Erdogan asema Uturuki inaweza kuzuia ombi la Uswidi la uanachama wa NATO

Hayo mambo kuhusu wachecheni na jamii za asia ya kati zilizochukua dini ya kiislamu huwezi kuzijua kama hujui historia ya waazeri,tartar,wamongolia chini ya gengis khan na waliokuja baada yake na wale wamongoli waliovamia Baghdad wakati wa utawala wa makhalifa wa kiislamu!!!Ukitaka kujua jifunze uislamu ulienea vipi asia ya kati na jamii za kusini mwa russia ya leo!!!!!Huwezi kuwaita jamii za wafugaji wa Chechen wazungu kama kweli ni mwanahistoria na mtafiti
 
Kajifunze kwanza jinsi gani falme za ottoman empire zilikua zinawajaza raia wa asili ya kituruki kwenye makoloni yake kwa kipindi cha miaka 500 na ujifunze kuhusu migration waliofanya waturuki kutoka balkani states baada ya ottoman empire kuanguka sarajevo!!
 

Ukristo europe unakufa na ndio ukaona watu wanachomar Quran na wengine wanataka kuchoma biblia hii yote ni kuwa hawana kitu wanachokitegemea kwa future yao na ndio wakapoteza ethics na moral. Ndio ukaona wengiu wanatetea ushoga wengine wanaolewa na mbwa nk

Hali iko hivi
'Christianity as default is gone': the rise of a non-Christian Europe
 
Kaka hata siku moja ukristo hauwezi kufa ulaya ni kama kusema uislamu ufe mashariki ya kati na afrika kasikazini haiwezekani!!!Kuhusu mashoga wapo dunia nzima na wana watetezi dunia nzima sio ulaya pekee!!!Tembelea Amman,tembelea Baghdad,tembelea tokyo,tembelea tanga and ect.....Ndio utajua ushoga upo dunia nzima sio ulaya pekee!!!!Kuhusu source yako hayo ni maandishi ameandika mwandishi wa habari sisi tutaaminije mlengo wake kisiasa,kimtazamo na kijamii!!!Wasomi hatupokei hovyo sources of information,s lazima tuzichambue kaka
 

Inaelekea hujaisoma hiyo article yote , hiyo ni reseach ilifanywa soma vizuri kwa utulivu'

Christianity as default is gone': the rise of a non-Christian Europe
 
The figures are published in a report, Europe’s Young Adults and Religion, by Stephen Bullivant, a professor of theology and the sociology of religion at St Mary’s University in London.
 
Yeye ndiye ataondoka NATO wavaa kobazi vichwa ni Kwa ajili ya kubebea nywele na ndevu tu.
Watu weusi mna shida....ngozi nyeupe zinazozana wewe mlokole wa Sengerema unaumia. Unahisi una undugu wa kidini na hao wazungu
 
Watu weusi mna shida....ngozi nyeupe zinazozana wewe mlokole wa Sengerema unaumia. Unahisi una undugu wa kidini na hao wazungu
Nawe umeunizwa vipi na koment yangu Kama siyo shobo.. unataka nikupande siyo
 
The figures are published in a report, Europe’s Young Adults and Religion, by Stephen Bullivant, a professor of theology and the sociology of religion at St Mary’s University in London.
Sasa kaka unataka sisi tuamini maoni ya kazi ya Stephen Bullivant tena chuo chenyewe hapo St Mary,s university!!!!Kuna wasomi wangapi ulaya ambao kila mtu anaandika maoni yake kaka????Au wewe unaamini ndugu Steven ni malaika hakosei kaka au kua na maoni binafsi?????
 
Inaelekea hujaisoma hiyo article yote , hiyo ni reseach ilifanywa soma vizuri kwa utulivu'

Christianity as default is gone': the rise of a non-Christian Europe
Ukristo hauwezi kufa kaka!!!!!Ni sawa na kusema uislamu utakufa
Inaelekea hujaisoma hiyo article yote , hiyo ni reseach ilifanywa soma vizuri kwa utulivu'

Christianity as default is gone': the rise of a non-Christian Europe
ukirsto hauwezi kufa ulaya kaka ni sawa na kusema uislamu ufe mashariki ya kati kaka!!!!Haiwezekani
 
Yaan NATO kwa uturuli hawana cha kusmea koz ndo nchi inayouunganisha ulaya na mashariki ya kati so ana uwezo wa kufnya hivo by the way wazungu bana wachokoz sna kwa nn uchome Quran for what...
... niliamni wazungu wako civilized lakin bado wapo kwenye zama za zman
 

Hiyo report utaikuta kwenye magazeti mengi ya UK , si lazima uamini wewe Kama ni uongo wasingaliichapisha. ukienda nchi Za Scandinavian wanasema labda kanisani waanze kutoa bia Za bure ndio watapata watu , makanisa yanauzwa , waumini hakuna . Ukienda UK hali ni hiyo hiyo.

Soma hili gazeti la Newsweek la US

Christianity a Dying Religion for Europe's Millennials
 
Pamoja na hayo hayo ukristo hauwezi kufa bara ulaya!!!!Ukristo sio kwenda kanisani upo ndani ya mioyo ya wahusika!!!
 
Magazeti ni propaganda yapo kwa ajili ya kuuza nakala!!!Hizo nchi za Scandinavian si ndio zinaongoza kwa kua na walokole kaka!!!!Ukristo hauwezi kufa bara ulaya!!!Ni sawa na kusema eti uislamu utakufa dubai au Doha kisa watu hawaendi misikitini na kila siku ni bata batani!!!
 
Wangekuwa wanaweza kumtoa uturuki wangeshamtoa zamaniiiii sababu uturuki haburuzwi yy ana misimamo ya nchi yake kiuchumi kama sasa hv nato wenzake wanamuwekea vikwazo russia yy ndio anaanza ujenzi wa bomba la gesi,tatizo mnaichukulia turkey easy
Uturuki ashajibiwa zaman na Biden kwamba hawashi wala kuzima, ni suala la muda tu kumalisha hayo maombo kwa hizo nchi zitakajiounga Nato., na kuna wakati Uturuki ana mchuma chuma Urusi kujua siri zake halafu aziwasilishe makao makuu Washington., Mturuki katika hii vita US wanamtumilia sana na Putin haamki kujua hili jambo
 
We d

We dini ya babu yako iko wapi?
Tunayo kilingeni KARIGWA karibu kijana tukupike upikike mizimu ya babu zako inakusubiri kwa hamu!!!!!Wewe ni muafirika usikatae asili yako kwa kutukuza lugha na dini za kigeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…