Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwa hili hata Regina Mwalekwa ambae nilikuwa naheshimu kazi yake nahisi kama kipindi kinamshushia sana umahiri aliokuwa nao.
Regina pale kwisha kazi yake.........alikuwa anatangaza vipindi vyenye heshima na alikuwa anaelekea kwenye professionalism, Sasa kaenda kutangaza mizaha mizaha tuuu!! hata haendani kabisa.Sijui kilichompeleka Regina ni kitu gani, yaani ndo kajichokea weeeeee
Dah hata mimi najiuliza huyu dada pamoja na umahiri wake pale ameenda kudorora kwa kweli......au angepewa kipindi kingine siyo na kibonde....dah masikini Regina wetu!nani amekushauri upuuzi huu??? mbona haufiti kabisa pale???Na kwa hili hata Regina Mwalekwa ambae nilikuwa naheshimu kazi yake nahisi kama kipindi kinamshushia sana umahiri aliokuwa nao.
jina lake tu ni KIBONDE maaana ya KIBONDE INAFAHAMIKA hivyo basi ataendelea kuwa kibonde hadi kufa kwake...Si Mpenzi wa kusikiliza kipindi chake cha JAHAZI lakini mara nyingi sana nimebahatika kumsikia Jamaa huyu akiropoka sana, kusema ukweli nilimheshimu sana Kibonde lakini kwa sasa namuona hana maana tena kwa sababu zifuatazo;
Anashabikia mambo yenye ukweli usiopingika, mfano swala la DOWANS ambalo jana alilizungumzia kwa mbwembwe sana, asijue kuwa anazidi kuharibuhali ya hewa, alidai kuwa nchi haiwezi kukosa usingizi kwa sababu ya mtu mmoja anaetaka madaraka kwa nguvu na kwamba kama ni suala la lkutaka kupigiwa kura basi asubiri 2015; sina tatizo na maoni yake kwa hili,, ugomvi wangu ni yeye kujifanya kuwa ndo mwakilishi wa Watanzania wote, aliongea kwa kebehi kubwa sana, je na sisi tutafute au tutumie nafasi zetu kumkebehi?
Pili, Kusisitiza kwake kuwa ni sahihi DOWANS kulipwa na kama kuna anaebisha basi akae kimya, nimemuona ni mtu asie busara kuliko hata mvuta bangi (samahani kama nimekosea)
Tatu, kutaka viongozi wa dini eti wasiingiliea mambo ya nchi ni ujinga kama wanasiasa; na hapa na mimi namuomba kuwa kama yeye si mwana siasa basi aachane na mambo ya siasa la sivyo aondoke kwenye utangazaji aje kwenye siasa.
La mwisho, nawaombeni sana, lugha ya kuwakebehi wengine na kuwaona hawana maana airekebishe upesi; akumbuke alivyokuwa anamponda Mr.Two, lakini yuko wapi sasa, mwenzie ni mbunge na bado yeye ni watch dog tena mropokaji mtaani anaetafuta umaarufu kwa madereva wa daladala na makondakta.
Na kama vipi basi arudi akaendelee na matangazo yake ya Zain yasiyo na impact yoyote.
Narudi tena baadae
Anahitaji kufanyia kazi namba tatu hapo. Akiweza hilo............mambo mengine yote yatajileta yenyewe1.kaka kibonde ebu tafuta link btn politics n religion ..maaskofu so to speak
2.ukiona wenzako wanalia basi jifanye kulia na wewe kdg ili uonekane u pamoja nao ata km moyoni unawachekaaaaa( i ni tabia ya kiungwana lakin ukiwa mshenz autajua inamaanagan)watu wanalia kuhusu dowans afu wew unamwaga tu upupu wako .....ebu angalia kauli zako kaka
3.thk like man n act like man.
penda kusoma mawazo ya watu,tafit mbalimbali kwa kila kitu unachosema..USIKURUPUKE ..icho si kijiwe we apo unaongewa kwa mic ukiongea tanzania nzima inasikika afazal ungekuwa kkoo ukizungumza knaishia apo apo.
tatizo la mengi ni kwenye ULIPAJI...Regina pale kwisha kazi yake.........alikuwa anatangaza vipindi vyenye heshima na alikuwa anaelekea kwenye professionalism, Sasa kaenda kutangaza mizaha mizaha tuuu!! hata haendani kabisa.
1.kaka kibonde ebu tafuta link btn politics n religion ..maaskofu so to speak
2.ukiona wenzako wanalia basi jifanye kulia na wewe kdg ili uonekane u pamoja nao ata km moyoni unawachekaaaaa( i ni tabia ya kiungwana lakin ukiwa mshenz autajua inamaanagan)watu wanalia kuhusu dowans afu wew unamwaga tu upupu wako .....ebu angalia kauli zako kaka
3.thk like man n act like man.
penda kusoma mawazo ya watu,tafit mbalimbali kwa kila kitu unachosema..USIKURUPUKE ..icho si kijiwe we apo unaongewa kwa mic ukiongea tanzania nzima inasikika afazal ungekuwa kkoo ukizungumza knaishia apo apo.
Red: fanya kumvizia ndo dawa yake
Regina pale kwisha kazi yake.........alikuwa anatangaza vipindi vyenye heshima na alikuwa anaelekea kwenye professionalism, Sasa kaenda kutangaza mizaha mizaha tuuu!! hata haendani kabisa.
hebu mPM kabisa maneno haya akimaliza jahazi ayakute,si yumo humu pia?
jina lake tu ni KIBONDE maaana ya KIBONDE INAFAHAMIKA hivyo basi ataendelea kuwa kibonde hadi kufa kwake...
tatizo la mengi ni kwenye ULIPAJI...