Haichukui muda, masaa mawili au matatu. Lakini pia wanaweza kuchukuwa baadhi ya “organs” na “fluids”, ili kuweza kufanya “a detailed laboratory examination”Najiuliza postmortem huchukua muda gani au inategemea na mwenendo wa uchunguzi wa kifo pamoja na viashiria vyake?
Pangekuwa na uchunguzi, naona wewe ungefaa kusaidia Polisi.
Hii nayo itapikwa kama kuna walilomfanyiaHapo sasa labda ripoti ya “postmortem” itawapatia picha kamili kujuwa chanzo cha kifo cha Engineer Mfugale.
Hujaelewa uzi, amekosa habari kamili ndio maana akasema hayo, alitulia ndio maana alienda kuuliza hospitali. Hata wewe apo watoto wako wakipigiwa tu simu na kutaarifiwa umefariki ni lazima wafuatilie mazingira ya mwisho ulikuwa na kina nani na umefariki vipi, na endapo watakosa majibu kwa wahusika ni lazima walalamikeHuyu mbona analeta sintofahamu pasipo sintofahamu (angetulia kwanza akapata habari kamili / akaelewa ) kabla ya kutoa maandishi
Wakitaka waue kila mtu wabaki wao na sumu zao
Wewe unasema wamuue mbowe na mimi nikakuuliza vipi wakianza na mamako? Kwenye suala la uhai wa mtu msiwe mnaleta masiharaHuyo mtu yuko wapi? Mimi nimemtaja mama ako hapo? Kijjambio kinakuwasha sio...?
angesuburi apate habari kamili.., hakuna uharaka wa kutoa statement (hata uliulizwa) unasema bado tunafuatilia (ufuatiliaji hauna mwisho) unless otherwise ushapata uhakika wa figisu (kama zipo)Hujaelewa uzi, amekosa habari kamili ndio maana akasema hayo, alitulia ndio maana alienda kuuliza hospitali. Hata wewe apo watoto wako wakipigiwa tu simu na kutaarifiwa umefariki ni lazima wafuatilie mazingira ya mwisho ulikuwa na kina nani na umefariki vipi, na endapo watakosa majibu kwa wahusika ni lazima walalamike
Una uhakika nimesema wamuue mbowe?Wewe unasema wamuue mbowe na mimi nikakuuliza vipi wakianza na mamako? Kwenye suala la uhai wa mtu msiwe mnaleta masihara
Ona mbweha ingine hii! Kajifunze kuandika kwanza. Hivi mnatokeaga mitaa ya Lumumba au chamwino?" wamwue na mbohe freman"
Unataka kupata nini jombaNitarudi kwenye huu uzi.naimani nitapata kitu baadae
Habari kamili. Kama ndugu watapata majibu ya maswali yaoUnataka kupata nini jomba
HAKUNA unachojua kuhusu post mortem hivyo nakushauri kaa kimya mara mojaHaichukui muda, masaa mawili au matatu. Lakini pia wanaweza kuchukuwa baadhi ya “organs” na “fluids”, ili kuweza kufanya “a detailed laboratory examination”
Lakini wanaweza kupata ripoti kamili baada ya mwezi au mwezi na nusu kutegemea na ufanisi wa Hospitali husika.
Aliwe mara ngapi? Tayari huyoUna uhakika nimesema wamuue mbowe?
Kuwa makini na hizo tuhuma unazonitwisha mkuu.. sijamtaja mbowe mimi..
Siku ingine utaliwa kimasihara .. oh! Hoo...
Shut the fu-ck up little bitch. I’m gonna put you where you belong. Piece of shit.HAKUNA unachojua kuhusu post mortem hivyo nakushauri kaa kimya mara moja
Isipokuwa kwa wanaCHADEMA- Malizia tu sentensi yako mkuu kwa maneno hayoPole mfiwa kifo kipo kinaishi
Hiki ni kitu gani mbwa wewe?" wamwue na mbohe freman"
Wote tutakufa. Hakuna namnaIna circle ya MWEMDAZAKE inazidi kupangukq,alianza Mkapa!
MaaamaeeePe tunsizile kivembo paucha tubita pono kugenda kwiwusa tupata hela lijibu. swela