Epuka kuwa na circle kubwa ya wanawake

Epuka kuwa na circle kubwa ya wanawake

Uwe unasoma kwa kuelewa., sasa hao uliowataja unawafananisha na vijana wanaoshindia miogo na mo energy ili waonge mademu.

Naongra mambo ambayo nayaona, naona jinsi vijana wenzangu ambavyo wanaingia gharama kwa sababu ya circle ya wanawake walionayo
Bro,, changing a simp's mindset is harder than changing a kite into spaceship.

This simp drank Bitches' milk nuts, he is nowhere near us by now even we could shout all day.
 
Kadiri unavyokua na idadi kubwa ya wanawake kwenye circle yako iwe kimapenzi au kirafiki ndivyo unavyojiandalia maisha ya kuishia kwenye umasikini. For every 10 women you attract into your life only one genuine woman might respect and value you, other nine just want a piece of your success

Usijidanganye kwamba ni marafiki tu, siku zote mwanamke anachokiona kwa mwanaume ni masilahi tu, namba yako ipo kwenye simu yake kimkakati, soon or later utapigwa mzinga tu, sawa kama hauna au hautaki kumpa utamtosa tu lakini mazoea ya kuombaomba yanapojirudia rudia inakua kero.

Maisha yako kiuchumi yatakua na unafuu na yataimarika zaidi ukijiepusha na wanawake. A man who has too much attention from women is at constant risk of being distracted, manipulated and taken down. Don't fooling yourself that you're handsome or attractive man, the truth is all those women sees you as a resource not as human being.

Kwa kipindi chote ambacho bado u kijana unaepambana kujikwamua na umasikini basi mwanamke awe kitu cha mwisho kabisa kukifikiria. Don't do any financial stupidity to impress a woman.

Wanawake ni parasite, hakuna namna utakua karibu nao bila mfuko wako kutoboka, wanakuja kwa ajiri ya kuchukua tu sio kuchangia.

Halafu sasa mwanamke uyo anayetaka kukubesha huo mzigo hakudai, hajakufanyia kazi yoyote, hajawahi kukupa ushauri chanya wala ramani ya mchongo wa kupiga pesa, out of nothing anajiona tu ana haki ya kunufaika na mfuko wako, this is totaly bullshit.

Kuna hitaji la wanawake wa Tanzania kufanyiwa consultation, it makes no sense mtu anajipa haki ya kupata gawio kutoka kwenye hela ambayo hajashiriki kuitafuta.

Mwanamke hana output yoyote kwenye maisha yako kaa nae mbali kwa sababu hakuna utakachonufaika kutoka kwake zaidi ya kukupotezea muda na hela tu.

A woman is liability in your life, more women in your life more liabilities.
Mkuu kuna mademu hawaombi hela za kabisa na siyo. wa kishua, japo wapo wachache
 
Kuna kuumwa namuhudumia, kuna kuporomoka kiuchumi nasimamia show, matatizo ya nyumbani kwao mimi ndio waziri wake mkuu namuwakilisha anapokuwa safarini… zaidi namuhudumia kuanzia chakula cha kumboroshea afya yake ambayo anatamba nayo..! Na mengineyo mengi.
Kuna mahusiano mengi sana ambayo wanawake hawafanyi hata moja ya haya uliyoongea hapa zaidi ya kutaka kuchuna tu, ndo maana kutwa thread za wanaume kulalamika humu jf Lamomy
 
Natafuta Ajira sijawahi kukupinga mkuu maana nyuzi zako zimenifunza mengi mno naendelea kuzingatia ushauri wako mzee.
Fursa huwa aziji mara mbili ukipata tumia na usiruhusu mtu yoyote aje kukutoa kwenye njia yako wanawake wengi ukiondoa ngono bac hakuna kitu kingine cha maana anachoweza kumuofer mwaname.
 
Kadiri unavyokua na idadi kubwa ya wanawake kwenye circle yako iwe kimapenzi au kirafiki ndivyo unavyojiandalia maisha ya kuishia kwenye umasikini. For every 10 women you attract into your life only one genuine woman might respect and value you, other nine just want a piece of your success

Usijidanganye kwamba ni marafiki tu, siku zote mwanamke anachokiona kwa mwanaume ni masilahi tu, namba yako ipo kwenye simu yake kimkakati, soon or later utapigwa mzinga tu, sawa kama hauna au hautaki kumpa utamtosa tu lakini mazoea ya kuombaomba yanapojirudia rudia inakua kero.

Maisha yako kiuchumi yatakua na unafuu na yataimarika zaidi ukijiepusha na wanawake. A man who has too much attention from women is at constant risk of being distracted, manipulated and taken down. Don't fooling yourself that you're handsome or attractive man, the truth is all those women sees you as a resource not as human being.

Kwa kipindi chote ambacho bado u kijana unaepambana kujikwamua na umasikini basi mwanamke awe kitu cha mwisho kabisa kukifikiria. Don't do any financial stupidity to impress a woman.

Wanawake ni parasite, hakuna namna utakua karibu nao bila mfuko wako kutoboka, wanakuja kwa ajiri ya kuchukua tu sio kuchangia.

Halafu sasa mwanamke uyo anayetaka kukubesha huo mzigo hakudai, hajakufanyia kazi yoyote, hajawahi kukupa ushauri chanya wala ramani ya mchongo wa kupiga pesa, out of nothing anajiona tu ana haki ya kunufaika na mfuko wako, this is totaly bullshit.

Kuna hitaji la wanawake wa Tanzania kufanyiwa consultation, it makes no sense mtu anajipa haki ya kupata gawio kutoka kwenye hela ambayo hajashiriki kuitafuta.

Mwanamke hana output yoyote kwenye maisha yako kaa nae mbali kwa sababu hakuna utakachonufaika kutoka kwake zaidi ya kukupotezea muda na hela tu.

A woman is liability in your life, more women in your life more liabilities.
Mkuu umetema madini yenye thamani kubwa sana.
 
Back
Top Bottom