mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,267
- 4,634
Kuna Ile ilimkosa MangulaYap sumu ileile iliyomuua yule muovu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Ile ilimkosa MangulaYap sumu ileile iliyomuua yule muovu
Hebu usinijazie nzi sshogga wewe! Pita hivi..[emoji117][emoji117]Hiki ni kitu gani mbwa wewe?
Kajjambe mbele kule faken..Ona mbweha ingine hii! Kajifunze kuandika kwanza. Hivi mnatokeaga mitaa ya Lumumba au chamwino?
Sasa Kama alifika amekufa, watajua vipi , na lazima ipatikane consent ya familia kufanya post mortem,Yaani hata hospitali kweli wameshindwa kueleza kafa kwa nini?
Mukagendage yono,pwali mwakisinini de pa kiponzero pala.Aaah ndala ailava wungi.Ainago amasoka
You need to be loose to accommodate me,Shut the fu-ck up little bitch. I’m gonna put you where you belong. Piece of shit.
Wafanye autopsy haraka sana.Madaktari hawawezi wakashindwa kubaini chanzo cha kifo hata kama alifika amefariki,taarifa za chanzo cha kifo chake kielezwe kwa familia na Taifa kwa ujumla.
Kazi ipoErasto Mfugale: Kusema kweli hatukuwa tumepata taarifa dhahiri hata imetokea nini kwasababu mimi Jumapili iliyopita nilikuwa kwake Temboni, nimekuwa na mazungumzo naye mpaka saa saba usiku lakini akaniambia kesho nina kikao kidogo kule Dodoma, kwahiyo nitatoka na ndege ya mchana. Nikamuaga nikasema naenda...
Sio bongo hapa! Imezoeleka na ndio ilivyo hakunaga hatua zunachukuliwa watu wakifanya madudu kwenye ofisi za umma.Kama imeibua madudu katika utendaji wako!! na hukutegemea! na hujuwi hatua zipi zitakufata!! lazima uzime!!Nawaza tuu
Si ndo hapo sasa,kweli hospital ya Benjamin Mkapa hawawezi baini chanzo cha kifo? au kuna maigizo hapa?Wafanye autopsy haraka sana.
Asije mtu kuzikwa halafu conspiracy theories zikaanza.
Hao ni wale ambao wamekubuhu! na wameshiriki vilivyo kutafuna keki! wanaopata mishtuko ni wale ambao wanabana halafu wenzao wanakula then jumba linaangukia kwake!!!Sio bongo hapa! Imezoeleka na ndio ilivyo hakunaga hatua zunachukuliwa watu wakifanya madudu kwenye ofisi za umma.
Mfano mdogo, Kigwangala hadi leo yupo hata baada ya report ya CAG kumshutumu kwa.matumizi mabaya ya fedha.
Ndo ripoti ya madaktari inasema hivyo? Phase 3 ni ugonjwa gani?Ugonjwa upo, phase 3 iko kazini.
TUTASIKIA MENGI[emoji3525]
Jana hapa,watu walikuwa wakishangiria akina Shelukindo kuachiwa wakati walikula ela za wananchi, Sasahivi majizi yote yaliyokuwa yamewekwa ndani yameachiwa kwa kasi, Sasahivi kama una ela yako hauguswi, maana utavuruga uchumi ambao unatengenezwa,labda kama ulikuwa timu Magufuri.Sio bongo hapa! Imezoeleka na ndio ilivyo hakunaga hatua zunachukuliwa watu wakifanya madudu kwenye ofisi za umma.
Mfano mdogo, Kigwangala hadi leo yupo hata baada ya report ya CAG kumshutumu kwa.matumizi mabaya ya fedha.