Ephraim Kibonde Jahazi Show

Ephraim Kibonde Jahazi Show

Mratibu wa Vipindi, sjui ndy mkurugenzi au mmiliki wa clouds ni kilaza kama huyo kibonde: na wanaomsikiliza ndy VILAZA ZAIDI! Sorry:A S-fire1:
 
Mie nalidhani tulishamfuta kwenye vichwa vyetu! Tulishasema huyu mtu ni hovyo, hata bure ina afadhali. Hana thamani ya sisi kumjadili humu. Period.
 
natamani na mimi ningeimba choras ya 'anti-virus' ya Mr.two mana kibonde anaboa ni kama mtoto asiye na malezi bora,njaa inamsumbua wana JF.
 
Na kwa hili hata Regina Mwalekwa ambae nilikuwa naheshimu kazi yake nahisi kama kipindi kinamshushia sana umahiri aliokuwa nao.
 
mmh jaman uyu nilikuwa namtetea sana lakin dah nimeanza kumwona mwehu
yaani anaongea bila kufikiria wala kujua anatamka nini na kina effect gan kwa jamii
anajifanya mjuajiiiiiiiii lakin hamna lolote la maana analosema
watanzania asilimia 80 wanaona vbaya juu ya dowans bt ye anavyoizungumzia dahh so cheap as if mtoto wa darasa 5
na skuizi ndo kabisa kagwaya yupo na yule bmkubwa regna dah yule mama nw days kakosa maket na anazid kujipunguzia heshima anachoongea akiendani na alivyo . ..,mara kumi angebakia radio one ambako alipewa vpnd vnavyomjengea status lakin si pale ambapo anachoreshwa ..m sure wa radio one wenzake watakuwa wanamcheka ahh mwone ...dah anajidhadhalisha kwa kweli ni matusi matusi u wanayoongea

kipind akina ubunifuu zaid ya low politics n low sociolost ...u guys beta wak up n b active
yan ata cha kina dna kina mashiko kuwasikiliza lakin si makatuni wakubwa awa.....KUWEN WABUNIFU...jadilin vtu vyenye mana mkiwa na data +program ndo izungumze na sisi nyinyi kuongeaaaaaaaa tu...
nilikuwa nampenda sana kibonde na kumwonea huruma walipokuwa wnamponda bt nw mhh...

ACHEN KUJIFARIJI KWA kusema watanzania wanapenda sana kusema...kaa chn jiulize unakosea wap...kwanini wasisemwe akina hando,pj usemwe wewe daily?
jahaz ilibid kiwe kipind cha kujadili critical issues ukiachana na asubui lakin dooo afazali ata usikilize xxl upate mafleva pale kati uburudike usepe bila majooooooto wala kwikwi!!!!!

jaman shemej gadna upo wap jaman rud .... regina anatuchanganya tu apa na matusi yake...au basi wape tips wajue waseme nini KABLA YA..
meneja wa kipind sjui nan ndege seba sjui nani fanya mpango mpya wa vpnd na watangazaji...la sivyo the whl clouds smel fish.

kibonde kuwa open minded usiwe closed kaka
kujitia kujua kila kitu kunakupoteza
soma jamii yako
soma mada husika
ili ujue uongee nini na nanan sangap nasi kila kitu lazima UKIZUNGUMZE RADION cz watu u speak kina effect kubwa sana kwa jamii as long weng wetu elimu finyuuuuuuuu so unachokisema hatukichambui tunameza km kilivyo

LOVE U KIBONDE(kiagape zaid)
 
1.kaka kibonde ebu tafuta link btn politics n religion ..maaskofu so to speak
2.ukiona wenzako wanalia basi jifanye kulia na wewe kdg ili uonekane u pamoja nao ata km moyoni unawachekaaaaa( i ni tabia ya kiungwana lakin ukiwa mshenz autajua inamaanagan)watu wanalia kuhusu dowans afu wew unamwaga tu upupu wako .....ebu angalia kauli zako kaka
3.thk like man n act like man.
penda kusoma mawazo ya watu,tafit mbalimbali kwa kila kitu unachosema..USIKURUPUKE ..icho si kijiwe we apo unaongewa kwa mic ukiongea tanzania nzima inasikika afazal ungekuwa kkoo ukizungumza knaishia apo apo.
 
Sijui kilichompeleka Regina ni kitu gani, yaani ndo kajichokea weeeeee
Regina pale kwisha kazi yake.........alikuwa anatangaza vipindi vyenye heshima na alikuwa anaelekea kwenye professionalism, Sasa kaenda kutangaza mizaha mizaha tuuu!! hata haendani kabisa.
 
Na kwa hili hata Regina Mwalekwa ambae nilikuwa naheshimu kazi yake nahisi kama kipindi kinamshushia sana umahiri aliokuwa nao.
Dah hata mimi najiuliza huyu dada pamoja na umahiri wake pale ameenda kudorora kwa kweli......au angepewa kipindi kingine siyo na kibonde....dah masikini Regina wetu!nani amekushauri upuuzi huu??? mbona haufiti kabisa pale???
 
Si Mpenzi wa kusikiliza kipindi chake cha JAHAZI lakini mara nyingi sana nimebahatika kumsikia Jamaa huyu akiropoka sana, kusema ukweli nilimheshimu sana Kibonde lakini kwa sasa namuona hana maana tena kwa sababu zifuatazo;

Anashabikia mambo yenye ukweli usiopingika, mfano swala la DOWANS ambalo jana alilizungumzia kwa mbwembwe sana, asijue kuwa anazidi kuharibuhali ya hewa, alidai kuwa nchi haiwezi kukosa usingizi kwa sababu ya mtu mmoja anaetaka madaraka kwa nguvu na kwamba kama ni suala la lkutaka kupigiwa kura basi asubiri 2015; sina tatizo na maoni yake kwa hili,, ugomvi wangu ni yeye kujifanya kuwa ndo mwakilishi wa Watanzania wote, aliongea kwa kebehi kubwa sana, je na sisi tutafute au tutumie nafasi zetu kumkebehi?

Pili, Kusisitiza kwake kuwa ni sahihi DOWANS kulipwa na kama kuna anaebisha basi akae kimya, nimemuona ni mtu asie busara kuliko hata mvuta bangi (samahani kama nimekosea)

Tatu, kutaka viongozi wa dini eti wasiingiliea mambo ya nchi ni ujinga kama wanasiasa; na hapa na mimi namuomba kuwa kama yeye si mwana siasa basi aachane na mambo ya siasa la sivyo aondoke kwenye utangazaji aje kwenye siasa.

La mwisho, nawaombeni sana, lugha ya kuwakebehi wengine na kuwaona hawana maana airekebishe upesi; akumbuke alivyokuwa anamponda Mr.Two, lakini yuko wapi sasa, mwenzie ni mbunge na bado yeye ni watch dog tena mropokaji mtaani anaetafuta umaarufu kwa madereva wa daladala na makondakta.

Na kama vipi basi arudi akaendelee na matangazo yake ya Zain yasiyo na impact yoyote.

Narudi tena baadae
jina lake tu ni KIBONDE maaana ya KIBONDE INAFAHAMIKA hivyo basi ataendelea kuwa kibonde hadi kufa kwake...
 
1.kaka kibonde ebu tafuta link btn politics n religion ..maaskofu so to speak
2.ukiona wenzako wanalia basi jifanye kulia na wewe kdg ili uonekane u pamoja nao ata km moyoni unawachekaaaaa( i ni tabia ya kiungwana lakin ukiwa mshenz autajua inamaanagan)watu wanalia kuhusu dowans afu wew unamwaga tu upupu wako .....ebu angalia kauli zako kaka
3.thk like man n act like man.
penda kusoma mawazo ya watu,tafit mbalimbali kwa kila kitu unachosema..USIKURUPUKE ..icho si kijiwe we apo unaongewa kwa mic ukiongea tanzania nzima inasikika afazal ungekuwa kkoo ukizungumza knaishia apo apo.
Anahitaji kufanyia kazi namba tatu hapo. Akiweza hilo............mambo mengine yote yatajileta yenyewe
 
Regina pale kwisha kazi yake.........alikuwa anatangaza vipindi vyenye heshima na alikuwa anaelekea kwenye professionalism, Sasa kaenda kutangaza mizaha mizaha tuuu!! hata haendani kabisa.
tatizo la mengi ni kwenye ULIPAJI...
 
1.kaka kibonde ebu tafuta link btn politics n religion ..maaskofu so to speak
2.ukiona wenzako wanalia basi jifanye kulia na wewe kdg ili uonekane u pamoja nao ata km moyoni unawachekaaaaa( i ni tabia ya kiungwana lakin ukiwa mshenz autajua inamaanagan)watu wanalia kuhusu dowans afu wew unamwaga tu upupu wako .....ebu angalia kauli zako kaka
3.thk like man n act like man.
penda kusoma mawazo ya watu,tafit mbalimbali kwa kila kitu unachosema..USIKURUPUKE ..icho si kijiwe we apo unaongewa kwa mic ukiongea tanzania nzima inasikika afazal ungekuwa kkoo ukizungumza knaishia apo apo.

hebu mPM kabisa maneno haya akimaliza jahazi ayakute,si yumo humu pia?
 
Regina pale kwisha kazi yake.........alikuwa anatangaza vipindi vyenye heshima na alikuwa anaelekea kwenye professionalism, Sasa kaenda kutangaza mizaha mizaha tuuu!! hata haendani kabisa.

angetulia radio one ata km alifata maslahi clouds bt si kiiivo..radio one weng wao wapo bbc uko sjui wap wap m sure angechukuliwa siku moja as long anakimudu na kukitangaza kiswahili vzur

sasa uko clouds subiri ubongo utadumaa muda si mrefu..labda uznduke na ufanye maubunifu yatakayokufanya uwe regna bt kuendelea kuwa ivo unakuwa hauna tofauti na vilaza km babra na lavnes diva sjui nani yule wa usiku ..dah

regna mam b yaself
wak up
apo ulipo si pako
UNAJIDHALILISHA
me love u mamito...!!!
 
jina lake tu ni KIBONDE maaana ya KIBONDE INAFAHAMIKA hivyo basi ataendelea kuwa kibonde hadi kufa kwake...

biashara ya kujifanya muuza sura wa Zian naona iliisha sasa anachanganyikiwa maskini weee, wakati yule mkwere anatangza baraza lake la vilaza jamaa alikua kakaaa mbele kabisa anachekacheka tuuuuu
 
Najitolea kumpeleka shule labda tatizo ada, ndo maana hataki kwenda kusoma na kubadilika, naombeni mpelekeeeni ujumbe wangu huu kwamba nitamfadhili akasome
 
tatizo la mengi ni kwenye ULIPAJI...

lakin ni sehemu yeny heshima na kijiwe kizuri sana cha kutoka
sasa uyu mama kaaenda clouds ebu chek anayoongea?upuuuuuz mtupu au ukilipwa vzuri ndo ata akili zako znakuwa za ovyo ovyo?
uyu mam alikuwa bomba sana yaani ni mojawapo ya watangazaji waliokuwa wanaheshimika bt nw mmh mmh apana jaman...
au ajirud..

REGNA UNAPIGIWA KELELE KWA SABABU ZAMAN ULIONEKANA KUWA MZURI /MWENYE BUSARA NDO MANA WATU WANAMLILIA REGNA WAO.. apo km nakuona vle...kwan walinizaa wao..ndo neno utakalosema..bt its ok mumy

U sione aahh awa watanzania vp..its just 4ya own gud sweet hat....rud nyuma jichek nini umetupa icho ndo cha thaman kuliko unachokikumbatia apo
 
Back
Top Bottom