Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana

====
Aliyoandika Kabendera

Wale mliouza mali zenu kupata pesa za kuhonga kusaidia plea bargain zenu zikubaliwe mjitokeze kutoa ushahidi. Wafanyabiashara mliopelekwa ofisi maarufu ya serikali, mkatishwa kwa mitutu ya bunduki wakati Mwendazake akiangalia kupitia CCTV, mkalazimishwa kutoa pesa mjitokeze.

Kuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.

Tuhuma dhidi ya Mwendazake kuanzisha na kuendesha genge la kihalifu nje ya mfumo wa serikali na kutoa maelekezo kwa genge hili kuwaua viongozi wa vyama vya upinzani, CCM na viongozi wakuu wastaafu ambao wangekuwa kikwazo kwake kutawala milele zichunguzwe pia.

Si mara ya kwanza zoezi kama hili kufanyika; Rais Mwinyi aliunda tume ya kupitia upya kesi zote ya uhujumu uchumi alizoziendesha Sokoine baada ya kuingia madarakani na kuna watu walirudishiwa mali zao.

Binafsi nimeombwa kuwasilisha maelezo ya maandishi kwa mamlaka husika kuhusu vitisho alivyovitoa Ndugu Biswalo dhidi yangu mara kwa mara baada kuachiwa huru na nimefanya hivyo.
I just ask my self what If u keep silence? And let it go? Well umesema sasa na unaye mtuhumu ni marehemu what u expect? Vijana mihemko, pesa za faster na umaarufu itatutesa sana. Well je kwa sheria ghani maana mnaenda ku bip kwenye mzinga wa nyuki na nyuki ni wakali oh God. Unasema kikosi maalumu cha Rais je wajuwa hicho kikosi kinaundwa na watu gani kutoka taasisi gani? Je unajuwa is the same idara same people wanapeleka files kwa mama sasa? Well haya
 
Kwa hiyo nchi hii ni ya Kikwete?Kikwete mwenyewe wa hovyo hovyo.Anawaza kupiga picha na LIANA.Mungu atafanya maajabu tutapata mtu Kama JPM soon.Wahuni na vilaza wote tutawateketeza
Labda MUNGU awe dead ndio litokee JIWE jingine
 
Mmeamua kupigana na kaburi hata hivyo litawapiga chini!! Ni aibu kumwandama marehemu!!
Aibu kivipi? Hatumsomi HITLER! Benito musolin,bokasa, magufuli?
Jiuaji lile lililojifanya msema kweli kipenzi cha mungu?
JAMAN TUIMBENI MAPAMBIO MUNGU WA MBINGUNI AMEJITUKUZA TANZANIA 17 MACHI 2021
 
Naona marehemu amekamiwa Sana ha ha aaaaa vijana tuna hasira haha haaa ...
Sijawahi kuona marehemu akipigwa mawe hivi...
Huyu marehemu alijigeuza MUNGU ndio kosa lake?
Mjinga yule alitembea mpaka na ndugu za mkewe...
 
Politics of blabla maana waswahili wanaasema mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
 
Unasema kikosi maalumu cha Rais je wajuwa hicho kikosi kinaundwa na watu gani kutoka taasisi gani? Je unajuwa is the same idara same people wanapeleka files kwa mama sasa? Well haya
Acha uoga. Maandishi yako yamejaa uwoga wa kufa mtu.

Kwa uwoga wako huu namtisha nani Sasa?
 
Mtoa uzi acha unafiki.

Sijajua lengo lako ni nn,ulikuwa wapi kutoa hiz shutuma kama una ushahidi wa kutosha.
May be na ww ndo ulikuwa mmojawapo mliozibiwa mirija ya wizi?Nyie ndo kwa sasa mna kula asali ya nchi kirahisi

Tutaamini vp.acha kutuaminisha propaganda..

Kwa sasa mnatakiwa kufidia tu maumivu mlioyo ya pata ndan ya 4yrs.
 
Sexless ni mwananchi wa kawaida tu lakini ninakuahidi mwisho wako utakuwa wa mbaya sana.
Kwa kipi? Mama hataki mambo ya kuua, kuteka na kupora. Hiyo tabia alikufa nayo jiwe. Endelea kuakriri.
 
Duh!

Ndio maana alisema kuna wastaafu wanawashwawashwa.

Huyu Bwana alikuwa ni mtu hatari sana!

Ukiangalia ile picha aliyokuwa amepiga magoti akiomba kura kwenye kampeni za 2020, unaweza hata kumuonea huruma na ukapata picha kuwa ni mtu mpole na humble, kumbe ni kinyume chake kabisa!

Niliwahi sema humu na leo narudia: Mwendazake alikuwa na kipaji kikubwa sana cha uigizaji, sema tu hakuingia kwenye hiyo sanaa ange-fit zaidi huko.
Tulishuhudia "shetani katika kiwiliwili cha binaadam".

Huyo hakuwa binaadam wa kawaida.

Mbowe ashukuru sana, wakati huu angekuwa katika hali tofauti kabisa.
 
Mihujumu,mibinafsi, mijizi, mifisadi michumia tumbo. Tuipige Vita Kama hili.
 
He kabendera bcoz of this kwa Baba ni soon mashuhuda tunzeni memory ya hio tweet. Huwezi kuivua nguo state ukidhani unamvua Magufuli. It's unacceptable.

Now who is safe kule TIS waanze kusema tulikuwa tunatumwa?.

Mbona Samia alikuwa Makamu Rais, uwajibikaji wa pamoja uko wapi?

Vibwengo kama akina kabendera sio wa kuwachekea.

Umesoma vizuri ukaelewa?Unapoambiwa aliunga genge nje ya mfumo
 
Back
Top Bottom