EPL: Makombe Mawili Yaliyofanana yatapelekwa kwenye Viwanja vya Emirates & Etihad katika michezo ya leo ya kuamua nani awe bingwa

EPL: Makombe Mawili Yaliyofanana yatapelekwa kwenye Viwanja vya Emirates & Etihad katika michezo ya leo ya kuamua nani awe bingwa

Daah Timu nilizotamani zichukue ubingwa msimu huu, zote zimeangukia pua, yani ni stress juu ya stress 😒😒
 
Sasa ulitegemea Mbumbumbu a.k.a Rage FC wanaweza kuchukua Ubingwa wa Tanzania?
Wakati wanachukua ubingwa misimu minne mfululizo ulikuwa ni ubingwa wa nchi gani, au mmeambiwa Simba ni Ihefu kwamba ubingwa kwao ni ndoto, nilijua huko kwenu wenye akili ni wawili ila wote hamnazo tu
 
Wakati wanachukua ubingwa misimu minne mfululizo ulikuwa ni ubingwa wa nchi gani, au mmeambiwa Simba ni Ihefu kwamba ubingwa kwao ni ndoto, nilijua huko kwenu wenye akili ni wawili ila wote hamnazo tu
1716144666422.jpg

Hongereni sana wana msinbazi.
 
Back
Top Bottom