Sikujua bado kuna watu wamekimbia nchi! Haka katakuwa ka project sasa! Mwendazake si amesepa kama Lema anavyosema?
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
..Magufuli kufa imeleta ahueni.
..tatizo ni watu wa task force waliokuwa watekelezaji wa amri za Magufuli.
..Je, task force walikuwa kina nani?
..Je, serikali iko tayari kuwachukulia hatua?
..Je, task force wanalindwa na serikali ya awamu ya 6?