Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati Diarra anatoka golini kwake, je mpira ulikuwa chini au ulikuwa umeshikwa na mchezaji wa Kagera?Nimeshakujibu, kipi hujaelewa?
Ushahidi wako ni wa kitoto kupitiliza. Hivyo sina muda wa kupoteza kuangalia huo ujinga wako.Rudi kaangalie kile kipande ndio uje kubisha hapa.
Wakati wa penati kipa anatakiwa kuwa wapi? Kwanini aliendelea kuinama pale wakati tayari mchezaji wa kagera alishauwahi mpira?Wakati Diarra anatoka golini kwake, je mpira ulikuwa chini au ulikuwa umeshikwa na mchezaji wa Kagera?
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Jibu swali kama nilivyokuuliza. Hilo ulichokisema wewe tunakuja kuliuliza baada ya kunijibu swali langu. Je wakati Diarra anatoka golini je mpira ulikuwa upo chini au ulikuwa umeshikiliwa na mchezaji wa Kagera?Wakati wa penati kipa anatakiwa kuwa wapi? Kwanini aliendelea kuinama pale wakati tayari mchezaji wa kagera alishauwahi mpira?
Msimu uliopita Simba kakosa penalties 5 kulikua na majadiliano?Haya maelezo yako hapa ni aibu tupu. Pale hakwenda kujadili bali aliinama ili aambiwe upande. Majadiliano yalishafanyika kabla ya mchezo.
Wewe huoni kwamba kilichotokea pale ni kitu cha ajabu sana? Yaani mpira awe nao mchezaji wa kagera lakini Diarra ainame palepale.
Mpira lazima uwe chini ulitaka uwe wapi?Jibu swali kama nilivyokuuliza. Hilo ulichokisema wewe tunakuja kuliuliza baada ya kunijibu swali langu. Je wakati Diarra anatoka golini je mpira ulikuwa upo chini au ulikuwa umeshikiliwa na mchezaji wa Kagera?
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Msijisahaulishe hata Ile unbeaten ya mikia ni mchongo, manula alipewa bahashaAn biten ya mchongo.
Pumbavuuuuuuuu!Ushahidi wa picha unaonesha Diarra akienda na kuinama kisha Mwijage naye akainama pale wakanong'onezana.
Diarra alipangua penati ile nyepesi.
View attachment 2416539
Mpira ulivyokuwa chini, kuna kiashiria chochote ambacho wewe mwenzetu umekiona kilichoonesha Diarra kaongea kitu kwa mpiga penati? (Tokea anatokea golini kwake hadi kuwa karibu na mpigaji wa penati)Mpira lazima uwe chini ulitaka uwe wapi?
An biten ndo nn?An biten ya mchongo.
Semeni hata kimataifa ya mchongo🥱😄😄An biten ya mchongo.
Alimwambia, "your left below" pale alipofika na kuinama.Mpira ulivyokuwa chini, kuna kiashiria chochote ambacho wewe mwenzetu umekiona kilichoonesha Diarra kaongea kitu kwa mpiga penati? (Tokea anatokea golini kwake hadi kuwa karibu na mpigaji wa penati)
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app