ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Huu ni ushuzi kama ushuzi mwingine kutoka kwa majiziView attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni ushuzi kama ushuzi mwingine kutoka kwa majiziView attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
Never and never againHakuna mshamba yeyote anayeweza kuipasua ccm kwa nyakati hizi na miaka 50 ijayo, Darasa limetosha.
Yeye hakuwa muumini wa kuheshimu katiba,kwani alizuia mikutano ya hadhara ya vyama pinzani kwa katiba ipi?Amkamate JK kwa sheria na katiba ipi kwanza?kuna wakati watu wanaandika uongo mpaka wanajisahau...
Jiwe alikuwa hana akili, shetani na nusu yuleAmkamate JK kwa sheria na katiba ipi kwanza?kuna wakati watu wanaandika uongo mpaka wanajisahau...
PoteleapoteTeam Msoga wameanza propaganda, haya mashambulizi dhidi ya JPM yatakuja kuipasua CCM 2030.
Jiwe hakujali KatibaHuyu Kabendera ana Mental disorder,sasa Magufuli amkamate Kikwete ili amfanyaje wakati kikatiba Rais haruhusiwi kushitakiwa achilia mbali kukamtwa[emoji1787]
Mo alitekwa na timu Msoga kumchafua Magufuli na mauaji ya viongozi timu Msoga ndiyo suspect wa matukio.
History haifutiki wacha isemwe ndio raha ya matendo yetu.NI kweli marehemu alikuwa na michezo ya kihuni.
Ila kwa Sasa haya unayofanya bwana kabendera hayana maana.
Yupo zake chato anajigeuza geuza.
Na kule alipo Hana smartphone
Kabendera bendera fuata upepo. Hana akili si angemsema jamaa akiwa hai. Unagombana na marehemu na mautiView attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
Wakurungwa walivyo wanafiki kama kawaida yao watamponda plus pindi tu atakapoachia kiti hicho kisio na mwenyeweSasa hayupo na hawezi chunguzwa, Saa 100 mwenyewe lazima alishiriki mambo yanayosemwa mfano ununuzi wa ndege nk
Haina maana kwa sasa,na viongozi wa sasa ni kama mwendazake tu ndio maana waliimba ccm ni ile ile
Yule mtu hakuwa mzima kichwani kabisaa, Bora limeondoka lenyeweView attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
Anawambia nyie misukule ya marehemuKabendera bendera fuata upepo. Hana akili si angemsema jamaa akiwa hai. Unagombana na marehemu na mauti
Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Limungu lenu lilikuwa na roho mbaya ndiomaana limekufaNusu bendera itatokea kabla ya uchaguzi 2025 Mungu fundi sana. Tusaze maneno, time will tell.
Ataona sawa tu kwani si alikuwa anaJuwa hulka za bwana ake, mwenyewe alikuwa ameshashindwa alirudi kwa sababu ya urais wa maguMama janet akiyasikia haya huko alipo sijui anajisikiaje
Ushahidi gani ktk uhalisia?Sawaa sisi sio watoto wadogo
Hatuhitaji propaganda
Let ushaidi
Wewe hizo midolaa uliokuwa unapewa na mabeberu za kazi ganii.
Tuanze hapo tujibu ,sema zilikuwa za nini ,kwanini wakupe wewe.
Maana ushaidi upo
Ulikiri makosa na ukalipa uliufutiwe kesiii
Povu Ruksa tutoe ushaidi