Epuka kuwa na circle kubwa ya wanawake

Epuka kuwa na circle kubwa ya wanawake

Uko na akili? Maana sichangamani na mafurushi
Oya Manigga njooni muone swala anapanua mdomo anataka kumtafuna tiger huku,,
Mtu mwenyewe unajitambulisha Ka.
Nitakununua sasa hivi jichanganye..
Nitakutilia ndimu na soy sauce!!
Nitakutafuna I dont make love with ladies haijalishi ni descent au ni bitch. Nakutafuna kibadi tu..
 
Inategemea na aina gani ya wanawake ambao upo nao closed

Kuwa na circle kubwa ya wanawake in positive way haina tatizo

Kimahusiano inaweza kuleta changamoto na sio tu changamoto pia hata kuua focus na uchumi wako.

Ushauri wako unatija in such way Ila inatumia lugha ngumu kiasi cha kumfanya msomaji awe emotionally.✊🏿.
 
Musk ana vimada zaidi ya 12, Bill Gate anao zaidi ndo maana ndoa ikavunjika, matajiri wengi wakubwa wana vimada zaidi ya kumi. Umasikini ndo unakufanya uwaze hivyo, pesa ya kuuza mchicha. Wewe pesa ulizonazo kwa mwingine ni pesa ya kikombe Cha chai tu. Hivyo umasikini wako usikufanye agenda kwa wengine.
Uwe unasoma kwa kuelewa., sasa hao uliowataja unawafananisha na vijana wanaoshindia miogo na mo energy ili waonge mademu.

Naongra mambo ambayo nayaona, naona jinsi vijana wenzangu ambavyo wanaingia gharama kwa sababu ya circle ya wanawake walionayo
 
"Don't do any financial stupidity to impress a woman"
Mimi ingekua bila genye na macho yang ya tamaa ningekua kimaendeleo mbali sana.
Nataman kuunga mkono hoja ila nikikumbuka siwezi kuishi bila kulomba nakosa ujasiri wa kuunga hoja mkono.
 
"Don't do any financial stupidity to impress a woman"
Mimi ingekua bila genye na macho yang ya tamaa ningekua kimaendeleo mbali sana.
Nataman kuunga mkono hoja ila nikikumbuka siwezi kuishi bila kulomba nakosa ujasiri wa kuunga hoja mkono.
Ofcourse ilo ni suala ambalo haliepukiki, muhimu usiende juu ya uwezo wako
 
Back
Top Bottom