TANZIA Ephraim R. Mwansasu, Nguli wa Nyimbo za Injili Afariki Dunia

Kuna movie flani hivi alikuwa producer jini lilikodisha Teksi majambazi wakaliua likawa linawatokea moja baada ya mwengine kulipiza kisasi
 
Huyu jamaa ana undugu na Don Nalimison?
 
Nimekua nikisikiliza nyimbo zake.

Nakumbuka nikiwa kwa mjomba wangu mchungaji mwanzoni mwa miaka ya 2000 ilikua ni ngoma zake 24/7.

Apumzike kwa amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…