TANZIA ERICK ADAMU (Nezo B-Msanii wa Bongo Fleva) Auawa kisa kudaiwa pesa ya umeme (LUKU)

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nan alimchoma beto?
 
MALEZI NA MAKUZI
Kule kaskazini wameandaliwa na kulelewa kimabavu zaidi,
wamelelewa kama wanaume, jinsia ya kike ila tabia na haiba zote ni wanaume.
Ndio maana wahenga wanasema" ukitaka kuwa na ndoa ngumu sana.. asiee nenda kaoe kule"
Yesu na maria
 
Hii sio kisa luku, kuna jambo lipo nyuma yake, ila luku ni kipitio tyuuh.
RIP Nezo B
 
Wanawake wa Arusha ni makatili sana lakini wanawake kutoka meru(Wameru) ndo wakatili zaidi...... Unaambiwa
Ukimwona mmeru na nyoka,.... Unatakiwa umuue mmeru mwache nyoka aende.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shemeji zangu wa huku kaskazini wababe sana , R.I.P Erick
 
Utakua unaugua Kifaduro ya akili sio makosa yako, hio list A hadi Rais wako umem-include tabia mbaya kabisa
 
Huyo mwanaume alikuwa amelala au maana mpaka kisu kinachoma kwenye moyo alimstukiza ama πŸ™‡πŸΌβ€β™€οΈ
 
Huyo mwanaume alikuwa amelala au maana mpaka kisu kinachoma kwenye moyo alimstukiza ama πŸ™‡πŸΌβ€β™€οΈ
Kuna wanawake wanapiga karate, judo, taikwando, na vingine km kickbox
 
Utakua unaugua Kifaduro ya akili sio makosa yako, hio list A hadi Rais wako umem-include tabia mbaya kabisa
Braza kubwa mm sina upendeleo mi mwenyewe natoka list ya mikoa ya kidwanzi kwetu arumeru kuna mawehu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…