Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Je waweza fafanua zaidi Kufa kabla ya wakati?hufa kabla ya wakati?
Na je wakati sahihi ni upi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je waweza fafanua zaidi Kufa kabla ya wakati?hufa kabla ya wakati?
He short-lived his singing talent, he was ill advised to quit singing carrier and join his Askofuship so early, funny he couldnt run all then together. Bye bye legend the icon, the league gospel the endless relevancy in all songs inter-generational relevancy of all time in gospel songs album.Mwimbaji mkongwe wa nyimbo za injili na Askofu wa Hossana Assemblies of God Ephraim R. Mwansasu amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Mwasasu alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya moyo kwa muda mrefu, kwa sasa msiba upo Kimara Mwisho.
Mwili wa marehemu Askofu Mwansasu unatarajiwa kusafirishwa kesho jumatatu Agosti 30, 2021 kutoka jijini Dar Es Salaam kwenda Mbeya kwa ajili ya mazishi yanayotarajiwa kufanyika 31 Agosti 2021.
Mwansasu atakumbukwa kwa nyimbo zake nyingi alizoziimba kwa mvuto wa aina yake na kutoa ujumbe mzuri kwa kila aliyesikiliza na kuona video za nyimbo hizo zilizopendwa na kupata umaarufu Tanzania na nje ya Tanzania.
Baadhi ya nyimbo za Mwasasu ni:
- Siku nikilala mauti.
- Nangojea wakati.
- Kutesa kwa zamu.
- Dunia inapita.
- Tukimaliza kazi.
- Kiama.
- Heri wenye moyo safi.
- Tutatesa milele.
Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa Jina Lake Lihimidiwe, Pumzika kwa amani nguli wa nyimbo za injili Askofu Ephraim R. Mwansasu.
View attachment 1914996
View attachment 1915016
Kabisa wenye moyo safi wataenda.Mbinguni hatuendi kwa kuchuna mabuzi kina dadaaaa bali wenye moyo safi watakwenda
AmenTutamkumbuka nyimbo pendwa za wazee
Mwenyezi Mungu ampe pumziko jema.Ndagha kikolo ubhombie,.. Rip mwansasu,
"Jwani afwane nungwe tata ghwa kumwanya, linga tukuketie amalundi ghikuti sakasaka ......" Mwansasu - kyannala
Asante sana, pole kwetu sote.Poleni sana wafiwa
AmenApumzike kwa amani Mtumishi wa Mungu
Amen
Aliimba na kufikisha ujumbe kupitia lugha ya asili ili kuwafikia watu wengi zaidi.Linga po tumalile imbombo twisa kufwala ingigha...supa nyambala ghwa Jhesu mma akabhalilo kakufwene ghwe mwana ghwa bhalondo...
Amen, ni kweli alisaidia katika hilo.Apumzike kwa amani.
Kuna mistari niliishika kwenye bible kupitia nyimbo zake. "Mathayo sura ya tano mstari wa 8 kheri wenye moyosafi..."
Amen, unaweza kusikiliza hapa na kumfahamu mwimbaji Ephraim Mwansansu.Sijawahi sikia nyimbo zake zikiimba na aina yake sijui nilipitwaje, Mungu ampe pumziko la milele
AmenAmeumaliza mwendo.. Alale panapostahiki. Jina la Bwana lihimidiwe...