Epuka kuwa na circle kubwa ya wanawake

Kamaanisha kuwa wadada wanaoomba hela mda mfupi baada ya kutongozwa, wawe wanaweka bei elekezi on the spot, kama ni laki 2 fresh natoa, anakuja gheto nampa hela yake, napiga mzigo, baada ya hapo kila mtu anaenda zake, win win Kapeace
Ni makubaliano yenu wala haihitaji kutupigia makelele
 
Natafuta Ajira leo tu asubuhi nimeombwa hela na demu sijawahi kumla wala kumtongoza, hela ndogo tu ila nimemkazia, na hii ni mara kama ya tatu hivi namkazia kisawa sawa, ila tatizo ulipata ukaribu na wife material ambaye haombagi hela kabisa mwaka wa pili huu, ukijaribu kurupia kamba umuoe kabisa kabisa cha ajabu anakuzungusha.
 

Mkuu huna uzi mbovu,nyuzi zako zote zinaninyenga kuwa imara mimi wengi wao wananishangaza, wana mizinga ya ajabu ila sasa hivi wanasema mimi bahili ila hata sijali na siwapi attenion yangu
 
Wanawake ni washenzi tu. Zamani nilikuwa nawashobokea ila tangu nimewajua sihangaiki, akijileta napiga natembea. Hivi inakuwaje mtu mmefahamiana tu hata hamjaonana, ashakupa list ya mahitaji ukikokotoa ishasoma laki. Hapo hamjakutana kunako 6 kwa 6. Mkikutana? Baada ya kukutana?
 
Mkikutana ndo utaelewa show sasa.ni mzinga inapigwa tu usipokaa sawa hata suruali ununui.

Chamuhimu kupunguza cost nunua malaya bao 1 elf 5.maana hata huyo unae mcare mwisho wa siku akupe K ukojoe sasa unateseka na nn.

NB:Wote wanauza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…