Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

Namaanisha, yeye,saa10 ,katelephone na huyu makamu mpaka piko ni kitu kimoja, sioni sababu mtu kusema zama zile zilikuwa za giza wakati hadi sasa kero tu

Tena bora wakati wa jiwe hakukuwa na tozo na tulitumia mbs kwa raha, hawa wa sasa ni hovyo tu ,hivo basi ,hoja yangu ni kwamba tutafute namna ya kuitoa CCM
Unajua mgombea wao ni dhahiri hatoshi...kivuli cha Msgufuli kinawatesa...

Hii ni propaganda...Kabendera I sympathise with kwa yaliyokukuta...uliyataka mwenyewe...Acha kutumika kisiasa...Apumzike kwa amani

Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza
 
Alipata mpako wa wagonjwa kabla hajafa (last rites) kwa maana hiyo aliweza kutubu madhambi yote na kwa mujibu wa imani katoliki anaweza muda huu kuwa sehemu ya kwaya ya huko mbinguni.

Hakuna kitu muhimu kama kupata wasaa wa kutubu mbele ya padre halafu ukawekewa mikono kabla hujakata roho. Pia tusisahau ubinadamu wake, hakusita kuwatetea wanyonge na ushahidi ni namna alivyosindikizwa na maelfu kwa maelfu ya watu.
Ushahidi wa kusindikizwa na wengi una utata sana, Wakati mwingine watu wanakuja kuthibitisha tu kama kweli kafa
 
Ushahidi wa kusindikizwa na wengi una utata sana, Wakati mwingine watu wanakuja kuthibitisha tu kama kweli kafa
Huwa nakuona mtu mzima mwenye kujielewa lakini haya maandishi yako ni tofauti kabisa na imani yangu kwako.

Haiwezekani watu zaidi ya milioni moja wakajitokeza pembeni ya barabara ili wahakikishe kwamba umekufa, ni kielelezo cha marehemu kuyagusa maisha yao wakati wa uhai waoke.
 
Huwa nakuona mtu mzima mwenye kujielewa lakini haya maandishi yako ni tofauti kabisa na imani yangu kwako.

Haiwezekani watu zaidi ya milioni moja wakajitokeza pembeni ya barabara ili wahakikishe kwamba umekufa, ni kielelezo cha marehemu kuyagusa maisha yao wakati wa uhai waoke.
Hata mamba mla mifugo akifa watu wanajaa ili kuthibitisha kama kweli kafa, huyo naye anapendwa?
 
View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana

====
Aliyoandika Kabendera

Wale mliouza mali zenu kupata pesa za kuhonga kusaidia plea bargain zenu zikubaliwe mjitokeze kutoa ushahidi. Wafanyabiashara mliopelekwa ofisi maarufu ya serikali, mkatishwa kwa mitutu ya bunduki wakati Mwendazake akiangalia kupitia CCTV, mkalazimishwa kutoa pesa mjitokeze.

Kuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.

Tuhuma dhidi ya Mwendazake kuanzisha na kuendesha genge la kihalifu nje ya mfumo wa serikali na kutoa maelekezo kwa genge hili kuwaua viongozi wa vyama vya upinzani, CCM na viongozi wakuu wastaafu ambao wangekuwa kikwazo kwake kutawala milele zichunguzwe pia.

Si mara ya kwanza zoezi kama hili kufanyika; Rais Mwinyi aliunda tume ya kupitia upya kesi zote ya uhujumu uchumi alizoziendesha Sokoine baada ya kuingia madarakani na kuna watu walirudishiwa mali zao.

Binafsi nimeombwa kuwasilisha maelezo ya maandishi kwa mamlaka husika kuhusu vitisho alivyovitoa Ndugu Biswalo dhidi yangu mara kwa mara baada kuachiwa huru na nimefanya hivyo.
Aisee
 
Magufuli alistahili kufa. Alikuwa na roho mbaya sana
 
Sawaa sisi sio watoto wadogo

Hatuhitaji propaganda

Let ushaidi

Wewe hizo midolaa uliokuwa unapewa na mabeberu za kazi ganii.

Tuanze hapo tujibu ,sema zilikuwa za nini ,kwanini wakupe wewe.
Maana ushaidi upo

Ulikiri makosa na ukalipa uliufutiwe kesiii

Povu Ruksa tutoe ushaidi
Stori za vichochoroni hizi
 
Hata mamba mla mifugo akifa watu wanajaa ili kuthibitisha kama kweli kafa, huyo naye anapendwa?
Magu alipendwa sana, alikuwa shujaa tofauti na wanasiasa wa miaka ya sasa, wewe huwezi kuliona hilo kwa sababu ya uchawa wako kwa Mbowe.

Magu angeendelea kuwepo kwa miaka yake minne aliyobakiza tungekuwa mbali zaidi. Hana hulka za kisiasa, yeye ni mtu wa kazi muda wote.
 
Magu alipendwa sana, alikuwa shujaa tofauti na wanasiasa wa miaka ya sasa, wewe huwezi kuliona hilo kwa sababu ya uchawa wako kwa Mbowe.

Magu angeendelea kuwepo kwa miaka yake minne aliyobakiza tungekuwa mbali zaidi. Hana hulka za kisiasa, yeye ni mtu wa kazi muda wote.
Kumuua Lissu, kuteka MO na wengine na kutukana Waliomuweka Madarakani ilikuwa sehemu ya kupendwa na raia?
 
Erick,
Mienendo yako pia ilitiliwa shaka sana
  • Ulitakatisha fedha;
  • Ulipata cash toka nje;
  • Ulikubali kuwa kuli.
 
Kumtetea Magufuli unapaswa kuwa mjinga kuliko hata ujinga wenyewe
Wewe ndio huna akili, JPM kafanya vitu vinavyojitetea vyenyewe bila hata kuhitaji utetezi wa mtu yoyote.

SGR inamalizika muda huu. Ndege aliacha 12 zinafanya biashara. Madaraja na barabara ndio usiseme. REA inaifungua Tanzania kwenye suala la umeme.

Mengi sana alifanya JPM na yanaendelea kumtetea huko alipolala.
 
Wewe ndio huna akili, JPM kafanya vitu vinavyojitetea vyenyewe bila hata kuhitaji utetezi wa mtu yoyote.

SGR inamalizika muda huu. Ndege aliacha 12 zinafanya biashara. Madaraja na barabara ndio usiseme. REA inaifungua Tanzania kwenye suala la umeme.

Mengi sana alifanya JPM na yanaendelea kumtetea huko alipolala.
Kiongozi anayepora hela za watu hafai, na anapoua wanaompiga anageuka Shetani
 
Magufuli alistahili kufa. Alikuwa na roho mbaya sana
Unavyopayuka utafikiri wewe utaishi milele, na wakati utakufa mwezi ujao tu hapa na kila mtu atakusahau akiwemo baba ako.
 
Wewe ndio huna akili, JPM kafanya vitu vinavyojitetea vyenyewe bila hata kuhitaji utetezi wa mtu yoyote.

SGR inamalizika muda huu. Ndege aliacha 12 zinafanya biashara. Madaraja na barabara ndio usiseme. REA inaifungua Tanzania kwenye suala la umeme.

Mengi sana alifanya JPM na yanaendelea kumtetea huko alipolala.
Achana nae huyo mskule wa vibaraka(lisu na zitto) hakuna jema aliloliona kwa Jpm sababu Magu alijua kuwabana mabwana zake waliothubutu kulisaliti taifa.

Sasa hivi hapo bado yuko traumatized, yeye na mabwana zake akina Zitto bado wanaumizwa na Magu licha ya kutokuwepo kwake na ndio maana kila anapotajwa Jpm anahemkwa.
 
Achana nae huyo mskule wa vibaraka(lisu na zitto) hakuna jema aliloliona kwa Jpm sababu Magu alijua kuwabana mabwana zake waliothubutu kulisaliti taifa.

Sasa hivi hapo bado yuko traumatized, yeye na mabwana zake akina Zitto bado wanaumizwa na Magu licha ya kutokuwepo kwake na ndio maana kila anapotajwa Jpm anahemkwa.
Mkuu habari za Geita
 
Back
Top Bottom