Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa siku chache ama masaa machache?Hilo deni linalipwa na miamala ya mpesa ya dar, Arusha na mwanza kwa siku chache mno
Inawahusu wenye hisa kwenye VodacomHaya wateja wa voda deni lenu Hilo mtalipa kupitia Gb zenu
Cc chalii wa ara Deeboyfrexh Chaliifrancisco Alexander The GreatIf the intrusion into Mr Kabendera's privacy was not sanctioned by the High Court, then VodaCom will have a run for their money.
What an interesting Ordeal.
What do you always imply by quoting me under this fellaz comments?
Oyaa dogo naona unatema yai tuIf the intrusion into Mr Kabendera's privacy was not sanctioned by the High Court, then VodaCom will have a run for their money.
What an interesting Ordeal.
Dogo Semenya wa ukaldayo hupo hupo tu wakati mbusii wanasombwa na mafuriko huko.What do you always imply by quoting me under this fellaz comments?
He's articulate though. I admire him.
Mkuu hiyo nikiikamata yani nawaajiri madem wakaliii wakiafrika mabantu figure waliojaziajazia wakinihudumia. Nakuwa nao tu kwenye yatch deep in the high seas. Wananilisha zabibu kwa kunidondoshea mdomoni huku nimelala chalii. Ambapo nitatumia nguvu tu nikunya, kugegeda na kula.Duh pesa ndefu sana hiii
Hao kwenye hisa huwa wanatoa kwa watejaInawahusu wenye hisa kwenye Vodacom
Kwa kampuni kama voda hiyo ni pesa ya manunuzi ya vocha za siku7 tu nchi nzimaDuh pesa ndefu sana hiii
Voda ana kadiriwa kua na wateja 19M nchi nzimaDuh pesa ndefu sana hiii
Kesi hii iko very genuine indeed. Personally, I have a worse similar experience like this with Tigo service provider. Naona wa-Tanzania wengi ambao wanatoa maoni hawajui bayana namna jinsi makampuni ya mitandao ya simu inavyoshirikiana na 'Wadhalimu' ktk kuwafanyia watu mashamhulizi ya kimtandao Kama haya. Kimsingi Hali siyo shwari kabisa kwenye masuala Kama haya.Mwandishi wa Habari, ERICK KABENDERA ameitaka Kampuni ya Simu ya VODACOM TANZANIA kumlipa USD 1,000,000 MILIONI ndani ya SIKU 14 kwa Kufanikisha kutekwa kwake mwaka 2019.
Amefanya hivyo kupitia kwa WAKILI wake Peter Madeleka.
View attachment 2974231
Mkuu Kabendera nadhani namba yangu ya simu bado unayo , nicheki , niko tayari kusaidia huo mchakato bure kabisa , tukishughulikia hawa hata hao wengine watakataa kutumikaMwandishi wa Habari, ERICK KABENDERA ameitaka Kampuni ya Simu ya VODACOM TANZANIA kumlipa USD 1,000,000 MILIONI ndani ya SIKU 14 kwa Kufanikisha kutekwa kwake mwaka 2019.
Amefanya hivyo kupitia kwa WAKILI wake Peter Madeleka.
View attachment 2974231
Mbona wakina Ay Walikipwa na Tigo pesa ndefu sana, inawezekana, shida mmewekeza sana kwenye uoga na kuona kila kitu sio haki yenu. nchi imejaaa wajingaAkiipata aniite [emoji240]