Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

Sawaa sisi sio watoto wadogo

Hatuhitaji propaganda

Let ushaidi

Wewe hizo midolaa uliokuwa unapewa na mabeberu za kazi ganii.

Tuanze hapo tujibu ,sema zilikuwa za nini ,kwanini wakupe wewe.
Maana ushaidi upo

Ulikiri makosa na ukalipa uliufutiwe kesiii

Povu Ruksa tutoe ushaidi

Yeye anaona ule ukuwadi aliyokuwa akiwafanyia mabeberu, akiendelea nao hato shughulikiwa.
 
He kabendera bcoz of this kwa Baba ni soon mashuhuda tunzeni memory ya hio tweet. Huwezi kuivua nguo state ukidhani unamvua Magufuli. It's unacceptable.

Now who is safe kule TIS waanze kusema tulikuwa tunatumwa?.

Mbona Samia alikuwa Makamu Rais, uwajibikaji wa pamoja uko wapi?

Vibwengo kama akina kabendera sio wa kuwachekea.
 
Kwanza nitake radhi kaka,mimi sio mnyonge,pili, mimi sijawahi kusoma shule ya serikali wala wanangu hawatosoma huko, tatu,hakuna mtu anakataa kulipa kodi ila tatizo hizi tozo zinqturudishq nyuma sisi

Huenda wewe una pesa ila mimi tozo kwangu ni gharama sana,juzi nilikuwa sehemu wakati nalipa bill nilikatwa 3000 ,hiyo ni lipa namba ya Halotel,na bidhaa niliyolipia ina thamani ya 15000
Lipa kodi, lipa tozo nchi iendelee..unataka hela zishuke mbinguni?
 
NI kweli marehemu alikuwa na michezo ya kihuni.
Ila kwa Sasa haya unayofanya bwana kabendera hayana maana.
Yupo zake chato anajigeuza geuza.
Na kule alipo Hana smartphone
Yana maana sana hata sasa...

Amekufa kiongozi wa genge, lakini allies wake na aliokuwa anawatuma kuua watu wapo. Hawa ni lazima wawajibike kwa matendo na makosa yao...

Hata kama waliopo hawatashughulikia uovu huu, nakuhakikishia hata kama ni miaka 50 ijayo, watakuja viongozi wengine wa nchi hii na watashughulika na uovu wa toka 1961 hadi sasa...

Yaani wahusika lazima waje kuwajibika na kulipia uovu wao na waliotendewa uovu huo wapate haki zao...!!

Ndiyo maana ya kauli hizi;

HAKI ya mtu huwa haipotei bali hucheleshwa tu. Na; Hakuna uovu usiokuwa na malipizo (mshahara) wake...!
 
Mkuu una Manisha Nini wewe!!?
Namaanisha wote tutakufa Kwa kuwazulia wafu, kuwasengenya wafu, kuwatusi wafu, tuombe ushuhuda. Kama yeye alizikwa basi hata wengine pia watazikwa vilevile.

Tunamshukuru Mungu, Magufuli aliteketeza dhahma ya ugaidi wa kibiti rufiji na mkuranga. Angalau kwa hili nitamkumbuka daima.

Mungu fundi hutwaa Kwa wakati atakao yeye.
 
He kabendera bcoz of this kwa Baba ni soon mashuhuda tunzeni memory ya hio tweet. Huwezi kuivua nguo state ukidhani unamvua Magufuli. It's unacceptable.

Now who is safe kule TIS waanze kusema tulikuwa tunatumwa?.

Mbona Samia alikuwa Makamu Rais, uwajibikaji wa pamoja uko wapi?

Vibwengo kama akina kabendera sio wa kuwachekea.
Unataka atekwe auawe kisa kamvua nguo mungu wenu wa Chato?
 
Nachojua Mimi wengi walioguswa walistahili hivyo na zaidi, ndomana tunaelekea mwaka wa pili sasa na wako kimya kama vile hakuna kilichowakuta.

Na hao watakuwa wanahusika moja kwa moja kumuondoa yule mzee kwa sababu mambo yao yangewekwa wazi ingekuwa ni aibu kubwa.
 
He kabendera bcoz of this kwa Baba ni soon mashuhuda tunzeni memory ya hio tweet. Huwezi kuivua nguo state ukidhani unamvua Magufuli. It's unacceptable.

Now who is safe kule TIS waanze kusema tulikuwa tunatumwa?.

Mbona Samia alikuwa Makamu Rais, uwajibikaji wa pamoja uko wapi?

Vibwengo kama akina kabendera sio wa kuwachekea.
Yaani unataka jiwe afichiwe ujinga wake ? Usimtishe Kabendera mburura wewe. Jiwe ndiyo kagarazwa na legacy imezamishwa kaburini kabisa
 
Back
Top Bottom