shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 842
- 1,928
Wewe ni dume fala wewe mwandiko tu unaonesha wewe ni dume angalia utapigwa paipu.Pa kuponea JF? Nicheke mie. Maana vivulana vya hapa vinadhani kila mwanamke ana njaa kama vyenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni dume fala wewe mwandiko tu unaonesha wewe ni dume angalia utapigwa paipu.Pa kuponea JF? Nicheke mie. Maana vivulana vya hapa vinadhani kila mwanamke ana njaa kama vyenyewe
Kuna watu watapinga ila umemwaga madini ya maana.Wanawake(sio wote)ni watu wa fursa,wanapenda kuvuna wasipopanda.Kadiri unavyokua na idadi kubwa ya wanawake kwenye circle yako iwe kimapenzi au kirafiki ndivyo unavyojiandalia maisha ya kuishia kwenye umasikini. For every 10 women you attract into your life only one genuine woman might respect and value you, other nine just want a piece of your success
Usijidanganye kwamba ni marafiki tu, siku zote mwanamke anachokiona kwa mwanaume ni masilahi tu, namba yako ipo kwenye simu yake kimkakati, soon or later utapigwa mzinga tu, sawa kama hauna au hautaki kumpa utamtosa tu lakini mazoea ya kuombaomba yanapojirudia rudia inakua kero.
Maisha yako kiuchumi yatakua na unafuu na yataimarika zaidi ukijiepusha na wanawake. A man who has too much attention from women is at constant risk of being distracted, manipulated and taken down. Don't fooling yourself that you're handsome or attractive man, the truth is all those women sees you as a resource not as human being.
Kwa kipindi chote ambacho bado u kijana unaepambana kujikwamua na umasikini basi mwanamke awe kitu cha mwisho kabisa kukifikiria. Don't do any financial stupidity to impress a woman.
Wanawake ni parasite, hakuna namna utakua karibu nao bila mfuko wako kutoboka, wanakuja kwa ajiri ya kuchukua tu sio kuchangia.
Halafu sasa mwanamke uyo anayetaka kukubesha huo mzigo hakudai, hajakufanyia kazi yoyote, hajawahi kukupa ushauri chanya wala ramani ya mchongo wa kupiga pesa, out of nothing anajiona tu ana haki ya kunufaika na mfuko wako, this is totaly bullshit.
Kuna hitaji la wanawake wa Tanzania kufanyiwa consultation, it makes no sense mtu anajipa haki ya kupata gawio kutoka kwenye hela ambayo hajashiriki kuitafuta.
Mwanamke hana output yoyote kwenye maisha yako kaa nae mbali kwa sababu hakuna utakachonufaika kutoka kwake zaidi ya kukupotezea muda na hela tu.
A woman is liability in your life, more women in your life more liabilities.
naomba kulelewa
Wewe ni dume fala wewe mwandiko tu unaonesha wewe ni dume angalia utapigwa paipu.
Wewe ni dume fala wewe utaolewaUna sifa na vigezo vya kazi unayoomba?
Una uzoefu wa miaka 5?
jaman mkujeee huku jeifu kuna jitu linabutuliwa huku... mshangaz cna uzoefu wowote ila nishawahi kujificha ndani kwa bibi miezi miwili baada ya kuiba mboga(mlenda) kwa jirani..UPO NYONYOUna sifa na vigezo vya kazi unayoomba?
Una uzoefu wa miaka 5?
Yangu ikivunjika basi mwenyewe nimetaka ivunjike 🤣🤣Sio kweli . Ndoa nyingi za sikuhizi zinavunjika. Hata ya kwako itavunjika.
Ana maumivu makali mnoNImeuliza,huyu jamaa ana tatizo gani?? Naona wanaume wenzangu wameni attack kwa kuuliza hivyo,embu ona thread zake.
View attachment 3095752
Anataka wanaume wote waww wake kitu kisichowezekana, inasemwaga lakini wanawake hatupendaniHuyu anachofundisha wenzie wawe mashoga, sasa km mwanaume anaambiwa asiwe karibu na wanawake anataka wawe karibu na nani?? 😂😂
Wivu tu umemjaa mwanaume huyu 😂😂😂Anataka wanaume wote waww wake kitu kisichowezekana, inasemwaga lakini wanawake hatupendani
Ahahahah kwel bwana dah!!!Usi tumie silaha za kivita, kwenye kikao cha familia
Ahahahah unataka nipigwe ban wewe😂😂Uwe unaniita ukianza kurusha makombora 🤣🤣🤣
kataa ndoa watafurahi umewasaidiaKadiri unavyokua na idadi kubwa ya wanawake kwenye circle yako iwe kimapenzi au kirafiki ndivyo unavyojiandalia maisha ya kuishia kwenye umasikini. For every 10 women you attract into your life only one genuine woman might respect and value you, other nine just want a piece of your success
Usijidanganye kwamba ni marafiki tu, siku zote mwanamke anachokiona kwa mwanaume ni masilahi tu, namba yako ipo kwenye simu yake kimkakati, soon or later utapigwa mzinga tu, sawa kama hauna au hautaki kumpa utamtosa tu lakini mazoea ya kuombaomba yanapojirudia rudia inakua kero.
Maisha yako kiuchumi yatakua na unafuu na yataimarika zaidi ukijiepusha na wanawake. A man who has too much attention from women is at constant risk of being distracted, manipulated and taken down. Don't fooling yourself that you're handsome or attractive man, the truth is all those women sees you as a resource not as human being.
Kwa kipindi chote ambacho bado u kijana unaepambana kujikwamua na umasikini basi mwanamke awe kitu cha mwisho kabisa kukifikiria. Don't do any financial stupidity to impress a woman.
Wanawake ni parasite, hakuna namna utakua karibu nao bila mfuko wako kutoboka, wanakuja kwa ajiri ya kuchukua tu sio kuchangia.
Halafu sasa mwanamke uyo anayetaka kukubesha huo mzigo hakudai, hajakufanyia kazi yoyote, hajawahi kukupa ushauri chanya wala ramani ya mchongo wa kupiga pesa, out of nothing anajiona tu ana haki ya kunufaika na mfuko wako, this is totaly bullshit.
Kuna hitaji la wanawake wa Tanzania kufanyiwa consultation, it makes no sense mtu anajipa haki ya kupata gawio kutoka kwenye hela ambayo hajashiriki kuitafuta.
Mwanamke hana output yoyote kwenye maisha yako kaa nae mbali kwa sababu hakuna utakachonufaika kutoka kwake zaidi ya kukupotezea muda na hela tu.
A woman is liability in your life, more women in your life more liabilities.
Ahahahah kwa heshma ilioko baina yetu naomba kwa leo tuliache lipite mkuu wangu😂😂Mkuu mimi na wewe tunaheshimiana sana nilitaka nikutukane kwa leo tu
Yaani hukuona vitu vingine vya kutaja mpaka ukataja chapati??
Ungetaja hata utumbo wa kuku ambao majority hatuli zaidi ya hao hao akina mwajuma ndala ndefu..
Chapati wahuni karibia wote tunazinunua sana kwaajili ya maharage na supu man umesababisha nikataka kutapika yaani ulivyoiasociate na hao watu.
Musk ana vimada zaidi ya 12, Bill Gate anao zaidi ndo maana ndoa ikavunjika, matajiri wengi wakubwa wana vimada zaidi ya kumi. Umasikini ndo unakufanya uwaze hivyo, pesa ya kuuza mchicha. Wewe pesa ulizonazo kwa mwingine ni pesa ya kikombe Cha chai tu. Hivyo umasikini wako usikufanye agenda kwa wengine.Kadiri unavyokua na idadi kubwa ya wanawake kwenye circle yako iwe kimapenzi au kirafiki ndivyo unavyojiandalia maisha ya kuishia kwenye umasikini. For every 10 women you attract into your life only one genuine woman might respect and value you, other nine just want a piece of your success
Usijidanganye kwamba ni marafiki tu, siku zote mwanamke anachokiona kwa mwanaume ni masilahi tu, namba yako ipo kwenye simu yake kimkakati, soon or later utapigwa mzinga tu, sawa kama hauna au hautaki kumpa utamtosa tu lakini mazoea ya kuombaomba yanapojirudia rudia inakua kero.
Maisha yako kiuchumi yatakua na unafuu na yataimarika zaidi ukijiepusha na wanawake. A man who has too much attention from women is at constant risk of being distracted, manipulated and taken down. Don't fooling yourself that you're handsome or attractive man, the truth is all those women sees you as a resource not as human being.
Kwa kipindi chote ambacho bado u kijana unaepambana kujikwamua na umasikini basi mwanamke awe kitu cha mwisho kabisa kukifikiria. Don't do any financial stupidity to impress a woman.
Wanawake ni parasite, hakuna namna utakua karibu nao bila mfuko wako kutoboka, wanakuja kwa ajiri ya kuchukua tu sio kuchangia.
Halafu sasa mwanamke uyo anayetaka kukubesha huo mzigo hakudai, hajakufanyia kazi yoyote, hajawahi kukupa ushauri chanya wala ramani ya mchongo wa kupiga pesa, out of nothing anajiona tu ana haki ya kunufaika na mfuko wako, this is totaly bullshit.
Kuna hitaji la wanawake wa Tanzania kufanyiwa consultation, it makes no sense mtu anajipa haki ya kupata gawio kutoka kwenye hela ambayo hajashiriki kuitafuta.
Mwanamke hana output yoyote kwenye maisha yako kaa nae mbali kwa sababu hakuna utakachonufaika kutoka kwake zaidi ya kukupotezea muda na hela tu.
A woman is liability in your life, more women in your life more liabilities.
Oya sikiliza wewe manzi iko hivi kama hujaelewaAnataka wanaume wote waww wake kitu kisichowezekana, inasemwaga lakini wanawake hatupendani
Mbona maelezo marefu sana una tatizo ganiOya sikiliza wewe manzi iko hivi kama hujaelewa
Nikimuelewa Kapeace nabonga na wewe tunagrade hako kak*ma then tukifunga bei nakukula nakupa kiasi chako baada ya hapo hatujuani so zile mambo za sijisikii poa mara nimepungukiwa kiasi fulan kwenye mambo yangu unakuwa huna nafasi ya kuniambia maana tulimalizana,, yaan natafuta mwezi mzima nakutengea bajeti kama ni 50k au 100k kulingana na tunavyobargain.
Sio zile habari za babe halafu virungu.
Au unaniita mume wangu huku unanibebesha majukumu mpaka ya michango ya kitchen party ya mtoto wa mjomba wako tena kama ni mkoani unataka na nauli kabisa ukahudhurie.
Ila kwakuwa mnajua kuwa mmekuwa mkitufaidi sana to the maximum hamtaki hizi mada maana zitaleta ukombozi kwa hao mliowafinyia kwa ndani wakawehuka..
Niwaombe tu nyie wanawake hebu jaribuni kuwalegezea hawa watu msiwageuze misukule kiasi hicho.