Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Miaka minne imepita. Wenye akili wanamsoma huyo Kabendera na kuendelea na shughuli zao nyingine.Upuuzi mtupu..
Kumchonganisha mtu ambaye hayupo duniani na walio hai, siku zote alikuwa wapi mwaka na ushee umepita.
Unajua mgombea wao ni dhahiri hatoshi...kivuli cha Msgufuli kinawatesa...Namaanisha, yeye,saa10 ,katelephone na huyu makamu mpaka piko ni kitu kimoja, sioni sababu mtu kusema zama zile zilikuwa za giza wakati hadi sasa kero tu
Tena bora wakati wa jiwe hakukuwa na tozo na tulitumia mbs kwa raha, hawa wa sasa ni hovyo tu ,hivo basi ,hoja yangu ni kwamba tutafute namna ya kuitoa CCM
Ushahidi wa kusindikizwa na wengi una utata sana, Wakati mwingine watu wanakuja kuthibitisha tu kama kweli kafaAlipata mpako wa wagonjwa kabla hajafa (last rites) kwa maana hiyo aliweza kutubu madhambi yote na kwa mujibu wa imani katoliki anaweza muda huu kuwa sehemu ya kwaya ya huko mbinguni.
Hakuna kitu muhimu kama kupata wasaa wa kutubu mbele ya padre halafu ukawekewa mikono kabla hujakata roho. Pia tusisahau ubinadamu wake, hakusita kuwatetea wanyonge na ushahidi ni namna alivyosindikizwa na maelfu kwa maelfu ya watu.
Wewe ungeweza?Ungesema angali akiwa hai.
Huwa nakuona mtu mzima mwenye kujielewa lakini haya maandishi yako ni tofauti kabisa na imani yangu kwako.Ushahidi wa kusindikizwa na wengi una utata sana, Wakati mwingine watu wanakuja kuthibitisha tu kama kweli kafa
Hata mamba mla mifugo akifa watu wanajaa ili kuthibitisha kama kweli kafa, huyo naye anapendwa?Huwa nakuona mtu mzima mwenye kujielewa lakini haya maandishi yako ni tofauti kabisa na imani yangu kwako.
Haiwezekani watu zaidi ya milioni moja wakajitokeza pembeni ya barabara ili wahakikishe kwamba umekufa, ni kielelezo cha marehemu kuyagusa maisha yao wakati wa uhai waoke.
AiseeView attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
====
Aliyoandika Kabendera
Wale mliouza mali zenu kupata pesa za kuhonga kusaidia plea bargain zenu zikubaliwe mjitokeze kutoa ushahidi. Wafanyabiashara mliopelekwa ofisi maarufu ya serikali, mkatishwa kwa mitutu ya bunduki wakati Mwendazake akiangalia kupitia CCTV, mkalazimishwa kutoa pesa mjitokeze.
Kuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.
Tuhuma dhidi ya Mwendazake kuanzisha na kuendesha genge la kihalifu nje ya mfumo wa serikali na kutoa maelekezo kwa genge hili kuwaua viongozi wa vyama vya upinzani, CCM na viongozi wakuu wastaafu ambao wangekuwa kikwazo kwake kutawala milele zichunguzwe pia.
Si mara ya kwanza zoezi kama hili kufanyika; Rais Mwinyi aliunda tume ya kupitia upya kesi zote ya uhujumu uchumi alizoziendesha Sokoine baada ya kuingia madarakani na kuna watu walirudishiwa mali zao.
Binafsi nimeombwa kuwasilisha maelezo ya maandishi kwa mamlaka husika kuhusu vitisho alivyovitoa Ndugu Biswalo dhidi yangu mara kwa mara baada kuachiwa huru na nimefanya hivyo.
Stori za vichochoroni hiziSawaa sisi sio watoto wadogo
Hatuhitaji propaganda
Let ushaidi
Wewe hizo midolaa uliokuwa unapewa na mabeberu za kazi ganii.
Tuanze hapo tujibu ,sema zilikuwa za nini ,kwanini wakupe wewe.
Maana ushaidi upo
Ulikiri makosa na ukalipa uliufutiwe kesiii
Povu Ruksa tutoe ushaidi
Magu alipendwa sana, alikuwa shujaa tofauti na wanasiasa wa miaka ya sasa, wewe huwezi kuliona hilo kwa sababu ya uchawa wako kwa Mbowe.Hata mamba mla mifugo akifa watu wanajaa ili kuthibitisha kama kweli kafa, huyo naye anapendwa?
😅
Kumuua Lissu, kuteka MO na wengine na kutukana Waliomuweka Madarakani ilikuwa sehemu ya kupendwa na raia?Magu alipendwa sana, alikuwa shujaa tofauti na wanasiasa wa miaka ya sasa, wewe huwezi kuliona hilo kwa sababu ya uchawa wako kwa Mbowe.
Magu angeendelea kuwepo kwa miaka yake minne aliyobakiza tungekuwa mbali zaidi. Hana hulka za kisiasa, yeye ni mtu wa kazi muda wote.
Weka ushahidi wenye kujitosheleza sio kuleta ngonjera za kwenye viti virefu vya Bar. Lissu kichwa yake mbovu, Mo na wengine ni dhuluma za kwenye biashara za kitajiri.Kumuua Lissu, kuteka MO na wengine na kutukana Waliomuweka Madarakani ilikuwa sehemu ya kupendwa na raia?
Kumtetea Magufuli unapaswa kuwa mjinga kuliko hata ujinga wenyeweWeka ushahidi wenye kujitosheleza sio kuleta ngonjera za kwenye viti virefu vya Bar. Lissu kichwa yake mbovu, Mo na wengine ni dhuluma za kwenye biashara za kitajiri.
Wewe ndio huna akili, JPM kafanya vitu vinavyojitetea vyenyewe bila hata kuhitaji utetezi wa mtu yoyote.Kumtetea Magufuli unapaswa kuwa mjinga kuliko hata ujinga wenyewe
Kiongozi anayepora hela za watu hafai, na anapoua wanaompiga anageuka ShetaniWewe ndio huna akili, JPM kafanya vitu vinavyojitetea vyenyewe bila hata kuhitaji utetezi wa mtu yoyote.
SGR inamalizika muda huu. Ndege aliacha 12 zinafanya biashara. Madaraja na barabara ndio usiseme. REA inaifungua Tanzania kwenye suala la umeme.
Mengi sana alifanya JPM na yanaendelea kumtetea huko alipolala.
Unavyopayuka utafikiri wewe utaishi milele, na wakati utakufa mwezi ujao tu hapa na kila mtu atakusahau akiwemo baba ako.Magufuli alistahili kufa. Alikuwa na roho mbaya sana
Achana nae huyo mskule wa vibaraka(lisu na zitto) hakuna jema aliloliona kwa Jpm sababu Magu alijua kuwabana mabwana zake waliothubutu kulisaliti taifa.Wewe ndio huna akili, JPM kafanya vitu vinavyojitetea vyenyewe bila hata kuhitaji utetezi wa mtu yoyote.
SGR inamalizika muda huu. Ndege aliacha 12 zinafanya biashara. Madaraja na barabara ndio usiseme. REA inaifungua Tanzania kwenye suala la umeme.
Mengi sana alifanya JPM na yanaendelea kumtetea huko alipolala.
Mkuu habari za GeitaAchana nae huyo mskule wa vibaraka(lisu na zitto) hakuna jema aliloliona kwa Jpm sababu Magu alijua kuwabana mabwana zake waliothubutu kulisaliti taifa.
Sasa hivi hapo bado yuko traumatized, yeye na mabwana zake akina Zitto bado wanaumizwa na Magu licha ya kutokuwepo kwake na ndio maana kila anapotajwa Jpm anahemkwa.