😅😅we jamaaUlitumia Mb kwa raha kupitia vpn?gwa nyoko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅we jamaaUlitumia Mb kwa raha kupitia vpn?gwa nyoko
Aibu hii sio Magufuli ni ya state nimetoa onyo. Mkitaka msifieni lakini kunajisi state hapanaUnataka atekwe auawe kisa kamvua nguo mungu wenu wa Chato?
Huo uhuru wako wa maoni nauheshemu. Kila jambo lina miiko yake.Hata ikitokea jiwe harudi tena ikulu wala machawa wake hatutakaa tuwarudishe ikulu.
Under mkwere's tactical and technical skills don't expect any sukuma gang to step in state house again.
Ulitaka apigwe risasi? Nani aliweza fungua mdomo wake kipindi kile cha giza?ungesema angali akiwa hai,
Haya ndio maneno sasa.Ya nini haya!!?
"Rasimu ya warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya!
Uwe mpole wewe kajwaga tu kama kajwaga, maisha ni kanuni, huwezi kuinajisi state ukachekewa. It's ur endeeleni kujifariji.Yaani unataka jiwe afichiwe ujinga wake ? Usimtishe Kabendera mburura wewe. Jiwe ndiyo kagarazwa na legacy imezamishwa kaburini kabisa
ungesema angali akiwa hai,
😅😅we jamaaMwendazake(mama Eric) alizaa mtt wa ovyo sana
Mimi sishauriki kabisa, ukinishauri ndiyo unaharibu kabisa, sasa hapo makamu na pm wangefanyaje ili hali mpaka mashangazi wa pm walitaka kupigwaNamaanisha, yeye,saa10 ,katelephone na huyu makamu mpaka piko ni kitu kimoja, sioni sababu mtu kusema zama zile zilikuwa za giza wakati hadi sasa kero tu
Tena bora wakati wa jiwe hakukuwa na tozo na tulitumia mbs kwa raha, hawa wa sasa ni hovyo tu ,hivo basi ,hoja yangu ni kwamba tutafute namna ya kuitoa CCM
View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
Chafu hachafuliwi, jiwe alikuwa laana kwa taifa, inabidi tujitafakari tulimkosea nini Mungu mpaka akatupa mtu kama yule, bila maombi ya Watanzania sijui tungekuwa wapi muda huuMagufuli hachafuliwi kwa njia hiii
Na bado mtateseka sana
He was bad, Worsest ever! Acheni mungu aitwe mungu, washauri wake wakuu walikuwa ni akina nani? Nao wanapaswa kuogopwa kweli.View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
Crimea atabisha. Ataleta issue za COVID 19View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
Sukuma gang mnajua kujizima dataHuyu Kabendera ana Mental disorder,sasa Magufuli amkamate Kikwete ili amfanyaje wakati kikatiba Rais haruhusiwi kushitakiwa achilia mbali kukamtwa[emoji1787]
Mo alitekwa na timu Msoga kumchafua Magufuli na mauaji ya viongozi timu Msoga ndiyo suspect wa matukio.
Yaani ni bidii na juhudi za kuondoa legacy iliyopo. Hata siku moja haitafanikiwa. Legacy utaiondoaje? Na Mungu anakasirika kwa juhudi za kishetani kama hizo. Ona mauaji ya kiajabu yanayofanana na yale ya albino albino yamerudi. Ona ajali zinazoua makumi ya watu zimerudi na tulishasahau yote hayo. JPM aliingia mauaji ya albino STOP. Vifo vya ajabu ajabu stop. Sasa wamefanya walichofanya JPM hayupo yamerudi hayo mauaji. Bila toba kwa Mungu hii nchi ni finished. Ona ukame wenzetu majirani mvua kuliko wastani. Jamani TUTUBU kwa ajili ya waTZ waliomfa nyia mabaya na wanaoendeleza kujaribu kufuta legacy japo KAMWE hawatafanikiwaView attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana