Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa ana undugu na Don Nalimison?Mwimbaji mkongwe wa nyimbo za injili na Askofu wa Hossana Assemblies of God Ephraim R. Mwansasu amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Mwasasu alikuwa akiumwa kwa muda mrefu, kwa sasa msiba upo Kimara Mwisho.
Mwansasu atakumbukwa kwa nyimbo zake nyingi alizoziimba kwa mvuto wa aina yake na kutoa ujumbe mzuri kwa kila aliyesikiliza na kuona video za nyimbo hizo zilizopendwa na kupata umaarufu Tanzania na nje ya Tanzania.
Baadhi ya nyimbo za Mwasasu ni:
- Siku nikilala mauti.
- Nangojea wakati.
- Kutesa kwa zamu.
- Dunia inapita.
- Tukimaliza kazi.
- Kiama.
- Heri wenye moyo safi.
- Tutatesa milele.
Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa Jina Lake Lihimidiwe, Pumzika kwa amani nguli wa nyimbo za injili Askofu Ephraim R. Mwansasu.
Chanzo: Chomoza TV
View attachment 1914996
View attachment 1915016
Kuhusu hilo sijafahamu kiundani Mkuu.Huyu jamaa ana undugu na Don Nalimison?
Amen1.Mathayo.
2.kufumba na kufumbua.
Safari njema mtumishi.
Inaitwaje Mkuu?Kuna movie flani hivi alikuwa producer jini lilikodisha Teksi majambazi wakaliua likawa linawatokea moja baada ya mwengine kulipiza kisasi
Amen, tutaendelea kumsikia kupitia nyimbo zake.R.I.P legend
Amen, nasi sote Mwenyezi Mungu atujalie mwisho ulio mwema katika hii dunia.Roho ya marehemu ipate pumziko la milele apumzike kwa amani, Amina
Ametutoka katika dunia hii.RIP Ephraim tumepiga nae mpira sana alikua anaujua mpira vizuri mno..
AmenR.I.P Legend
Hapana Mkuu, nyimbo hizo zote ni za Ephraim R. Mwansasu. Bony Mwaitege alikuwa ni mmoja wa waimbaji katika kwaya ya Mwansasu.Na.3,5,8 ni za bon mwaitege.
AmenR.I.P. Mtumishi
AmenApumzike kwa amani
AmenPumzika kwa Amani mtumishi wa MUNGU