Sonko Bibo
JF-Expert Member
- May 24, 2019
- 957
- 1,493
Mi na tatizo na Kapeace kwan yeye anasemaje?Mbona maelezo marefu sana una tatizo gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi na tatizo na Kapeace kwan yeye anasemaje?Mbona maelezo marefu sana una tatizo gani
Usije ukajichanganya boss, utaumiaHaaahaaa, hatari sanaa mkuu na hayakawii kukupa STI's na STD's
Huyu m-ukraine katia maguu kursk, acha tumuonyeshe kuwa sis ni super powerMrusi mwenzangu mbona una rusha makombora ya nuclear tena, au mshangazi amevamia Kursk?🤣
Oya Manigga njooni muone swala anapanua mdomo anataka kumtafuna tiger huku,,Uko na akili? Maana sichangamani na mafurushi
Na hapo hatujatumia hata order ya Cremlin.Huyu m-ukraine katia maguu kursk, acha tumuonyeshe kuwa sis ni super power
Kumbuka allsemaMungu kamuumba mwanaume ili atafute pesaa,……
Mungu kumuumba mwanamke ili atumie izo pesaa %%%%@#+
Hio nazani ni nyimbo ya za mafik inaitwaaa tumiaaa tumiaaa tumiaa zikozoeee
Ndio hata upande wa wanawake kuwa na circle kubwaaa ya wanaume sioo poaaaa lo
Uwe unasoma kwa kuelewa., sasa hao uliowataja unawafananisha na vijana wanaoshindia miogo na mo energy ili waonge mademu.Musk ana vimada zaidi ya 12, Bill Gate anao zaidi ndo maana ndoa ikavunjika, matajiri wengi wakubwa wana vimada zaidi ya kumi. Umasikini ndo unakufanya uwaze hivyo, pesa ya kuuza mchicha. Wewe pesa ulizonazo kwa mwingine ni pesa ya kikombe Cha chai tu. Hivyo umasikini wako usikufanye agenda kwa wengine.
Unaweza weee kuandika thread ambayo ipo balanced sio lazima kila kitu nifanye mimiNa kuna wanaokufuata blindly....wasione hauko emotionally balanced...
Masimp na undercover prostitutes wanaokoteza vipengere vya kutetea ujinga wao.Kumbuka allsema
1. Ikiwa ni mke wa ndoa.
2. Asiyefanya kazi asile ( hapa ni kila jinsia).
Ofcourse ilo ni suala ambalo haliepukiki, muhimu usiende juu ya uwezo wako"Don't do any financial stupidity to impress a woman"
Mimi ingekua bila genye na macho yang ya tamaa ningekua kimaendeleo mbali sana.
Nataman kuunga mkono hoja ila nikikumbuka siwezi kuishi bila kulomba nakosa ujasiri wa kuunga hoja mkono.
Hahaah kbsaa mkuu wape spana hao.Masimp na undercover prostitutes wanaokoteza vipengere vya kutetea ujinga wao.
Hoja zake hazina mashiko?Wanawake walikufanyaje?View attachment 3095572