Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

Jipe Moyo na Misemo HEWA
✓ Kauli hizo ni halisi ktk ulimwengu usionekana kwa macho ya damu na nyama, yaani (invisible world) na zinazaa matokeo katika ulimwengu huu unaouona kwa macho...

✓ Ukitaka kuthibitisha hili, basi, wewe fanya ujinga wako wowote wa kutenda baya lolote dhidi ya binadamu mwenzako, kwa mfano;

1. Muue nduguyo ukidhani huonekani au;

2. Tembea kingono na mke/mume wa jirani yako ukidhani umejificha, au

3. Fanya ujinga na upumbavu mwingine wowote..

## Nakuhakikishia jambo moja, kwamba, utapaswa kusubiri payback cheque ya uovu wako aidha ukiwa hai au hata kama utakuwa umeshakufa kama mwendazake kwa sababu imeandikwa hivi ndugu All truth23, "What goes around, it always comes back where it was before...!"
Sina hakika kama umenielewa mpaka hapo..

✓ Kwa sababu, kwa ufahamu na uelewa huu ulionesha kupitia kauli yako hii, it's obvious kuwa, wewe ndiye "hewa" ndani ya kichwa chako. Hata hivyo, nakuombea Mungu aliyekuumba akusaidie kukupa ufahamu mpya...!!
 
Wewe fanya yako na wao waachie yao. Kama ni umbea wewe unausoma wanini?
 
We Mzee ni mnafiki ,wewe ndio ulikuwa unaongoza wenzako kumpamba huyo mhutu humu , ilifikia kipindi mpaka ukiandika kitu kumkosoa magufuli na genge lake ,unspigwa ban na moderators , yaani kulikuwa kuna mapimbi humu sijui ndio walipewa umederators ,ukiwapa facts na kuwaumbua mods uchwara WA humu walikuwa wanakupa ban na Nina wataja hapa chini hao mapimbi wote na machawa
Countrywide Pascal Mayalla faiza foxy Stroke johnthebaptist Mudawote cocochanel Laki Si Pesa Ritz @YEHODAYA TumainiEl tena hili lijamaa lilitoa kitisho cha Ben Saanane kuuawa na ukawa kweli akatekwa na kuuawa na genge la mwendakuzimu, hawa vibwengo ndio ninaowakumbuka mazombie wengine watakuwa walishafuta hata accounts humu Ila wapo wengi
 
Alikuwa jizi ama majizi mengine akijificha kwenye kichaka cha nyie wanyonge
 

Na ndio lililomuondoa Ben Saanane baada ya kuweka wazi Phd Feki ya "MTU FURANI" JikonoJandama.
 
Ila kumbuka Jiwe alitoka hadharani na kusema yeye hashauriki, sasa hapo utamlaumu Samia au Pm?
 
Kabendera kaandika uongo

Katiba ya nchi inamlinda Raisi akiondoka madarakani hairuhusiwi kumkata wala kumshtaki kwa lolote alilotenda akiwa Raisi

Analindwa na katiba

Kabendera yuko sifuri kichwani kuhusu katiba
Jiwe alikuwa anafata katiba/Sheria?
 
Magufuli nikiongozi bora kuwahi kutokea kwenye Taifa hili.yaani hata mumchafue vipi amewakuna kunako takiwa kwani kumkamata kiongozi wa mafisadi nizambi
Kweli Jiwe alipendwa na watu wajinga wajinga, sasa wewe hata kuandika tu hujui na wewe ndiye mfuasi wake a.k.a mnyonge wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…