Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

Hata ikitokea jiwe harudi tena ikulu wala machawa wake hatutakaa tuwarudishe ikulu.

Under mkwere's tactical and technical skills don't expect any sukuma gang to step in state house again.
Usichore mstari mkuu hata kipindi ya yule wa chato . That snart person he was outsmarted. Wahuni walivurugana wao kwa wao. Haya mengine huwa nje ya control ya binadamu.

Mimi naaminibkatija sheria na kuwajibika aliye madarakani na njr ya madaraka ikiwa anatumia ofisi vibaya. Naamini katika kufilisi mali za viongozi walijinufaisha aidha wako hai au wanekufa ili mradi tu ithibitike kuwa walitenda kosa
 
Pengine alijua ila sio kushiriki..Lisu mwenyewe anakiri kwamba hajawahi pata kashfa yeyote kumhusu Rais Samia.
Shida ya Mama ni kutoonesha matumaini ya kumaliza matatizo ya kimfumo yaliyopo. Hata Hayati Jpm alifanya kosa kama hilo. Laiti kama angeweka mifumo ya kisheria na kikatiba imara angeongoza kwa urahisi sana. Na yeyw alitaka kutumia udhaifu uliopo kukandamiza wanyonge wake.

Hii ni opportumity murua Rais Samia anaweza kuitumia kama Mkuu wa Nchi kurekebisha haya mambo.
 
View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana

====
Aliyoandika Kabendera

Wale mliouza mali zenu kupata pesa za kuhonga kusaidia plea bargain zenu zikubaliwe mjitokeze kutoa ushahidi. Wafanyabiashara mliopelekwa ofisi maarufu ya serikali, mkatishwa kwa mitutu ya bunduki wakati Mwendazake akiangalia kupitia CCTV, mkalazimishwa kutoa pesa mjitokeze.

Kuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.

Tuhuma dhidi ya Mwendazake kuanzisha na kuendesha genge la kihalifu nje ya mfumo wa serikali na kutoa maelekezo kwa genge hili kuwaua viongozi wa vyama vya upinzani, CCM na viongozi wakuu wastaafu ambao wangekuwa kikwazo kwake kutawala milele zichunguzwe pia.

Si mara ya kwanza zoezi kama hili kufanyika; Rais Mwinyi aliunda tume ya kupitia upya kesi zote ya uhujumu uchumi alizoziendesha Sokoine baada ya kuingia madarakani na kuna watu walirudishiwa mali zao.

Binafsi nimeombwa kuwasilisha maelezo ya maandishi kwa mamlaka husika kuhusu vitisho alivyovitoa Ndugu Biswalo dhidi yangu mara kwa mara baada kuachiwa huru na nimefanya hivyo.
Utawala wa kimafia ....
 
Naona watu wamelizika Tozo, Mchele 3,000, Maharage 3,400, Petrol 2,890, kwangu Mimi Bora Magufuli. Barabara zote ni yeye, miundo mbinu yote ni yeye. Rais Magufuli ni Rais Bora kwa watanzania. Wezi ndio wanamlalamikia.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mama Janet anaujua ukatili wa mmewe. Magufuli alikuwa anamtembezea mboko Mama J. Yule mama ni mvumilivu anatakiwa kupewa taji ya ndoa kumvumilia mtu controversial kama John.
Acha kupaka familia za watu matope,.....jiheshimu
 
He kabendera bcoz of this kwa Baba ni soon mashuhuda tunzeni memory ya hio tweet. Huwezi kuivua nguo state ukidhani unamvua Magufuli. It's unacceptable.

Now who is safe kule TIS waanze kusema tulikuwa tunatumwa?.

Mbona Samia alikuwa Makamu Rais, uwajibikaji wa pamoja uko wapi?

Vibwengo kama akina kabendera sio wa kuwachekea.
Mbona kama umepanic ndugu. Au na wewe unahusika?
 
Naona watu wamelizika Tozo, Mchele 3,000, Maharage 3,400, Petrol 2,890, kwangu Mimi Bora Magufuli. Barabara zote ni yeye, miundo mbinu yote ni yeye. Rais Magufuli ni Rais Bora kwa watanzania. Wezi ndio wanamlalamikia.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mijitu ambayo akili ziko tumboni inawaza mchele, na maharage tu. Unalalamika bei ya Petrol wakati gari huna hata baiskeli huna. Sisi wenye magari mbona twaingia na kununua peteoli kama Kawaida.?

Unasema bora Magufuli wakati umesahau kuwa yeye alikuta bei ya Kilo ya sukari ni Tshs 1,800/- lakini kwa upumbavu wake akavuruga mfumo ikapanda hadi Tsh 3,000/- Afadhali ya Magufuli iko wapi hapo?
 
Wewe unamuona wa hovyo lakini mambo kibao watu wameingia mamikataba hata hatuelewi yakoje ww gas ya mtwara hatujui hata inafaida gani na mambo mengi ni bora tu angewafinya wote wangese...China unayoiona Mao alifanya unyama wa hali ya juu ndo unaiona china leo inakimbiza dunia sometime ukauzu unafaa kutengeneza taifa bora.
Ukauzu unafaa kwa kutumia akili..
Unafikiri Kagame sio kauzu?
Kagame anatumia akili.. Anabalance ukauzu na uchumi wa nchi..

Huwezi kuwa Rais kisha ukachezea uchumi wa nchi kwa kubambika kesi nyingi zisizo na dhamana kisha kuchukua hela kwa nguvu kutoka kwa raia wako.
Unatuma watu waje wachukue hela kwenye beural.. Unavamia bank account za watu.. Kisha unasema mimi Mzalendo..

Nenda pale ofisi za DPP kanda ya Dar.. Mafail yalijaa kesi za kutunga ili kutunisha mfuko wa Jiwe na DPP mwenyewe
 
Back
Top Bottom