibaya? kumbe si ruhusa kulijadili upya? kumbuka kuna siku litakuja choma nyumba useme huyu si chizi tu huyu, asante kwa ushauri
 
bogus presenter anaongea hadi matusi
amenunuliwa
kipindi hiyo siisikilizi cku hizi wanaboa
wao hata kuwe na msiba wanagonga muziki tu
wapi TCRA?
 

Red: fanya kumvizia ndo dawa yake
 
bogus presenter anaongea hadi matusi
amenunuliwa
kipindi hiyo siisikilizi cku hizi wanaboa
wao hata kuwe na msiba wanagonga muziki tu
wapi TCRA?
Yaani wenzie wanazidi kuelemika, wanakwenda shule kupiga buku yeye ndo anazidi ku-decay, maskini weee, mimi hua namuonea huruma sana, hasa anavyoropoka ujinga
 
Thank you very much sir... ushauri huu ni zaidi ya dollar million moja
 
I conquer with you NATA..ni kweli kabisa jamaa ameonyesha upungufu mkubwa wa fikra,sijui nimweke kwenye kundi gani..ila suala la msingi la upande wa pili ni kwamba-kuna watu wengi wanaosikiliza kipindi chake cha jahazi na uwezo wao wa kupambanua mambo siyo mkubwa sana,kuna uwezekano wa yeye (KI**NDE) Kuwa-mislead...I agree something should be done to avoid this.
 
watu wako kwa masirahi ya Taifa mwenyewe anakenua meno kwa sababu kapewa mgao na MAFISADI

fisadi gani atampa mgao mwehu kama huyu,ana impact gani kwa wasomi na wananchi kwa ujumla.,...watu waliokatiwa mlungula na mafisadi ni werema,ngeleja,bomani
 
jahazi haina mvuto tena,bora usikilize spoti xtra saa 3 usiku
 
mimi kwa maoni yangu,

kosa kubwa wanalofanya wanajahazi (especially huyo kibonde)....NI KUJADILI SIASA
kwa maoni yangu ni kwamba yule kijana kibonde hakuna anachokijua kuhusu siasa....
 
lakini ukiondoa mijadala ya siasa nadhani jahazi ni kipindi kizuri kinachofuata baada ya POWERBREAKFAST

na kinachomsaidia mtu kama HANDO,na PJ pale asubuhi ni kwamba hawa jamaa wawili wana uelewa fulani,i mean exposure yao kubwa kuhusu siasa
 
mimi kwa maoni yangu,

kosa kubwa wanalofanya wanajahazi (especially huyo kibonde)....NI KUJADILI SIASA
kwa maoni yangu ni kwamba yule kijana kibonde hakuna anachokijua kuhusu siasa....

Yes, ni kweli na ni sahihi zaidi, baya zaidi ni kwamba hizi redio zao hua hazina programs, hawaandai vipindi so inategemea siku hio kuna ishu gani inaendelea basi wakifika ndo biashara inageuka hiyoooooo hadi muda unafika..hapo ni sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…