Usichore mstari mkuu hata kipindi ya yule wa chato . That snart person he was outsmarted. Wahuni walivurugana wao kwa wao. Haya mengine huwa nje ya control ya binadamu.Hata ikitokea jiwe harudi tena ikulu wala machawa wake hatutakaa tuwarudishe ikulu.
Under mkwere's tactical and technical skills don't expect any sukuma gang to step in state house again.
Akina Biswalo?
Mama Janet anaujua ukatili wa mmewe. Magufuli alikuwa anamtembezea mboko Mama J. Yule mama ni mvumilivu anatakiwa kupewa taji ya ndoa kumvumilia mtu controversial kama John.Mama janet akiyasikia haya huko alipo sijui anajisikiaje
Yaani jiwe alikuwa anatandika fimbo kabisa 😆Mama Janet anaujua ukatili wa mmewe. Magufuli alikuwa anamtembezea mboko Mama J. Yule mama ni mvumilivu anatakiwa kupewa taji ya ndoa kumvumilia mtu controversial kama John.
Ndiyo. Na alikuwa anazaa watoto nje anamletea Janet alee. Katili yule jamaa acha kabisa.Yaani jiwe alikuwa anatandika fimbo kabisa 😆
Shida ya Mama ni kutoonesha matumaini ya kumaliza matatizo ya kimfumo yaliyopo. Hata Hayati Jpm alifanya kosa kama hilo. Laiti kama angeweka mifumo ya kisheria na kikatiba imara angeongoza kwa urahisi sana. Na yeyw alitaka kutumia udhaifu uliopo kukandamiza wanyonge wake.Pengine alijua ila sio kushiriki..Lisu mwenyewe anakiri kwamba hajawahi pata kashfa yeyote kumhusu Rais Samia.
Sasa kwann alirudiNdiyo. Na alikuwa anazaa watoto nje anamletea Janet alee. Katili yule jamaa acha kabisa.
Anachotaka ni kupewa haki yake kwa kurudishiwa fedha alizohongea uhurukama ametolewa ashukuru Mungu na abaki kimya kila utawalakuna wanaoumia na utawala husika
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !Ile kambale ilikua ni muuaji
Utawala wa kimafia ....View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
====
Aliyoandika Kabendera
Wale mliouza mali zenu kupata pesa za kuhonga kusaidia plea bargain zenu zikubaliwe mjitokeze kutoa ushahidi. Wafanyabiashara mliopelekwa ofisi maarufu ya serikali, mkatishwa kwa mitutu ya bunduki wakati Mwendazake akiangalia kupitia CCTV, mkalazimishwa kutoa pesa mjitokeze.
Kuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.
Tuhuma dhidi ya Mwendazake kuanzisha na kuendesha genge la kihalifu nje ya mfumo wa serikali na kutoa maelekezo kwa genge hili kuwaua viongozi wa vyama vya upinzani, CCM na viongozi wakuu wastaafu ambao wangekuwa kikwazo kwake kutawala milele zichunguzwe pia.
Si mara ya kwanza zoezi kama hili kufanyika; Rais Mwinyi aliunda tume ya kupitia upya kesi zote ya uhujumu uchumi alizoziendesha Sokoine baada ya kuingia madarakani na kuna watu walirudishiwa mali zao.
Binafsi nimeombwa kuwasilisha maelezo ya maandishi kwa mamlaka husika kuhusu vitisho alivyovitoa Ndugu Biswalo dhidi yangu mara kwa mara baada kuachiwa huru na nimefanya hivyo.
Naye angalibinywa korodanii .... alohoji kuhusu nakala ya andiko la PhD hadi leo hajulikani alipo sembuse kuandika taarifa ka hiziungesema angali akiwa hai,
Mamlaka ya Rais akipewa KICHAA anaweza kuua mtu yeyote bila sababu kama alivyomuua Ben Saanane au alivyoamurisha Tundu Lissu apigwe risasi. Magufuli alikuwa ni SHETANI ndani ya mwili wa mwanadamuungesema angali akiwa hai,
Acha kupaka familia za watu matope,.....jiheshimuMama Janet anaujua ukatili wa mmewe. Magufuli alikuwa anamtembezea mboko Mama J. Yule mama ni mvumilivu anatakiwa kupewa taji ya ndoa kumvumilia mtu controversial kama John.
Mbona kama umepanic ndugu. Au na wewe unahusika?He kabendera bcoz of this kwa Baba ni soon mashuhuda tunzeni memory ya hio tweet. Huwezi kuivua nguo state ukidhani unamvua Magufuli. It's unacceptable.
Now who is safe kule TIS waanze kusema tulikuwa tunatumwa?.
Mbona Samia alikuwa Makamu Rais, uwajibikaji wa pamoja uko wapi?
Vibwengo kama akina kabendera sio wa kuwachekea.
Mijitu ambayo akili ziko tumboni inawaza mchele, na maharage tu. Unalalamika bei ya Petrol wakati gari huna hata baiskeli huna. Sisi wenye magari mbona twaingia na kununua peteoli kama Kawaida.?Naona watu wamelizika Tozo, Mchele 3,000, Maharage 3,400, Petrol 2,890, kwangu Mimi Bora Magufuli. Barabara zote ni yeye, miundo mbinu yote ni yeye. Rais Magufuli ni Rais Bora kwa watanzania. Wezi ndio wanamlalamikia.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Siyo matope ni kweli. Yule mama amewahi kubebeshwa kichwani makarai kuhamisha mchanga nyumbani kwake upatao Lori Zima.Acha kupaka familia za watu matope,.....jiheshimu
Ukauzu unafaa kwa kutumia akili..Wewe unamuona wa hovyo lakini mambo kibao watu wameingia mamikataba hata hatuelewi yakoje ww gas ya mtwara hatujui hata inafaida gani na mambo mengi ni bora tu angewafinya wote wangese...China unayoiona Mao alifanya unyama wa hali ya juu ndo unaiona china leo inakimbiza dunia sometime ukauzu unafaa kutengeneza taifa bora.