Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawaa sisi sio watoto wadogo
Hatuhitaji propaganda
Let ushaidi
Wewe hizo midolaa uliokuwa unapewa na mabeberu za kazi ganii.
Tuanze hapo tujibu ,sema zilikuwa za nini ,kwanini wakupe wewe.
Maana ushaidi upo
Ulikiri makosa na ukalipa uliufutiwe kesiii
Povu Ruksa tutoe ushaidi
Shida ni kwamba HAYUPOAcha jiwe apigwe mawe kwa ufedhuli na uhuni aliyoufanya
Mkuu una Manisha Nini wewe!!?Nusu bendera itatokea kabla ya uchaguzi 2025 Mungu fundi sana. Tusaze maneno, time will tell.
Lipa kodi, lipa tozo nchi iendelee..unataka hela zishuke mbinguni?Kwanza nitake radhi kaka,mimi sio mnyonge,pili, mimi sijawahi kusoma shule ya serikali wala wanangu hawatosoma huko, tatu,hakuna mtu anakataa kulipa kodi ila tatizo hizi tozo zinqturudishq nyuma sisi
Huenda wewe una pesa ila mimi tozo kwangu ni gharama sana,juzi nilikuwa sehemu wakati nalipa bill nilikatwa 3000 ,hiyo ni lipa namba ya Halotel,na bidhaa niliyolipia ina thamani ya 15000
Yana maana sana hata sasa...NI kweli marehemu alikuwa na michezo ya kihuni.
Ila kwa Sasa haya unayofanya bwana kabendera hayana maana.
Yupo zake chato anajigeuza geuza.
Na kule alipo Hana smartphone
Namaanisha wote tutakufa Kwa kuwazulia wafu, kuwasengenya wafu, kuwatusi wafu, tuombe ushuhuda. Kama yeye alizikwa basi hata wengine pia watazikwa vilevile.Mkuu una Manisha Nini wewe!!?
Mwendazake(mama Eric) alizaa mtt wa ovyo sanaungesema angali akiwa hai,
Ulitaka ayaseme lini? Ulitaka ayaseme mapema ili auawe?Upuuzi mtupu..
Kumchonganisha mtu ambaye hayupo duniani na walio hai, siku zote alikuwa wapi mwaka na ushee umepita.
Unataka atekwe auawe kisa kamvua nguo mungu wenu wa Chato?He kabendera bcoz of this kwa Baba ni soon mashuhuda tunzeni memory ya hio tweet. Huwezi kuivua nguo state ukidhani unamvua Magufuli. It's unacceptable.
Now who is safe kule TIS waanze kusema tulikuwa tunatumwa?.
Mbona Samia alikuwa Makamu Rais, uwajibikaji wa pamoja uko wapi?
Vibwengo kama akina kabendera sio wa kuwachekea.
Hata ikitokea jiwe harudi tena ikulu wala machawa wake hatutakaa tuwarudishe ikulu.Nusu bendera itatokea kabla ya uchaguzi 2025 Mungu fundi sana. Tusaze maneno, time will tell.
Thubutu...angepotezwa kama ameingizwa kwenye pipa la tindi kali.... don't u knw the guy? Kuna ukuu wa Mungu umepita kwenye hii nchi ni vile tu hatuoni kwa macho ya Roho!!!ungesema angali akiwa hai,
Alivyokuwa hai ili ajibu mtuhumiwa, uoga wake wakutosema kipindi mtuhumiwa yupo hai kama umbea au udaku.Ulitaka ayaseme lini? Ulitaka ayaseme mapema ili auawe?
Yaani unataka jiwe afichiwe ujinga wake ? Usimtishe Kabendera mburura wewe. Jiwe ndiyo kagarazwa na legacy imezamishwa kaburini kabisaHe kabendera bcoz of this kwa Baba ni soon mashuhuda tunzeni memory ya hio tweet. Huwezi kuivua nguo state ukidhani unamvua Magufuli. It's unacceptable.
Now who is safe kule TIS waanze kusema tulikuwa tunatumwa?.
Mbona Samia alikuwa Makamu Rais, uwajibikaji wa pamoja uko wapi?
Vibwengo kama akina kabendera sio wa kuwachekea.
Simu yenyewe unatumia Infinix bwege kabisa