Utasubiri sanaTeam Msoga wameanza propaganda, haya mashambulizi dhidi ya JPM yatakuja kuipasua CCM 2030.
SAMIA for presidence 2030
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasubiri sanaTeam Msoga wameanza propaganda, haya mashambulizi dhidi ya JPM yatakuja kuipasua CCM 2030.
Lilikuwa la hovyo mno.View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
Huu uzi uliletwa na kuondolewa haraka ! Tumshukuru Allah kwamba umerejeshwa .View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
Kaka,naheshimu sana maono yako, ila mimi binafsi sioni sababu ya kumsema sana jiwe sasa,kashalala na alitubu dhambi zake, tujenge nchi yetu,yeye hasikii haya wanayomsema,bura Lissu alimpa za uso akiwa mzimqWakati wa zamani Plea bargain ilifungwa? Sa100 bado ni rais bora kwa kumlinganisha na Jpm
Alikuwa muuaji mtu yule. Angeniua.ungesema angali akiwa hai,
Kwanza nitake radhi kaka,mimi sio mnyonge,pili, mimi sijawahi kusoma shule ya serikali wala wanangu hawatosoma huko, tatu,hakuna mtu anakataa kulipa kodi ila tatizo hizi tozo zinqturudishq nyuma sisiMnyonge hutaki kulipa kodi ila Unataka serikali ikulipie ada wanao?
Mzilankende Muyango..Mzilankende Apumzike Tu Amelala Mauti
Kama ndivo hivo basi sawa kakaAliacha watu wake. Hapa anayesemwa sio yeyetena.Bali aliowaacha wajirekebisha wasirudie mambo yale ni mabaya sana kwa nchi
Kabendera mnafiki sana, watu waovu ndio wamepata pumzi za kumshambulia JPM.View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
Acha jiwe apigwe mawe kwa ufedhuli na uhuni aliyoufanyaNI kweli marehemu alikuwa na michezo ya kihuni.
Ila kwa Sasa haya unayofanya bwana kabendera hayana maana.
Yupo zake chato anajigeuza geuza.
Na kule alipo Hana smartphone
Ili wamuuwe?ungesema angali akiwa hai,
Sawaa sisi sio watoto wadogo
Hatuhitaji propaganda
Let ushaidi
Wewe hizo midolaa uliokuwa unapewa na mabeberu za kazi ganii.
Tuanze hapo tujibu ,sema zilikuwa za nini ,kwanini wakupe wewe.
Maana ushaidi upo
Ulikiri makosa na ukalipa uliufutiwe kesiii
Povu Ruksa tutoe ushaidi
View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
Twende Chato tukafukue lile kaburi
Hata yeye moto ulikuwa unamuwakia! Ule WOKOVU ulimfikia mpaka yeye!Mama janet akiyasikia haya huko alipo sijui anajisikiaje
Ulitumia Mb kwa raha kupitia vpn?gwa nyokoNamaanisha, yeye,saa10 ,katelephone na huyu makamu mpaka piko ni kitu kimoja, sioni sababu mtu kusema zama zile zilikuwa za giza wakati hadi sasa kero tu
Tena bora wakati wa jiwe hakukuwa na tozo na tulitumia mbs kwa raha, hawa wa sasa ni hovyo tu ,hivo basi ,hoja yangu ni kwamba tutafute namna ya kuitoa CCM
Magufuli hachafuliwi kwa njia hiii
Na bado mtateseka sana