Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Hili wewe umelijuaje? Au ulikuwepo Ikulu ?....kama hukuwepo kwanini ubishe alichokiandika Kabendera?
 
Mwandishi kwa makusudi kabisa ameamua kutumia picha ambayo ilikua ni siku Magufuli anawasilisha silaha zake kufanyiwa ukaguzi kwa maelekezo ya RC wa Dar.

Ambaye alitaka kila mkazi wa Dar apelekw silaha zake kufanyiwa ukaguzi. Ndipo ikapatikana hiyo picha. Watakaoona hicho kitabu na hawajui juu ya hilo wakisoma hicho kipande cha "he always carried a gun" kuna mtazamo wataupata.
 
Kabendera anahitaji msaada wa kitaalamu (psychological intervention).

Tatizo ni kumpoteza mama yake, akiwa jela wakati yeye ndio alikuwa bread winner.

Ni hivi unapochagua life style (a career) or risk lazima ujue na madhara yake pia.

Huwezi kuwa unaandika nakala za kuichafua nchi yako, unauza kwa mabeberu huo ni uhaini kwa lengo la kupata pesa. Nchi zenyewe za third world, uwe tayari kuishi na madhira yake ukibainika.

Hili ni tatizo kubwa sana kwa watanzania, kutokuelewa kuna consequences in life; yaani watanzania wanachukulia vitu poa.
 
Ben saanane yuko wapi
 
Ikulu siyo miliki yake
Anaweza kutumia Kwa mauji
Jiwe alikuwa fala, me naamini alitenda hilo fala yule
 
Yaani wewe unaamini Jiwe alikuwa hatembea na mguu wa kuku kiunoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…