Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Absolutely, wajinga huwa wanaona anayeswemwa ni marehemu kumbe tunataka hawa wengine waliobaki wajifunze na wajirekebishe wafanye vizuri kadri ya uwezo waoInawezekana yule anayenuna na kujiuliza maswali potoshi kuhusu marehemu kusemwa ndiye kantyentye zaidi.Lengo huwa ni kuakisi aliyoyafanya na matokeo yake kwa mtu mmojammoja au jamii yote.Hii husaidia waliobaki kuujua ukweli,kujirekebisha,kujutia,kuacha uovu na kuiacha jamii ikiwa salama.Fundisho hutolewa.Aliyekufa na anaweza kusikia na kujibu ni Yesu tu.
Mmewageuka watu wenu? Mbona humsemi Luguvi, napi na maropes? Au kwa kuwa wako kwa mama? In fact wote ni wale wale walikuwepo enzi za Baba na sasa wapo kwa MamaKama nyuma ya Kabendera kuna watu halafu wanajificha kiasi hicho, basi watu hao lazima awep Kabudi, Bashiru, Siro na Diwani, Madilu na yule aliyekuwa main-wofa
Hawa jamaa hawataki kulisikia hiliLakini kuua ni dhambi pia.
Huo ni uongo wa mchanaView attachment 3192824
Katika kitabu chake cha In the Name of the President, Ndugu Eric Kabendera ameonyesha kuwa Hayati Magufuli alifariki kwa COVID-19.
Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Magufuli masharti ya watalaam wa afya kutaka watu kujikinga na maambukizi kama kuvaa barakoa yalikuwa hayazingatiwi hasa katika maeneo ya umma.
Kimya cha serikali ya Tanzania kiliendelea kuzua wasiwasi hasa miongoni mwa wananchi, watalaam wa afya na wanaharakati wa haki za binadamu, ambao walizuiwa kuzungumzia maambukizi hayo hasa kupitia mitandao ya kijamii.
Waliochanjwa hawakufa?Inaonesha alivyokuwa mzembe,mjuaji,mzushi na asyejua chochote kuhusu ueneaji/uambukizaji wa magonjwa kitaalamu.Mwishowe akawasababishia vifo wengine na yeye akatoroka aibu hiyo kwa kuamua kujifia.
Acha uongo, unadhani bila chanjo covid 19 iliondokaje? WaTanzania sijui akili zetu zipoje kila kitu ujuaji bila factsChanjo ya covid haijawahi kuzuia covid wala kuokoa maisha ya mtu hata wazungu walioileta wenyewe wameikataa na wanawashtaki wenye makampuni ya chanjo.
Kwa hiyo alikufa na nini, au bado yupo kajifiicha?Huo ni uongo wa mchana
Hivi mkuu mnaokejeli chanjo mlitaka serikali ifanyeje au dunia ifanyeje? Mimi mzee wangu aliungua Covid 19 akaponea ICU ikabidi baada ya hapo achukue chanjo na akawa sawa hadi leo.Hivi covid iliendaga wapi? Na chanjo zipo? Mie nilikuwa nimemsubiri kwa hamu waziri wa afya anilazimishe kuchoma sindano!! Ningempa za uso nakwambia!! Covid was man made to eradicate poor people like Africans .God is great!! It backfired!!
Yeah ukilinganisha waliochanjwa na wasiochanjwa utagundua vifo vingi ni kwa wasiochanjwa kaangalie CDC kule takwimu zote zipo. Tupunguze ujuaji waTanzania leo chanjo mbaya ila ARV, chanjo ya homa ya ini, chanjo ya manjano na chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi mbona tunatumia?Waliochanjwa hawakufa?
Waliomuua bado wapoKwa hiyo alikufa na nini, au bado yupo kajifiicha?
Ukisoma kitabu chake kuna maeneo akili inakakataa, inakuwa kama ametumwa na watu fulani kwa maslahi yao.Huyo mwandish ni punguani anatumika na wanasiasa mafisadi
Ndio maana nikasema kila mtu aamini anachoamini mi nasikiliza inner me.Beleifs doesnt mean facts or evidence
Mamaako alifariki kwa ugonjwa gani?View attachment 3192824
Katika kitabu chake cha In the Name of the President, Ndugu Eric Kabendera ameonyesha kuwa Hayati Magufuli alifariki kwa COVID-19.
Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Magufuli masharti ya watalaam wa afya kutaka watu kujikinga na maambukizi kama kuvaa barakoa yalikuwa hayazingatiwi hasa katika maeneo ya umma.
Kimya cha serikali ya Tanzania kiliendelea kuzua wasiwasi hasa miongoni mwa wananchi, watalaam wa afya na wanaharakati wa haki za binadamu, ambao walizuiwa kuzungumzia maambukizi hayo hasa kupitia mitandao ya kijamii.
Facts zipi, covid iliondoka kwenda wapi? Tanzania ina watu 60+, waliochanja kwa mujibu takwimu za serikali hawazidi milioni 10, wengine 50 hawakuchanja, ama hao tu ndio walikua na covid?Acha uongo, unadhani bila chanjo covid 19 iliondokaje? WaTanzania sijui akili zetu zipoje kila kitu ujuaji bila facts
Sio hilo tu lililosemwa, ilisemwa pia kuwa Magufuli pamoja na baadhi ya viongozi walichanja chanjo kisiri ambazo zilitoka China.Hii ilisemwa sana na sio habari mpya.
Pamoja na kwamba alichanja ila bado akafa na corona?Yule Mzee alikuwa tahira.
Askofu mmoja aliwahi kusema hadharani kuwa dingi ilimuua COVID 19
Watu wetu tulio wageuka ni wakuna nani? Sisi na wao tunaunganishwa na kipi?Mmewageuka watu wenu? Mbona humsemi Luguvi, napi na maropes? Au kwa kuwa wako kwa mama? In fact wote ni wale wale walikuwepo enzi za Baba na sasa wapo kwa Mama
Kama kifo ni mpango wa Mungu kwa nini huwa mnakwenda hospitalini? Kuhangaika kuokoa akina mama wajawazito wasifariki wakati wa kujifungua au kupambania vichanga vizaliwe salama huwa ina faida gani kama kweli kufa ni mpango wa Mungu?KILA MTU ATAKUFA AWE MBAYA KIASI AU MZURI KIASI GANI, KIFO N MPANGO WA MUNGU