Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

Umesoma vizuri ukaelewa?Unapoambiwa aliunga genge nje ya mfumo
kwa hio mnatakaje haya sasa nendeni chato mkachimbue kaburi, acheni undeni kivuli kinawatoa knockout. tafuteni pesa hamna pesa mnabwata, pambana tafuteni pesa. wanaowatuma wana pesa kama sisi, acheni kubwata, kubweka na kubwaka.
 
Ficha upumbavu wako wewe. Yule fedhuli tutamsema tu. Unadhani Kabendera kakurupuka kupost? Kama ulimsikiliza JK kwenye birthday yake utaelewa hata yeye alikuwa anakerwa na udhalimu wa mwendakuzimu hasa kwenye kutaka kubadilisha katiba kihuni.
Mpumbavu hawezi kuuficha upumbavu wake kwa sababu umeenea mwili mzima.
 
Let the truth be told... for the prevailing leaders to note!!
 
Duh!

Ndio maana alisema kuna wastaafu wanawashwawashwa.

Huyu Bwana alikuwa ni mtu hatari sana!

Ukiangalia ile picha aliyokuwa amepiga magoti akiomba kura kwenye kampeni za 2020, unaweza hata kumuonea huruma na ukapata picha kuwa ni mtu mpole na humble, kumbe ni kinyume chake kabisa!

Niliwahi sema humu na leo narudia: Mwendazake alikuwa na kipaji kikubwa sana cha uigizaji, sema tu hakuingia kwenye hiyo sanaa ange-fit zaidi huko.
Dah.. sijui ilikuwaje Tz ikaongozwa na huyu mwehu..!!
 
Sawaa sisi sio watoto wadogo

Hatuhitaji propaganda

Let ushaidi

Wewe hizo midolaa uliokuwa unapewa na mabeberu za kazi ganii.

Tuanze hapo tujibu ,sema zilikuwa za nini ,kwanini wakupe wewe.
Maana ushaidi upo

Ulikiri makosa na ukalipa uliufutiwe kesiii

Povu Ruksa tutoe ushaidi
Na wewe lete ushahidi kuwa alipewa midola na mabeberu
 
Sasa hayupo na hawezi chunguzwa, Saa 100 mwenyewe lazima alishiriki mambo yanayosemwa mfano ununuzi wa ndege nk

Haina maana kwa sasa,na viongozi wa sasa ni kama mwendazake tu ndio maana waliimba ccm ni ile ile
Washirika wake wapo waliokuwa wakitumiwa km ni kweli lkn
 
Katiba inamlinda Rais asishtakiwe kwa yale ya utendaji kikazi tu.

Ukiua ati wewe Rais, utawajibika by natural justice.

Agano ka Kale, msingi wa sheria unasema Ukiua kwa upanga, utauwawa kwa upanga, na hili limesimama toka ustaarabu wa binadamu uanze.
 
Mwendakuzimu kaua mpaka sekta ya ujenzi , makampuni mengi ya ukandarasi na uhandisi WA masuala ya ujenzi zilikufa kibudu na hizo chache zilizobaki zinachechemea mpaka leo ,ule upuuz wake WA force account
Alikuwa anajidai ansijua Forse Account, kumbe kichea kitupu kabisa.

Sekta ya Ujenzi ndio ilimbeba kupata urais, alipoupata aliwateketeza mandarasi na nakumbuka kampuni zaidi ya 2,600 zilikufa.

Na hizi kampuni ni za makandarasi tu, zipo zile za Architects, Quantity Surveyors na hata Engineering consultancy zilizofunga kazi.

Asante Maguguli kwa ujuaji.
 
Ficha upumbavu wako wewe. Yule fedhuli tutamsema tu. Unadhani Kabendera kakurupuka kupost? Kama ulimsikiliza JK kwenye birthday yake utaelewa hata yeye alikuwa anakerwa na udhalimu wa mwendakuzimu hasa kwenye kutaka kubadilisha katiba kihuni.

Tusishambuliane bali tushambulie hoja. Acha tuupe muda nafasi utanielewa ninachomaanisha.
 
Toa upumbav hapa ,huyo Rais na wajinga wenzake si kaajiliwa na wananchi ? ,wanakula na kuishi Kwa Kodi za wananchi ,hii Tabia ya kijinga Sana kuwaona hao vibwengo kama miungu watu ni dalili ya upungufu WA akili timamu .Sasa kama walikuwa hawataki kusemwa wala kukosolewa hivyo vyeo waligombea vya nini ? ,wengine mpaka wanaenda kulala Kwa waganga wa kienyeji na kutembea nao ili wapate hivyo vyeo vya kisiasa .

Tusishambuliane, bali tushambulie hoja. Pia tathmini namna yako ya kushughulika na changamoto. Kabendera aendelee kutii mamlaka. Kwa sababu urais si mtu, bali ni taasisi. Ambayo ipo wakati wote.
 
I just ask my self what If u keep silence? And let it go? Well umesema sasa na unaye mtuhumu ni marehemu what u expect? Vijana mihemko, pesa za faster na umaarufu itatutesa sana. Well je kwa sheria ghani maana mnaenda ku bip kwenye mzinga wa nyuki na nyuki ni wakali oh God. Unasema kikosi maalumu cha Rais je wajuwa hicho kikosi kinaundwa na watu gani kutoka taasisi gani? Je unajuwa is the same idara same people wanapeleka files kwa mama sasa? Well haya
Mkuu lazima uelewe kuwa sheria mama, regardless of your power, inasema ukiua kwa upanga, utakufa kwa upanga.

Katiba or no katiba, hiyo nikutoka hata enxi za Agano la Kale.

Ndioyo mama Samia anatazamwa na jicho la heshima na Watanzania kwa kusimamia haki ya kila mwananchi.
 
Back
Top Bottom