Erick Kabendera atoa maoni yake kwa Tume ya Haki Jinai, Adai Mahakimu wa Mahakama wanaiogopa ofisi ya DPP

Erick Kabendera atoa maoni yake kwa Tume ya Haki Jinai, Adai Mahakimu wa Mahakama wanaiogopa ofisi ya DPP

Nimekwambia wewe shida ni elimu ndogo. DPP anaweza kuondoa kesi kama akiona ushahidi alionao hautoshi, kisha akakurudisha mahakamani hapo hapo kwa kesi hiyo hiyo na ushahidi mpya.

Ama akaiondoa mahakamani kwa sababu zake tu binafsi hata kama ushahidi upo wa kutosha. Hii haimzuii akijisikia tena kukurudisha mahakamani kwa mashtaka hayo hayo.

Ama akaiondoa mahakamani kwa kukuonya usirudie hilo kosa kama mashehe wa uamsho. Kwamba ukirudia kufanya makosa kama hayo ama yanayofanana na hayo atakurusisha mahakamani, hii inaitwa Nolle Prosequi.

Jitahidi kujielimisha zaidi ili uwe na uwezo wa kujadiliana ukiwa na uelewa wa kutosha.
Ona ulivyo mpumbavu anayethibitisha kosa ni DPP au ni mahakama? Unapobwabwaja upumbavu wako usifikiri kila mtu ni mpumbavu kama wewe
 
Acha utaahira wewe dada!

Samia wakati huo mchoro unachorwa alikuwa wapi na alikuwa na cheo gani?

Si alikuwa makamu rais?

Asali imewapofusha mmekuwa mazuzu kabisa!

Subirini 2025 ccm iwapelekee moto ndio akili zitawakaa sawa
Hivi mkuu akiamua lake makamu ana ubavu wa kumzuia? Acha uzwazwa
 
Kabendera? Yule Mhutu anayetuhumuwa kuua Watusi milioni 3 genocide? Au ukoo huo huo kakimbilia kwetu? Si alikuwa anasafisha hela za kigeni halipi kodi zinatumika kuwalipa wapinzani? Si zilianikwa na CRDB account zake na mkewe?
Ni mahakama ipi ilimtia hatiani Kwa hayo uliyoyaandika hapa?
 
Wewe siyo mwerevu, haya mambo ni makubwa kuliko uwezo wa ubongo wako. Mashtaka ya Mbowe yana husiana na matukio yaliyotokea kati ya April 2020 na November 2020.

Na ukumbuke mara baada ya uchaguzi Mbowe hakuwapo nchini hadi Magufuli alipokufa ndiyo alirudi. Alikuwa anamkimbia Magufuli ambaye alitaka kumpoteza uhai kabisa
Matokeo yake akapotea yeye
 
Ww unalala na mbowe .mobwe alikutwa na kesi ya kujibu aliyemfungulia mashtaka sio kichaa ujue

Kukutwa na kesi ya kujibu sio kukutwa na hatia,ukijitetea ndiyo mahakama inapima.
Ktk rekodi za Mbowe hamna mahali ita onyesha kawahi kutwa na hatia ya ugaidi.

Briefly,unaweza tuambia tuhuma za ugaidi za Mbowe ilikuaje?Huo ni ugaidi au ni tuhuma za ‘kutaka’ kufanya ugaidi?
 
Point ni kwamba Magufuli hakuwa akikwepa lawama kwenye uongozi wake na kusingiziwa washauri.

Kwa kiburi kile cha madaraka washauri wake ni wale waliokuwa wanafuata atakavyo, na sio itakiwavyo. Ongea utakacho lakini habari ndio hiyo.
 
Nyie ndio wale shuleni mnakua mnauza karanga ama bagia.

Double Jeopardy inazuiliwa kama mahakama imekuachia huru ama imekutia hatiani hivyo huwezi kushitakiwa kwa makosa yale yale ambayo ulishitakiwa nayo mwanzo na hukumu ikatolewa.

Sasa Mbowe hukumu ilitolewa na mahakama? Kama jibu ni ndio naomba nakala ya hukumu. Kama sio basi DPP siku yoyote anaweza kumrudisha Mbowe mahakamani kwa mashtaka yale yale maana alieondoa kesi ni DPP.

Bush lawyer hata unakariri tu maneno bila kujua maana yake.

Kwa kuwa mahakama zetu zinaendeshwa kwa utashi wa wanasiasa hilo linaweza kutokea. Kama ushahidi wa jamuhuri ulikuwa ni ule na bado mahakama ikawa inapoteza muda usemacho ni sahihi. Kwa mahakama huru na ushahidi ule, ilitakiwa mashahidi wa serekali wote wawe ndani kwa kutunga kesi ile ya kishenzi.
 
Mbowe angekomaa amalize kesi yake mahakamani ili awe huru.

Hii ya DPP kujiondoa kwamba hana nia, DPP mwingine akiingia na rais mwingine Mbowe anafunguliwa mashataka upya.

Mbowe ametumia the easy way out ila kesi yake ya ugaidi iko pale pale.

Mlio karibu Mbowe mashaurini apambane hadi mahakama impe clearance otherwise DPP mwingine ana Rais mwingine wakiingia na wakataka kufufua kesi mbowe atarudishwa rumande kwa ugaidi.
Kwa ushahid mbovu kama ile
Labda watunge nyingine mpya
 
Kabenderavamefichua mbele ya Tume hiyo kwamba , kumbe siku zote Mahakimu huwaogopa waendesha mashitaka kiasi cha kudhulumu haki za Watuhumiwa , yaani hata kama mtuhumiwa ni dhahiri anaonewa hata akiwa Mahakamani , Mh Hakimu hawezi kumsaidia kwa vile anawaogopa waendesha mashitaka
Ndiyo sisi hao kila jambo tunafanya kinyume, nchi za wenzetu mtuhumiwa ndiye boss kwakuwa bila watuhumiwa kuwepo hao wote hawana ajira
 
Nyie ndio wale shuleni mnakua mnauza karanga ama bagia.

Double Jeopardy inazuiliwa kama mahakama imekuachia huru ama imekutia hatiani hivyo huwezi kushitakiwa kwa makosa yale yale ambayo ulishitakiwa nayo mwanzo na hukumu ikatolewa.

Sasa Mbowe hukumu ilitolewa na mahakama? Kama jibu ni ndio naomba nakala ya hukumu. Kama sio basi DPP siku yoyote anaweza kumrudisha Mbowe mahakamani kwa mashtaka yale yale maana alieondoa kesi ni DPP.

Bush lawyer hata unakariri tu maneno bila kujua maana yake.
Tena ya mbowe ni rahisi sana andiko ya mwisho kwenye faili lasema:

... ACCUSED HAVE CASE TO ANSWER, CASE FOR MENTION FOR THEM TO BEGIN THEIR DEFENCE ....

.... ndipo Mama akaona huruma.

Akija DPP mwingine ni kupanga tarehe tu utetezi uanze, itaanzia Rau madukani walipokamatiwa wakinywa mbege kuelekea kumuua ole Sabaya.
 
Labda kiaz afufuke
Na akifufuka hatokaa
Arudie huu ujinga tena
IMG_20230320_225617.jpg
 
Kwa kiburi kile cha madaraka washauri wake ni wale waliokuwa wanafuata atakavyo, na sio itakiwavyo. Ongea utakacho lakini habari ndio hiyo.
Yule aliyekuwa anafuata atakavyo mliona anakosea kutosikiliza washauri na huyu anayefuata washauri naye washauri wanampotosha, sasa bora nani yule aliyeacha kuwasikiliza waahauri wapotoshaji au huyu anayewafuata washauri wenye kumpotosha?
 
Yule aliyekuwa anafuata atakavyo mliona anakosea kutosikiliza washauri na huyu anayefuata washauri naye washauri wanampotosha, sasa bora nani yule aliyeacha kuwasikiliza waahauri wapotoshaji au huyu anayewafuata washauri wenye kumpotosha?

Unajua hoja ni nini hapa au umeshapotea baada ya mjadala kwa mrefu? Maana huwa nakujua ni bingwa wa kupoteza focus mjadala ukiwa mrefu?
 
Nyie ndio wale shuleni mnakua mnauza karanga ama bagia.

Double Jeopardy inazuiliwa kama mahakama imekuachia huru ama imekutia hatiani hivyo huwezi kushitakiwa kwa makosa yale yale ambayo ulishitakiwa nayo mwanzo na hukumu ikatolewa.

Sasa Mbowe hukumu ilitolewa na mahakama? Kama jibu ni ndio naomba nakala ya hukumu. Kama sio basi DPP siku yoyote anaweza kumrudisha Mbowe mahakamani kwa mashtaka yale yale maana alieondoa kesi ni DPP.

Bush lawyer hata unakariri tu maneno bila kujua maana yake.
Haya
 
Unajua hoja ni nini hapa au umeshapotea baada ya mjadala kwa mrefu? Maana huwa nakujua ni bingwa wa kupoteza focus mjadala ukiwa mrefu?
Hoja ni kwamba Magufuli alibeba lawama za makosa ya serikali yake tofauti na sasa Samia anabeba sifa kwa yale mazuri ila kwenye makosa lawama wanabebeshwa washauri wake na yeye anabi kuwa hana la kulaumiwa.
 
Hoja ni kwamba Magufuli alibeba lawama za makosa ya serikali yake tofauti na sasa Samia anabeba sifa kwa yale mazuri ila kwenye makosa lawama wanabebeshwa washauri wake na yeye anabi kuwa hana la kulaumiwa.

"Mimi sishauriwi, na ukinishauri ndio umeharibu" Maneno hayo alitamka Magufuli au Samia? Kila kitu kiko humo.
 
"Mimi sishauriwi, na ukinishauri ndio umeharibu" Maneno hayo alitamka Magufuli au Samia? Kila kitu kiko humo.
Sasa lini yeye Samia aliwahi kukiri kuwa ana shauriwa vibaya hadi nyie muone kuwa tatizo ni washauri wake na si yeye?
 
Kwani Magufuli ndio alimfungulia kesi Mbowe? Huyo aliemfungilia kesi sio kichaa?

Mtambue kua jinai haifi isipokua uko cleared na mahakama.

Mbowe akaona achague njia rahisi kuuza haki zake chini ya mwamvuli wa makubaliano. Akiingia DPP na rais mwingine Mbowe anarudi jela.

Hapa ishu ni jinai, sio rais.
Jinai hufikishwa mahakamani pale kunapokuwa na nia ya kushitaki (intention prosecute).
Hali hiyo hufanya wahalifu waweze kuwashitaki raia wema wasio na hatia , kutegemea nani mwenye madaraka kwa huo (wahalifu au wenye haki).
 
Back
Top Bottom