Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 586
- 590
- Thread starter
- #61
Mkuu Mwenyezi Mungu huwaita walio wake kila mmoja kwa wakati wake. Duniani hatuna uraia wa kudumu.Kwa nini siku hizi watu hufa kabla ya wakati?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Mwenyezi Mungu huwaita walio wake kila mmoja kwa wakati wake. Duniani hatuna uraia wa kudumu.Kwa nini siku hizi watu hufa kabla ya wakati?
AmenRIP Legend
Amen, moja ya wimbo wenye ujumbe mzuri sana. Anasema kuhusu bangi kuwa Serikali imekata na dini inakataza ila kijana akasema anatesa kwa zamu.Nilikutana na dada mmoja......,nilikutana na kaka mmoja...... kutesa kwa zamu
Daaah RIP Homeboy, RIP jembe
Kwa familia na watanzania wote.Pole kwake
Amen, asante sana.Poleni Ndugu , Jamaa na Marafiki.
Alianza kuimba miaka ya 1990.Hapana ni early 2000's
AmenR.I.P champion.
Asante sana.poleni sana
Ndiyo, tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa maisha yake na kazi aliyoifanya.Ohhh jamani! RIP mtumishi, Tumshukuru Mungu kwa maisha yake aliyoyaishi.
Amen
AmenR.I.P tutakukumbuka daima
Amen,gwiji amelala.Apumzike kwa Amani R I.P.
Alikuwa anajua kuimba aisee.
Amen, aliimba uhalisia na kutaka kila mmoja aujue ukweli. Nyimbo zake zilipendwa sana na watu wa rika zote.Nimekua nikisikiliza nyimbo zake.
Nakumbuka nikiwa kwa mjomba wangu mchungaji mwanzoni mwa miaka ya 2000 ilikua ni ngoma zake 24/7.
Apumzike kwa amani.
Amen, daima tutaukumbuka mchango wake katika kuihubiri injili.Namkumbuka vizuri apumzike kwa amani amefanya kazi yake vizuri