Erick Kabendera atoa maoni yake kwa Tume ya Haki Jinai, Adai Mahakimu wa Mahakama wanaiogopa ofisi ya DPP

Ww unalala na mbowe .mobwe alikutwa na kesi ya kujibu aliyemfungulia mashtaka sio kichaa ujue
 
LABDA KAMA RAIS Atakaye kuja Awe MAGUFULI kwani ktk watanzania Mil.61 Hakuna mtanzania anayefanana na Magufuli kwa Roho Mbaya
Do magufulia wa watu wala hakuwa na shida na huyo mbowe kama unavyodai samia ndo aliyemfungulia na alisema kwenye chombo cha kimataifa kuwa mbowe ni gaid huelewi tu mangi
 
Tatizo upeo wako ni mdogo sana, na dhamira yako imekufa.

DPP huondoa kesi pale anapokuwa amejiridhisha hana ushahidi wa kumtia mtuhumiwa hatiani au anapoona hakuna maslahi yoyote hata kama kesi hiyo ikiendelea.
Kwa mujibu wa mahakama mbowe alikutwa na kesi ya kujibu
 
Porojo tu kila kitu kikitokea atasingiziwa marehem hata mke wako akikosa period utasingizia marehem ndo alichoro hiyo ramani
 
Yani wewe ulikuwa unajua kuwa hiyo kesi ya Mbowe ni ya Mchongo tu ila Rais Samia hakuwa akijua na akawa anadanganywa hadi baadaye ndio akaja kujua ukweli? Ni dharau kwa Rais Samia hicho ulichokieleza au pengine unajaribu tu kumtetea.
Mbowe ameikeza sana kwa hawa mazezeta wake hata alipoanguka akiwa amelewa chakari bado kuna chawa walimtetea kuwa amevamiwa
 

Kesi ya Mbowe ilikuwa mfano mzuri. DPP alimpelekesha jaji, mpaka akawa anakubaliana na mambo ya kijinga.
 

Kwa ushahidi gani? Hata wangefungua Mara kumi ule ushahidi wa kupikwa Hakuna kitu pale.
 
Cdm huwa ni watu wajuaji na wenye dharau balaa kumbe ni amna kitu kichwani
 

Kesi ilianza kipindi Cha Magufuli , Samiah aliingizwa Chaka tu. Kesi gani ile Kama sio ujinga.
 

Jinai gani, Nani alifanyiwa ugaidi na Mbowe? Kuna shaidi yeyote alikija mahakamani kudai alifanyiwa ugaidi?. Acheni kushabikia vitu vya kijinga.
 
Hivi lile li Jaji linaitwaje la Mbowe? Yako mawili, moja lilianza na kutokomea ghafla na lingine likamalizia. Linaitwaje vile

Yale majaji majinga kweli, yanafanya maamuzi kwa kumuogopa DPP. Unasema Kuna kesi ya kujibu wakati, Hakuna aliyedhuriwa na ugaidi Wala ushahidi wa njama za kutenda ugaidi. Majaji hopeless.
 
Kwamba Mbowe alikata magogo misitu ya huko Morogoro na kuyasombelea magogo na kuyapanga barabarani ili mabasi na magari mengine yasipite. Hahahahaa aisee hatareee sana.
 

Acha upotoshaji, mbona watu wengi wameachiwa mahakamani kwa nolle prosequi?. Hata wengine hawajulikani. Ile kesi ilikuwa haina kichwa Wala miguu na mashahidi wa kutengeneza. Unamshtaki mtu kwa ugaidi halafu hakuna shahidi wa kuthibitisha huo ugaidi?.

Kesi ya kijinga kweli, Kuna siku au Ni lini ugaidi umefanyika Tanzania? Acheni kushabikia ujinga kisa uchama.
 
Kabendera bana! eti sirudi mpaka nihakikishiwe usalama wa kutosha....kwa impact gani alokua nayo kwa taifa labda asiporudi kuna mambo hayataenda?

Aendelee tu kubeba mabox huko alipo.
 
Kumbe kwa kifupi hata Mbowe ni mnufaika wa huruma ya DPP

Hakuna Cha huruma ni matumizi mabaya ya madaraka kukomoa watu. Nolle prosequi kwenye kesi ya Mbowe imetolewa muda mbaya. Nolle Prosequi haiwezi kutolewa wakati mahakama imeshakubali Kuna kesi ya kujibu.
 
Porojo tu kila kitu kikitokea atasingiziwa marehem hata mke wako akikosa period utasingizia marehem ndo alichoro hiyo ramani

Ukweli lazima usemwe, Magufuli alikuwa Shetani. Kesi gani ya vile kumkomoa mwanadamu mwenzako. Seema yeye adhabu yake ilikuwa kubwa akafutwa kwenye uso wa Dunia.
 
Mbowe ameikeza sana kwa hawa mazezeta wake hata alipoanguka akiwa amelewa chakari bado kuna chawa walimtetea kuwa amevamiwa

Ukiwa kipofu huwezi kuona dhuruma kwa wenzako, ila siku yakikutokea ndipo utauujua ukweli. Wewe endelea kuiabudu CCM na kuona wengine sio Raia was nchi hi na hawastahili kulalamika. Alikuwepo Ndugai katesa wapinzani bungeni, lakini muda wake ulipofika alifukuzwa kwa aibu uspika.
 
H
Kabendera bana! eti sirudi mpaka nihakikishiwe usalama wa kutosha....kwa impact gani alokua nayo kwa taifa labda asiporudi kuna mambo hayataenda?

Aendelee tu kubeba mabox huko alipo.

Abaki huko, huko. Huku sio pa kuja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…