Epuka kuwa na circle kubwa ya wanawake

Epuka kuwa na circle kubwa ya wanawake

Kadiri unavyokua na idadi kubwa ya wanawake kwenye circle yako iwe kimapenzi au kirafiki ndivyo unavyojiandalia maisha ya kuishia kwenye umasikini. For every 10 women you attract into your life only one genuine woman might respect and value you, other nine just want a piece of your success

Usijidanganye kwamba ni marafiki tu, siku zote mwanamke anachokiona kwa mwanaume ni masilahi tu, namba yako ipo kwenye simu yake kimkakati, soon or later utapigwa mzinga tu, sawa kama hauna au hautaki kumpa utamtosa tu lakini mazoea ya kuombaomba yanapojirudia rudia inakua kero.

Maisha yako kiuchumi yatakua na unafuu na yataimarika zaidi ukijiepusha na wanawake. A man who has too much attention from women is at constant risk of being distracted, manipulated and taken down. Don't fooling yourself that you're handsome or attractive man, the truth is all those women sees you as a resource not as human being.

Kwa kipindi chote ambacho bado u kijana unaepambana kujikwamua na umasikini basi mwanamke awe kitu cha mwisho kabisa kukifikiria. Don't do any financial stupidity to impress a woman.

Wanawake ni parasite, hakuna namna utakua karibu nao bila mfuko wako kutoboka, wanakuja kwa ajiri ya kuchukua tu sio kuchangia.

Halafu sasa mwanamke uyo anayetaka kukubesha huo mzigo hakudai, hajakufanyia kazi yoyote, hajawahi kukupa ushauri chanya wala ramani ya mchongo wa kupiga pesa, out of nothing anajiona tu ana haki ya kunufaika na mfuko wako, this is totaly bullshit.

Kuna hitaji la wanawake wa Tanzania kufanyiwa consultation, it makes no sense mtu anajipa haki ya kupata gawio kutoka kwenye hela ambayo hajashiriki kuitafuta.

Mwanamke hana output yoyote kwenye maisha yako kaa nae mbali kwa sababu hakuna utakachonufaika kutoka kwake zaidi ya kukupotezea muda na hela tu.

A woman is liability in your life, more women in your life more liabilities.
Kuna watu watapinga ila umemwaga madini ya maana.Wanawake(sio wote)ni watu wa fursa,wanapenda kuvuna wasipopanda.
 
Kadiri unavyokua na idadi kubwa ya wanawake kwenye circle yako iwe kimapenzi au kirafiki ndivyo unavyojiandalia maisha ya kuishia kwenye umasikini. For every 10 women you attract into your life only one genuine woman might respect and value you, other nine just want a piece of your success

Usijidanganye kwamba ni marafiki tu, siku zote mwanamke anachokiona kwa mwanaume ni masilahi tu, namba yako ipo kwenye simu yake kimkakati, soon or later utapigwa mzinga tu, sawa kama hauna au hautaki kumpa utamtosa tu lakini mazoea ya kuombaomba yanapojirudia rudia inakua kero.

Maisha yako kiuchumi yatakua na unafuu na yataimarika zaidi ukijiepusha na wanawake. A man who has too much attention from women is at constant risk of being distracted, manipulated and taken down. Don't fooling yourself that you're handsome or attractive man, the truth is all those women sees you as a resource not as human being.

Kwa kipindi chote ambacho bado u kijana unaepambana kujikwamua na umasikini basi mwanamke awe kitu cha mwisho kabisa kukifikiria. Don't do any financial stupidity to impress a woman.

Wanawake ni parasite, hakuna namna utakua karibu nao bila mfuko wako kutoboka, wanakuja kwa ajiri ya kuchukua tu sio kuchangia.

Halafu sasa mwanamke uyo anayetaka kukubesha huo mzigo hakudai, hajakufanyia kazi yoyote, hajawahi kukupa ushauri chanya wala ramani ya mchongo wa kupiga pesa, out of nothing anajiona tu ana haki ya kunufaika na mfuko wako, this is totaly bullshit.

Kuna hitaji la wanawake wa Tanzania kufanyiwa consultation, it makes no sense mtu anajipa haki ya kupata gawio kutoka kwenye hela ambayo hajashiriki kuitafuta.

Mwanamke hana output yoyote kwenye maisha yako kaa nae mbali kwa sababu hakuna utakachonufaika kutoka kwake zaidi ya kukupotezea muda na hela tu.

A woman is liability in your life, more women in your life more liabilities.
kataa ndoa watafurahi umewasaidia
 
Mkuu mimi na wewe tunaheshimiana sana nilitaka nikutukane kwa leo tu
Yaani hukuona vitu vingine vya kutaja mpaka ukataja chapati??
Ungetaja hata utumbo wa kuku ambao majority hatuli zaidi ya hao hao akina mwajuma ndala ndefu..
Chapati wahuni karibia wote tunazinunua sana kwaajili ya maharage na supu man umesababisha nikataka kutapika yaani ulivyoiasociate na hao watu.
Ahahahah kwa heshma ilioko baina yetu naomba kwa leo tuliache lipite mkuu wangu😂😂
 
Kadiri unavyokua na idadi kubwa ya wanawake kwenye circle yako iwe kimapenzi au kirafiki ndivyo unavyojiandalia maisha ya kuishia kwenye umasikini. For every 10 women you attract into your life only one genuine woman might respect and value you, other nine just want a piece of your success

Usijidanganye kwamba ni marafiki tu, siku zote mwanamke anachokiona kwa mwanaume ni masilahi tu, namba yako ipo kwenye simu yake kimkakati, soon or later utapigwa mzinga tu, sawa kama hauna au hautaki kumpa utamtosa tu lakini mazoea ya kuombaomba yanapojirudia rudia inakua kero.

Maisha yako kiuchumi yatakua na unafuu na yataimarika zaidi ukijiepusha na wanawake. A man who has too much attention from women is at constant risk of being distracted, manipulated and taken down. Don't fooling yourself that you're handsome or attractive man, the truth is all those women sees you as a resource not as human being.

Kwa kipindi chote ambacho bado u kijana unaepambana kujikwamua na umasikini basi mwanamke awe kitu cha mwisho kabisa kukifikiria. Don't do any financial stupidity to impress a woman.

Wanawake ni parasite, hakuna namna utakua karibu nao bila mfuko wako kutoboka, wanakuja kwa ajiri ya kuchukua tu sio kuchangia.

Halafu sasa mwanamke uyo anayetaka kukubesha huo mzigo hakudai, hajakufanyia kazi yoyote, hajawahi kukupa ushauri chanya wala ramani ya mchongo wa kupiga pesa, out of nothing anajiona tu ana haki ya kunufaika na mfuko wako, this is totaly bullshit.

Kuna hitaji la wanawake wa Tanzania kufanyiwa consultation, it makes no sense mtu anajipa haki ya kupata gawio kutoka kwenye hela ambayo hajashiriki kuitafuta.

Mwanamke hana output yoyote kwenye maisha yako kaa nae mbali kwa sababu hakuna utakachonufaika kutoka kwake zaidi ya kukupotezea muda na hela tu.

A woman is liability in your life, more women in your life more liabilities.
Musk ana vimada zaidi ya 12, Bill Gate anao zaidi ndo maana ndoa ikavunjika, matajiri wengi wakubwa wana vimada zaidi ya kumi. Umasikini ndo unakufanya uwaze hivyo, pesa ya kuuza mchicha. Wewe pesa ulizonazo kwa mwingine ni pesa ya kikombe Cha chai tu. Hivyo umasikini wako usikufanye agenda kwa wengine.
 

Attachments

  • Screenshot_20240914-191841.png
    Screenshot_20240914-191841.png
    381.6 KB · Views: 6
  • Screenshot_20240914-191650.png
    Screenshot_20240914-191650.png
    141.5 KB · Views: 6
Anataka wanaume wote waww wake kitu kisichowezekana, inasemwaga lakini wanawake hatupendani
Oya sikiliza wewe manzi iko hivi kama hujaelewa
Nikimuelewa Kapeace nabonga na wewe tunagrade hako kak*ma then tukifunga bei nakukula nakupa kiasi chako baada ya hapo hatujuani so zile mambo za sijisikii poa mara nimepungukiwa kiasi fulan kwenye mambo yangu unakuwa huna nafasi ya kuniambia maana tulimalizana,, yaan natafuta mwezi mzima nakutengea bajeti kama ni 50k au 100k kulingana na tunavyobargain.
Sio zile habari za babe halafu virungu.
Au unaniita mume wangu huku unanibebesha majukumu mpaka ya michango ya kitchen party ya mtoto wa mjomba wako tena kama ni mkoani unataka na nauli kabisa ukahudhurie.
Ila kwakuwa mnajua kuwa mmekuwa mkitufaidi sana to the maximum hamtaki hizi mada maana zitaleta ukombozi kwa hao mliowafinyia kwa ndani wakawehuka..
Niwaombe tu nyie wanawake hebu jaribuni kuwalegezea hawa watu msiwageuze misukule kiasi hicho.
 
Oya sikiliza wewe manzi iko hivi kama hujaelewa
Nikimuelewa Kapeace nabonga na wewe tunagrade hako kak*ma then tukifunga bei nakukula nakupa kiasi chako baada ya hapo hatujuani so zile mambo za sijisikii poa mara nimepungukiwa kiasi fulan kwenye mambo yangu unakuwa huna nafasi ya kuniambia maana tulimalizana,, yaan natafuta mwezi mzima nakutengea bajeti kama ni 50k au 100k kulingana na tunavyobargain.
Sio zile habari za babe halafu virungu.
Au unaniita mume wangu huku unanibebesha majukumu mpaka ya michango ya kitchen party ya mtoto wa mjomba wako tena kama ni mkoani unataka na nauli kabisa ukahudhurie.
Ila kwakuwa mnajua kuwa mmekuwa mkitufaidi sana to the maximum hamtaki hizi mada maana zitaleta ukombozi kwa hao mliowafinyia kwa ndani wakawehuka..
Niwaombe tu nyie wanawake hebu jaribuni kuwalegezea hawa watu msiwageuze misukule kiasi hicho.
Mbona maelezo marefu sana una tatizo gani
 
Back
Top Bottom